Wakati watoto wa masikini mnabishana kuhusu Simba na Yanga, matajiri na marafiki zao wanasiasa wanawagawia ajira nzuri watoto wao

Wakati watoto wa masikini mnabishana kuhusu Simba na Yanga, matajiri na marafiki zao wanasiasa wanawagawia ajira nzuri watoto wao

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nawakumbusha tu vijana.

Kuwa wakati nyie mnabishana kuhusu Simba na Yanga au Liverpool na Man U wanasiasa pamoja na marafiki zao matajiri wanagawanya ajira nzuri nzuri na kuwapatia watoto wao.

Nyie endeleeni kusubiri ajira zile za kukaripiwa na madiwani, ma DAS, ma DED, ma DC n.k, nako hizo zenyewe hamzipati.
 
Hii nimeliona hakika Usipokuwa makini lazima utakuwa msukule hasa Kama umetokea Familiya masikini ,

Unabidi kukaa mbali na Simba na Yanga katika kubishana mara kubishana sijui kuhusu wasanii diamond na Alikiba
Sasa usipobishana ndo utapata hizo ajira au....?
 
Wanasiasa wanapenda tusizinduke na Kujitambua wanataka Muda wote tuwaze Simba na Yanga
Ishu mtoa mada nae kaleta mkanganyiko kidogo...
Kijana ataacha kubishana mambo ya simba na yanga atafanya mambo yake je vipi kuhusu hizo ajira ambazo wanapeana kindugu..
Mi nikazani baada ya kuacha hayo mambo ya kubishana takua miongoni mwa watakaopata hizo ajira ujue
 
ukweli ni kwamba mwenye nacho ataongezewa , na aliye na kidogo hata hicho atapokonywa , ila ukitaka kuchomoka hapo inaitajika nguvu ya ziada.
Markonkovu.....
Ni kweli mkuu.. hivi mkuu hao wanasiasa na matajiri wa kubwa walizaliwa na kukuta mambo yapo hivo moja kwa moja au ni hustle zao tu ..?
 
Ishu mtoa mada nae kaleta mkanganyiko kidogo...
Kijana ataacha kubishana mambo ya simba na yanga atafanya mambo yake je vipi kuhusu hizo ajira ambazo wanapeana kindugu..
Mi nikazani baada ya kuacha hayo mambo ya kubishana takua miongoni mwa watakaopata hizo ajira ujue
Unajua Taarifa sahihi mara nyingi lazima ziwapate wanaozitafuta hapa Tz Kuna Nguvu kubwa imewekezwa kuhakikisha watu wanakuwa wajinga yaani Serikali inatumia Nguvu kubwa ili sisi tusizinduke katika usingizi wa pono
 
Unajua Taarifa sahihi mara nyingi lazima ziwapate wanaozitafuta hapa Tz Kuna Nguvu kubwa imewekezwa kuhakikisha watu wanakuwa wajinga yaani Serikali inatumia Nguvu kubwa ili sisi tusizinduke katika usingizi wa pono
Competitive advantages... 🤓🤓👆
 
Back
Top Bottom