Weka receipt ya uliyolipia hiyo Tsh 27,000 hapa mjini na ukaunganishwa umemeSio kweli umeongea pumba na uongo mkubwa. Wengi tu tuko mjini tena jijini tuliunganishiwa bila longolongo kwa bei ya Tsh. 27,000. Tena enzi hizo za Magufuli umeme haukatwi,tofauti na sasa umeme umerudi enzi hizo tulizoanza kuzisahau kipindi cha Magufuli. Hakika pamoja mapungufu yake machache,kwa haya ya meme lazima tumkumbuke mwamba huyu Magufuli
Hili swali pia najiuliza sana mtu kajimilikisha huduma kila siku analalama angekua na washindani angekuaje .Hivi huwa najiuliza Shirika ambalo halina mshindani/ lime monopoly biashara ya umeme Nchi nzima linashindwaje kupata faida na kuwa na gharama kubwa kama hizo kumuwekea mtu umeme!!!,Aisee Nchi hii bado sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Nyie ndo mnaturudisha nyuma na mawazo mgando mnabakia kufikiria kasema kasema, Biashara ambayo haina mshindani unakosaje faida? Kila siku unapandisha gharama ya kumfungia mtu umeme kwelii!! Tumia akili yako vzr kung'amua mambo usibaki kasema kasema!Weka receipt ya uliyolipia hiyo Tsh 27,000 hapa mjini na ukaunganishwa umeme
Ata wakati wa Samia,Yeah! Yote hayo yalifanyika wakati wa Magufuli kwa TZS 27,000.00 tu, tena Jijini kabisa.
Tuweni wakeli, kushushwa kule kulikuwa kimkakati, katika mwendelezo wa hadaa Kwa mdanganyika, hivyo kuleta lawama kuwa gharama zimepanda Sasa ni mwendeleo wa uvivu wakuyatambua mambo, au kufikiri Kwa mtanzania/mdanganyika.Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Wewe mbona baba yako hajawa kama Bakhresa.Nyie ndo mnaturudisha nyuma na mawazo mgando mnabakia kufikiria kasema kasema, Biashara ambayo haina mshindani unakosaje faida? Kila siku unapandisha gharama ya kumfungia mtu umeme kwelii!! Tumia akili yako vzr kung'amua mambo usibaki kasema kasema!
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hao ni corrupt!! Hatujui haki zetu kila ukiomba huduma ya kumfungiwa maji au kuunganishiwa umeme unabembeleza,Aisee hii Nchi ni shida tupu.Ata wakati wa Samia,
Mm nimelipia elfu 27 mwezi wa 10 tu. Lkn shida ndio kubwa mpaka uje uungiwe utaisoma namba...Kwanza surveyor mpaka afik hapo kwako utajuta kwann ulifanya wiring
Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Nina zaidi ya miezi 8 tangu nilipie. Kila nikiulizia napigwa kalenda na sababu kibao.. mara mita hakuna mara sijui nini. Uchuro mtupuHuo umeme ni wa rea kama kuna mtu wa mjini alieunganishiwa kwa hio bei tajwa ni wachache ilikua ukilipa bla bla ni nyingi mpka utoe ka hongo au kuna koneksheni ndo mambo yanakua mujarabu
Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Tafuta CV yangu!! Huko kwenye vyama we ndo unakowaza,hatujengi hoja za kiitikadi uenda uliko ndo nilipo,huu mjadala ni huru kila mtu ana uhuru wa kuongea ,Nchi lazima iende haitabaki palepale tunachokataa ni kurudi tulikotoka.Wewe mbona baba yako hajawa kama Bakhresa.
Umebaki kuwa msukule na mateka wa mbowe, kazi yako ni kutumika kwenye maandamano tu.
Huna akili timamuTafuta CV yangu!! Huko kwenye vyama we ndo unakowaza,hatujengi hoja za kiitikadi uenda uliko ndo nilipo,huu mjadala ni huru kila mtu ana uhuru wa kuongea ,Nchi lazima iende haitabaki palepale tunachokataa ni kurudi tulikotoka.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Ndg yangu umeamua kupinga tu bila hata kufuatiliaAcha uongo wapi mjini watu waliunganishwa kwa 27,000
Labda kwa kuwa nguzo wangeweka za michongoma na nyaya watumie zile kamba za kudu hapo uhakika hata wangeweka bure wangepata faidaHata wangeweka umeme bure wangepata faida, sijui wanakwama wapi.
Akili yangu ni timamu na ina hoja za msingi,siwazi 2025 nawaza mstakabali wa taifa na watu wake.Huna akili timamu
Kama umeweza kujenga nyumba ya million kadhaaa huwezi kushindwa kulipa 320.000 ambayo ni bei ya mlango moja wa mninga. Watanzania tuwe focused kudai mambo ya msingi sio hizi ishu ndogo zinazotutoa kwenye mijadala ya kitaifa ambayo ni ya msingi kama tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.Ni saw a Ila haiondoi ukweli kwamba umeme ni huduma muhimu pamoja na kwamba inagharama zake,Ila kukosekana plan b ya kum2liza maumivu huyu muhitaji siyo sawa,kwanini pasiwepo installment hata yenye riba?hivi hata mabenki hayawezi kuwekeza mkamalizana kwenye bili taratibu,hivi kweli kwa mitazamo hii hizo ajira zinazoendana na upatikanaji wa huduma hii zitabebeka huko vijijini,Hapa nadhani waziri Makamba tunategemea uje na ubunifu kidogo au maelezo ya kina.
Tanesco inahitaji mshindani, ttcl inajifia tu haina la maana.Tanesco na TTCL zinahitaji restructuring ya nguvu juu chini chini juu...