Wakati Watanzania tukiendelea 'Kulewa' na Hotuba ya 'Kumkaanga' Ndugai, tujue Magufuli Umeme ni Tsh 27,000/ na Samia ni Tsh 320,000/

Wakati Watanzania tukiendelea 'Kulewa' na Hotuba ya 'Kumkaanga' Ndugai, tujue Magufuli Umeme ni Tsh 27,000/ na Samia ni Tsh 320,000/

Sio kweli umeongea pumba na uongo mkubwa. Wengi tu tuko mjini tena jijini tuliunganishiwa bila longolongo kwa bei ya Tsh. 27,000. Tena enzi hizo za Magufuli umeme haukatwi,tofauti na sasa umeme umerudi enzi hizo tulizoanza kuzisahau kipindi cha Magufuli. Hakika pamoja mapungufu yake machache,kwa haya ya meme lazima tumkumbuke mwamba huyu Magufuli
Weka receipt ya uliyolipia hiyo Tsh 27,000 hapa mjini na ukaunganishwa umeme
 
Hivi huwa najiuliza Shirika ambalo halina mshindani/ lime monopoly biashara ya umeme Nchi nzima linashindwaje kupata faida na kuwa na gharama kubwa kama hizo kumuwekea mtu umeme!!!,Aisee Nchi hii bado sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hili swali pia najiuliza sana mtu kajimilikisha huduma kila siku analalama angekua na washindani angekuaje .
 
Weka receipt ya uliyolipia hiyo Tsh 27,000 hapa mjini na ukaunganishwa umeme
Nyie ndo mnaturudisha nyuma na mawazo mgando mnabakia kufikiria kasema kasema, Biashara ambayo haina mshindani unakosaje faida? Kila siku unapandisha gharama ya kumfungia mtu umeme kwelii!! Tumia akili yako vzr kung'amua mambo usibaki kasema kasema!

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwa meneja kwa sehemu husika, atakuonyesha sehemu ambazo REA inakubalika. Mf. Kwetu Kerege- CCM ni REA ila Kuna walioenda kichwakichwa wakapigwa 320000.
 
Yeah! Yote hayo yalifanyika wakati wa Magufuli kwa TZS 27,000.00 tu, tena Jijini kabisa.
Ata wakati wa Samia,
Mm nimelipia elfu 27 mwezi wa 10 tu. Lkn shida ndio kubwa mpaka uje uungiwe utaisoma namba...Kwanza surveyor mpaka afik hapo kwako utajuta kwann ulifanya wiring
 
Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Tuweni wakeli, kushushwa kule kulikuwa kimkakati, katika mwendelezo wa hadaa Kwa mdanganyika, hivyo kuleta lawama kuwa gharama zimepanda Sasa ni mwendeleo wa uvivu wakuyatambua mambo, au kufikiri Kwa mtanzania/mdanganyika.
 
Nyie ndo mnaturudisha nyuma na mawazo mgando mnabakia kufikiria kasema kasema, Biashara ambayo haina mshindani unakosaje faida? Kila siku unapandisha gharama ya kumfungia mtu umeme kwelii!! Tumia akili yako vzr kung'amua mambo usibaki kasema kasema!

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Wewe mbona baba yako hajawa kama Bakhresa.

Umebaki kuwa msukule na mateka wa mbowe, kazi yako ni kutumika kwenye maandamano tu.
 
Ata wakati wa Samia,
Mm nimelipia elfu 27 mwezi wa 10 tu. Lkn shida ndio kubwa mpaka uje uungiwe utaisoma namba...Kwanza surveyor mpaka afik hapo kwako utajuta kwann ulifanya wiring
Hao ni corrupt!! Hatujui haki zetu kila ukiomba huduma ya kumfungiwa maji au kuunganishiwa umeme unabembeleza,Aisee hii Nchi ni shida tupu.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.

38EA74D6-CF16-4347-A3CB-BDE70BCE83F1.jpeg


09188870-E3BB-4D7B-AEEC-EC6CB5CB6740.jpeg
 
Huo umeme ni wa rea kama kuna mtu wa mjini alieunganishiwa kwa hio bei tajwa ni wachache ilikua ukilipa bla bla ni nyingi mpka utoe ka hongo au kuna koneksheni ndo mambo yanakua mujarabu
Nina zaidi ya miezi 8 tangu nilipie. Kila nikiulizia napigwa kalenda na sababu kibao.. mara mita hakuna mara sijui nini. Uchuro mtupu
 
Muda mrefu wa Kumkaanga ( Kumsiliba ) Spika Ndugai ili 'Kukonga' Nyoyo za Watanzania ambao 95% wanapenda Kuendeshwa na Matukio, Majungu, Uzushi na Uswahili upo, ila muda wa Kuwaeleza ni kwanini kwa Magufuli Umeme ulishuka mpaka Tsh 27,000/= na sasa ( Kwako ) umepanda na kuwa Tsh 320,000/= haupo.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
 
Wewe mbona baba yako hajawa kama Bakhresa.

Umebaki kuwa msukule na mateka wa mbowe, kazi yako ni kutumika kwenye maandamano tu.
Tafuta CV yangu!! Huko kwenye vyama we ndo unakowaza,hatujengi hoja za kiitikadi uenda uliko ndo nilipo,huu mjadala ni huru kila mtu ana uhuru wa kuongea ,Nchi lazima iende haitabaki palepale tunachokataa ni kurudi tulikotoka.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Ni saw a Ila haiondoi ukweli kwamba umeme ni huduma muhimu pamoja na kwamba inagharama zake,Ila kukosekana plan b ya kum2liza maumivu huyu muhitaji siyo sawa,kwanini pasiwepo installment hata yenye riba?hivi hata mabenki hayawezi kuwekeza mkamalizana kwenye bili taratibu,hivi kweli kwa mitazamo hii hizo ajira zinazoendana na upatikanaji wa huduma hii zitabebeka huko vijijini,Hapa nadhani waziri Makamba tunategemea uje na ubunifu kidogo au maelezo ya kina.
Kama umeweza kujenga nyumba ya million kadhaaa huwezi kushindwa kulipa 320.000 ambayo ni bei ya mlango moja wa mninga. Watanzania tuwe focused kudai mambo ya msingi sio hizi ishu ndogo zinazotutoa kwenye mijadala ya kitaifa ambayo ni ya msingi kama tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.
 
Unamuwekea mtu umeme kwa 320,000tsh, au kwa kuunga nguzo 500+, wakati huo gharama za nguzo ni zake. Ila akishaungwa nguzo inabaki mali ya tanesco, watakaoijunga baada yake hawana hizo gharama tena coz mmoja wao aliyetangulia aliwanunulia nguzo, ambayo inabaki kuwa mali ya tanesco.

Hizi sheria zinatungwa na wasomi...
Tutafika tu!
 
Back
Top Bottom