Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM alikuwa na fiksi na kamba nyingi. Hakuwa mtu wa kuaminika yule.Hiyo ya bagamoyo ina mizengwe mingi kwa mujibu wa JPM inabidi tuwekwe sawa tusije kuuziwa mbuzi kwa mlio.
Afadhali hizi alizoacha mkoloni tunazozijua kwa undani.
Unaongea kitu usichokijuaaa...kaa kimyaa mtoto mdogo sana wewe...wacha wakubwa tuongeeKuna mda Hadi nawazaga nchi hii mapandikizi ya nchi jirani yamejaa sana kuzuia nchi hii isiwe na miradi ya maendeleo mizuri ya kuleta maendeleo ya kweli.
Mkuu hivi Lamu iko upande upi wa Kenya? Itatumika kwa mizigo ya Zambia, Malawi, Congo, Rwanda, na Burundi?Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.
Leo Rais Kenyatta amezindua Bandari hii inayosemwa itakuwa na Berth 33 huku kati ya hizo Berth 29 zikiwa zinahudumiwa na sekta binafsi.
Kenya anasemwa anaenda kukamata soko lote na uganda, South Sudan na Ethiopia kutokana na kuanza kwa Bandari hii.
Hongereni watanzania Kwa kupenda umasikini, kupenda kwenu umasikini kunaenda kuifanya kenya kukua zaidi kuichumi na kuwapita mbali sana kwa miaka Mingi isiyohesabika ijayo.
View attachment 1793056
Wee jamaa aisee 🤣🤣🤣👆👆Unamwamini mwendazake na gang lake???
Wale walikuwa mapandikizi ya Burundi
Hebu wawepo wataalam wa kupitia upya mkataba wa huo ujenz then walete conclusion. Hii mamb ya kufuata mawazo ya mtu ambae hayupo duniani na kumuamin ni vzr tuachane nayo.Hiyo ya bagamoyo ina mizengwe mingi kwa mujibu wa JPM inabidi tuwekwe sawa tusije kuuziwa mbuzi kwa mlio.
Afadhali hizi alizoacha mkoloni tunazozijua kwa undani.
Hii tu imekuondolea umakini kwenye mada yako.Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.
Halaf hii kitu naitafuta sana mkuu, unaweza weka evidence ya hao jaman walivyokua wanapinga hayo uliyo mention? Ili angalau nione hoja yao ilikua ni nn.Unapinga ndege,
Unapinga sgr
Unapinga bwawa la nyerere
Unapinga bara bara za juu ubungo na tazara
Ila unasifia na kupigania bandari ya bagamoyo.
Huu upumbavu mwingine ni wa kujitakia tu
Hakuna lolote hapo, usipandishe mori bila sababu.Wallah tutajutia sana ujinga wa kupingapinga tu. Jamaa alitudanganya watu wakaingia kingi. Ukweli inakuja ngoja yatasemwa zaidi kwenye magazeti rasmi ili tuondokane na ujinga uliowekwa hapa miaka ya karibuni.
Berth 33 sio mchezo tena za kisasa sio hizi tunahangaika nazo sijui berth 10 Ila mpaka leo hatuna Cha maana na hazijaisha.
Deal done we are out of the league.
Wachina walikubaliana na jk hizo zote ziachwe zikifa natural death ili mizigo yote ielekezwe kwenye uwekezaji wao hapo bagamoyo. Maskini jeuri akasema no way!Tuna bandari ya Tanga, Mtwara, Dar....wewe ulitakaje?
pia huko lamu kupata wateja itakuwa ngumu kutpkana na tishio la magaidi Alshabab ndio maana hakutokea mwekezaji na mradi umejengwa karibia miaka kumiHakuna lolote hapo, usipandishe mori bila sababu.
Huo mradi wa Lamu umekosa wawekezaji miaka na miaka, kwa kujua hauna manufaa yoyote, leo hii mtu anakuja hapa kulialia kwa kusikia makelele tu?
Kwani kuna ushahidi gani kwamba Bagamoyo haitajengwa?
Watu wanajiuza na kupiga makelele kupotezea wengine malengo, halafu tunaletewa hapa kelele hizo tuamini kwamba tumepigwa bao?
Bagamoyo itajengwa, na wala haiwezi kushindana na Lamu kwa njia yoyote ile!
Hhhhh.... Kishaija upon wapi ndugu yangu na hii duniaLakn inasemekana bandari ya Bagamoyo isingekuwa na faida kwetu kama tungekubali ijengwe
Acha kujichoresha kuwa huna exposure! Hizo Bandari za Mtwara, Tanga na Dar zinaleta nini?? Zimeleta ufanisi na competition gani???
Hivi Unajua berth katika Bandari zote za Tanga, Dar na Mtwara hazijazizidi kwa idadi berth za Bandari moja tu ya Mombasa ambao wana berth zaidi ya 18???
Sasa kenya kaongeza Bandari nyingine yenye berth 33 na hapo berth 29 amezipa sekta binafsi ili kuweka ufanisi. Sasa utamzidi nini kenya zaidi ya yeye kuzidi kukupiga gap???
Wallah tutajutia sana ujinga wa kupingapinga tu. Jamaa alitudanganya watu wakaingia kingi. Ukweli inakuja ngoja yatasemwa zaidi kwenye magazeti rasmi ili tuondokane na ujinga uliowekwa hapa miaka ya karibuni.
Berth 33 sio mchezo tena za kisasa sio hizi tunahangaika nazo sijui berth 10 Ila mpaka leo hatuna Cha maana na hazijaisha.
Deal done we are out of the league.
pia huko lamu kupata wateja itakuwa ngumu kutpkana na tishio la magaidi Alshabab ndio maana hakutokea mwekezaji na mradi umejengwa karibia miaka kumi
Mradi wa bandari ya Lamu feasibility study yake ilitegemea sana bomba la gesi kutoka Hoima, wakalikosa. Makamanda wnasema tumelala eti Kenya wanazindia bandari, kasahau Mu7 yuko mjini. Unatumpanishaje na bandari ya kwenda Ethiopia? Peoplezzzz wako tayari kula wembe kuisifu Kinya.pia huko lamu kupata wateja itakuwa ngumu kutpkana na tishio la magaidi Alshabab ndio maana hakutokea mwekezaji na mradi umejengwa karibia miaka kumi
Mradi wa bandari ya Lamu feasibility study yake ilitegemea sana bomba la gesi kutoka Hoima, wakalikosa. Makamanda wnasema tumelala eti Kenya wanazindia bandari, kasahau Mu7 yuko mjini. Unatumpanishaje na bandari ya kwenda Ethiopia? Peoplezzzz wako tayari kula wembe kuisifu Kinya.
Kama mnataka kuendesha Bandari wenyewe Kwa nini msifeli?? Wenzenu wanaendesha kwa kushirikiana na sekta binafsi ndo mana zina ufanisi. Nyie endeleeni kunywa kahawa na kupiga kelele tunaibiwaHizo tu tumeshindwa kuziendesha bado tunalilia mpya