Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ukifatilia yote haya unakuta chanzo ni mtu mwenyewe na wala sio serikali aiseeekwa upande wangu mi naona ni wote ila % kubwa wasio na elimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifatilia yote haya unakuta chanzo ni mtu mwenyewe na wala sio serikali aiseeekwa upande wangu mi naona ni wote ila % kubwa wasio na elimu.
Ahahaha unafanya masikhara nini...we mutu watu wapo kwamaofisi wanapokea malaki na mamilioni na bado wanabeti Simba na Yanga... sembuse masikini asiye na kitu!
Huna akili kabisa! Unataka kubishana au kudhihirisha ujinga wako hapa?!Mifano ya hao waliopewa hizo ajira ipo wapi?
Yaaah ni kweli mkuu ukweli ndo upo hivo ata angekua ni yeye angefanya hivo hivo hakuna jinsiHuna akili kabisa! Unataka kubishana au kudhihirisha ujinga wako hapa?!
Nenda B.O.T na wizara kubwa nyeti kama una ubavu wa kuingia ukajionee.
Mwenye nacho anaongezewa!Yaaah ni kweli mkuu ukweli ndo upo hivo ata angekua ni yeye angefanya hivo hivo hakuna jinsi
Yaaah ndo ipo hivo...Mwenye nacho anaongezewa!
Tz simba na yanga imeharibu kabisa mtakabali wao.Nawakumbusha tu vijana.
Kuwa wakati nyie mnabishana kuhusu Simba na Yanga au Liverpool na Man U wanasiasa pamoja na marafiki zao matajiri wanagawanya ajira nzuri nzuri na kuwapatia watoto wao.
Nyie endeleeni kusubiri ajira zile za kukaripiwa na madiwani, ma DAS, ma DED, ma DC n.k, nako hizo zenyewe hamzipati.
Basi endeleeni na " Mlete Mzungu na Mayele "Kwahiyo tukiacha kubishana ndio tutapata hizo ajira au?
A.k.a WALAMBA ASALI 😂👍🏾Yaaah ndo ipo hivo...
Inabidi mtu upambane uwe nacho ili na wewe uingie kwenye fungu la hao wenye kuongezewa
🤓🤓🤓👆👆🤝🤝🤝 KaribuBasi endeleeni na " Mlete Mzungu na Mayele "
Tufanyaje sasa ?...hata tusipobishana ndio watatupa hizo ajira nzuri ?Nawakumbusha tu vijana.
Kuwa wakati nyie mnabishana kuhusu Simba na Yanga au Liverpool na Man U wanasiasa pamoja na marafiki zao matajiri wanagawanya ajira nzuri nzuri na kuwapatia watoto wao.
Nyie endeleeni kusubiri ajira zile za kukaripiwa na madiwani, ma DAS, ma DED, ma DC n.k, nako hizo zenyewe hamzipati.
Sasa shida ni ya kijana au ni simba na yangaTz simba na yanga imeharibu kabisa mtakabali wao.
Unaenda dukani kijana anauza duka lakini hajali wateja kabisa kwa sababu anaangalia mechi ya Yanga.
kufirwa tu na kupata vya bure kama wanavyojidanganya.Sasa kama kijana mwenyewe hataki kujitambua what next 🤓🤓🤓
kweli mkuu , nimekuuliza kwa sababu vijana wapate kujua ,nini maana hasa ya kujitoa sadaka... kwenye maneno matakatifu wanasema sadaka ya kweli ni ile unayotoa huku inauma , kwa hiyo hili kutoka kwenye umaskini inabidi tuachane na baadhi ya hivi huku tunaumia tu . Mfano Mademu wengi , umbea , kushiriki kwenye mijadala isiyo na tija.Sadaka ni toleo la chochote.. kutoa
Ahahahahaha daahkufirwa tu na kupata vya bure kama wanavyojidanganya.
Yaaah yaani kujitoa ni kitu kimoja kigumu sana an utaumia ila ndo hivo unakua na target ya kitu fulan kweli mkuu wala ujakosea kabisakweli mkuu , nimekuuliza kwa sababu vijana wapate kujua ,nini maana hasa ya kujitoa sadaka... kwenye maneno matakatifu wanasema sadaka ya kweli ni ile unayotoa huku inauma , kwa hiyo hili kutoka kwenye umaskini inabidi tuachane na baadhi ya hivi huku tunaumia tu . Mfano Mademu wengi , umbea , kushiriki kwenye mijadala isiyo na tija.