Tanzania tumejaa masihara sana mdau berth 12 ni upuuzi mtupu kwa dunia ya leo tena ukizingatia tunahudumia nchi nyingi za pembeni yetu.....Wallah tutajutia sana ujinga wa kupingapinga tu. Jamaa alitudanganya watu wakaingia kingi. Ukweli inakuja ngoja yatasemwa zaidi kwenye magazeti rasmi ili tuondokane na ujinga uliowekwa hapa miaka ya karibuni.
Berth 33 sio mchezo tena za kisasa sio hizi tunahangaika nazo sijui berth 10 Ila mpaka leo hatuna Cha maana na hazijaisha.
Deal done we are out of the league.
Hata ukiwekwa. Mlivyojaziwa mapandikizi yanayoendesha siasa zenu, mtajazwa propaganda za kijamaa na mtapinga tuMkataba wa hiyo bandari uwekwe wazi tu, hakuna shida nyingine.
Hizo tu tumeshindwa kuziendesha bado tunalilia mpyaTuna bandari ya Tanga, Mtwara, Dar....wewe ulitakaje?
Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.
Leo Rais Kenyatta amezindua Bandari hii inayosemwa itakuwa na Berth 33 huku kati ya hizo Berth 29 zikiwa zinahudumiwa na sekta binafsi.
Kenya anasemwa anaenda kukamata soko lote na uganda, South Sudan na Ethiopia kutokana na kuanza kwa Bandari hii.
Hongereni watanzania Kwa kupenda umasikini, kupenda kwenu umasikini kunaenda kuifanya kenya kukua zaidi kuichumi na kuwapita mbali sana kwa miaka Mingi isiyohesabika ijayo.
View attachment 1793056
Haujamuelewa.... Tufundishe ni namna gani iyo bandari italeta faida wakati kuna bandari kibao na hatujawah kuona zikileta faida....Acha kujichoresha kuwa huna exposure! Hizo Bandari za Mtwara, Tanga na Dar zinaleta nini?? Zimeleta ufanisi na competition gani???
Hivi Unajua berth katika Bandari zote za Tanga, Dar na Mtwara hazijazizidi kwa idadi berth za Bandari moja tu ya Mombasa ambao wana berth zaidi ya 18???
Sasa kenya kaongeza Bandari nyingine yenye berth 33 na hapo berth 29 amezipa sekta binafsi ili kuweka ufanisi. Sasa utamzidi nini kenya zaidi ya yeye kuzidi kukupiga gap???
Halafu kuna wajinga wanamuita Mbeba maono?? Kama Mwendazake alijuwa mbeba maono bassi alibeba maono ya vipofu. Na vipofu wenyewe Ni sisi Watanzania Milioni 60.Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.
Leo Rais Kenyatta amezindua Bandari hii inayosemwa itakuwa na Berth 33 huku kati ya hizo Berth 29 zikiwa zinahudumiwa na sekta binafsi.
Kenya anasemwa anaenda kukamata soko lote na uganda, South Sudan na Ethiopia kutokana na kuanza kwa Bandari hii.
Hongereni watanzania Kwa kupenda umasikini, kupenda kwenu umasikini kunaenda kuifanya kenya kukua zaidi kuichumi na kuwapita mbali sana kwa miaka Mingi isiyohesabika ijayo.
View attachment 1793056
Tujihadhari na China. China ya sasa sio ile ya wakina Mao -Tse - Tung na Choenlai. Hawa sasa ni mabepari wanaotaka kufanya Afrika koloni lao kwa mikopo ya miradi isiyolipa huku dhamana ikiwa kubwa sana. Djibouti na Zambia ni mifano ya nchi ambazo zimelizwa na hao Wachina. Kuwakataa Wachina ilikuwa ni kuona mbali! Hatukatai bandari bali tunakataa masharti ya mkataba!Lakn inasemekana bandari ya Bagamoyo isingekuwa na faida kwetu kama tungekubali ijengwe
Unataka wasifungue nyingine wakati Mombasa imechukuliwa na wachina?Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.
Leo Rais Kenyatta amezindua Bandari hii inayosemwa itakuwa na Berth 33 huku kati ya hizo Berth 29 zikiwa zinahudumiwa na sekta binafsi.
Kenya anasemwa anaenda kukamata soko lote na uganda, South Sudan na Ethiopia kutokana na kuanza kwa Bandari hii.
Hongereni watanzania Kwa kupenda umasikini, kupenda kwenu umasikini kunaenda kuifanya kenya kukua zaidi kuichumi na kuwapita mbali sana kwa miaka Mingi isiyohesabika ijayo.
View attachment 1793056
Unavyomuona Assad usoni anelekea kuwa na akili ya kuwaza mapya zaidi ya hayo aliyofundishwa darasani.? Hongera kwa kufanana naye.Kuna muda unawza hivi nchii hii ina viongozi au vilaza ,Naungana na prof Assad 60% Wana uwezo mdogo
Foolish! Unadhani ukiongeza ndo unapata ufanisi? Mizigo inatengenezwa na berth? Mtu nguchiro?Acha kujichoresha kuwa huna exposure! Hizo Bandari za Mtwara, Tanga na Dar zinaleta nini?? Zimeleta ufanisi na competition gani???
Hivi Unajua berth katika Bandari zote za Tanga, Dar na Mtwara hazijazizidi kwa idadi berth za Bandari moja tu ya Mombasa ambao wana berth zaidi ya 18???
Sasa kenya kaongeza Bandari nyingine yenye berth 33 na hapo berth 29 amezipa sekta binafsi ili kuweka ufanisi. Sasa utamzidi nini kenya zaidi ya yeye kuzidi kukupiga gap???
La teteUnavyomuona Assad usoni anelekea kuwa na akili ya kuwaza mapya zaidi ya hayo aliyofundishwa darasani.? Hongera kwa kufanana naye.
Hapo kuna mengi Boss! Wanasifia Kenya ili kuonesha hasira yao tu ya kikabila. Ukiwauliza malengo ya Bandari ya Lamu ni yapi, wao wanahesabu mizigo utadhani kuna meli zinasubilia bandari mpya. Ukiwauliza kama wana mizigo imekosa bandari, watasema iko mingi tu!Chadema ndege walipinga, reli walipinga, bwawa la nyerere walipinga, lakini kutwa macho kodo kusifia maendeleo ya Kenya
Sgr ikikamilika bandari yetu ya dar itakuwa na uwezo wa kuilisha mzigo wa kutosha??Kwa hiyo kwa sababu Kenya wamezindua bandari mpya basi ni kigezo cha sisi kujenga bandari ya Bagamoyo? Je bandari za Dar es salaam, Tanga na Mtwara tumeziwezeshaje ili ziweze kutoa huduma nzuri na kubeba mizigo mingi?
Unazungumzia vibandari hivi mbuzi vilivyoachwa na mkoloni?Mada ina lengo la kuwapa uoga watanzania.
Upanuzi wa bandari zote tulizonazo na uendelee kama kawaida.
Pwani yetu ni kubwa kuliko ya jirani zetu wa kaskazini hivyo hatuhitaji kujiona tumechelewa, hizo fursa zipo tu.
Hiyo ya bagamoyo ina mizengwe mingi kwa mujibu wa JPM inabidi tuwekwe sawa tusije kuuziwa mbuzi kwa mlio.Unazungumzia vibandari hivi mbuzi vilivyoachwa na mkoloni?
Hivi vibandari haviwezeshi mimeli mikubwa kutia nanga, ni vidogo sana na hiyo ya Dar kina chake ni kidogo sana kuwezesha mimeli hiyo kutia nanga