Wakati wenzetu wanang'aka kuhusu vita DRC, Waganda tayari wameanza kuchangamkia fursa, Wakenya tusichelewe

Hahahaha, hatuwezi kufanya hilo kosa, tukiruhusu mtajazana Tanzania Kama "Ukrainians" wanavyojazana Poland[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mkuu wanadhani watatuprovoke tuone tumechelewa wapate chance ya kuingia ingia hovyo na kutoka.By the way kabla DRC hajawa mwanachama wa EAC alikuwa mwanachama wa Tanzania,( sijui kama watanielewa).
 
Geza uko vizuri kwenye kutuhabarisha hapa jamvini. I salute you brother.
 
Yeah sure ndio maana Nasema DRC ni mshirika wetu kitambo sana , tunajuana vizuri sana, ukaribu wetu na wao ni faida kubwa.
 
Nakwmabia hivi hatutakurupuka kufanya kitu ambacho nyinyi mnakifanya mkilenga faida, hujui yaliyoko jikoni. Tanzania yetu ina maana sana kufanya vitu kwa umakini kuliko kukurupuka. Tunaweka mambo sawa. Mnakumbuka mlivyokuwa mnakomaa mnataka ardhi iwe ndani ya jumuia ya muungano wa EAC?? Ingekuwaje iwapo tungekurupuka na kuridhia???TUKO MAKINI KIJANA.
 

Huwa mnachelewa sana kwenye kila kitu na ndio imesababisha bado mko maskini wa kutupwa hadi leo, raslimali zenu zinaliwa na kuchukuliwa kisa huko kuchelewa kwenu.
 

Tatizo lao huchelewa kwenye kila kitu kisha wanakurupuka dakika za mwisho inakua kama vurugu. Sijui shida huwa IQ au nini haswa...
 
Sisi hatuwezi kuwaruhusu wakenya kuingia Tanzania kwa kutumia ID, ninyi mtajazana huku Tanzania hamtorudi Kenya, ninyi ni wakora, nchi yenu imewashinda Sasa mnataka kuja kutuharibia nchi yetu, rushwa, ujambazi, wizi na ukabila ndio tunaogopa
 
Tatizo lao huchelewa kwenye kila kitu kisha wanakurupuka dakika za mwisho inakua kama vurugu. Sijui shida huwa IQ au nini haswa...
Hahahaha, msijiliwaze katika hili mkidhani Kuna siku mkenya ataweza kutumia ID kuingia Tanzania, haiwezikani, kukurupuka kwenu ndio sababu mnapigwa na wachina katika kila mradi, mlikurupuka na CoW ikashindikana, tourist visa ikashindikana, bila Tanzania hapa EA hakuna kinachowezekana
 
Wakongo hakuna nchi wanayoikubali Kama Tanzania hii fursa waliopata sidhan Kama Kuna asilimia kubwa ya wakongo wanaowaza Kenya na Uganda wao akili yako Tanzania tu
 
Wakongo hakuna nchi wanayoikubali Kama Tanzania hii fursa waliopata sidhan Kama Kuna asilimia kubwa ya wakongo wanaowaza Kenya na Uganda wao akili yako Tanzania tu

Hehehe! Hapa ndipo ilipo tofauti yetu na nyie wahanga wa mfumo wa ujamaa, kikubwa kwenu ni kukubalika na Wakongo, mnatosheka tu na ile kwamba Wakongo akili zao ziko Tanzania, mnapenda sana kuitwa ndugu na pumba zote za ujamaa.

Sisi akili zetu zinawaza maslahi ya kiuwekezaji, hatuna muda wa kutafuta undugu.

Ndio maana Wachina walishajua namna ya kuwatafuna, wanajimix na kuwaita ndugu mpaka wameingia kwenye siasa za nchi...

 
Wakongo hakuna nchi wanayoikubali Kama Tanzania hii fursa waliopata sidhan Kama Kuna asilimia kubwa ya wakongo wanaowaza Kenya na Uganda wao akili yako Tanzania tu
Umeongea vyema mkuu.
 
Mkuu tuleteeni mafuta ya kupikia si Mama alishawafungulia milango
 
True, Uganda ,Rwanda wako chap chap. Hawa
majirani wa kusini Mungu awasaidie sana. Hawa DRC naona wakijiunga na coalition of the willing. Hakuna mambo ya kutumia passport wala kulipa visa kuingia DRC hivi karibuni.
Ndugu asilazimishe mambo.
Kama unaona Tz hakuna deals, fursa au mwitikio nendeni huko kwingineko unapoona panakufaa. Tanzania ni nchi rafiki na ndugu kwa kila jirani lakini haifanyi mambo yake kwa kujipendekeza au kumridhisha mtu.
 
Kuna nchi wachina wameipiga kama Kenya?alafu anawajengea vitu low quality wakati hapa Tanzania hawezi kujenga vitu low quality.
 
Kuna nchi wachina wameipiga kama Kenya?alafu anawajengea vitu low quality wakati hapa Tanzania hawezi kujenga vitu low quality.

Nimetokea kupenda kazi ya Wachina, wako vizuri sana kama ukiwabana kinyang'au, tumejimwayimayi kwenye SGR miaka yote hii, hivi jameni huwa mnatia huruma, ina maana mpaka leo hamjaanza kutumia SGR kale kasafu ka Dar to Moro, huyo mkandarasi amewatesa sana nyie watu.
 
True, Uganda ,Rwanda wako chap chap. Hawa
majirani wa kusini Mungu awasaidie sana. Hawa DRC naona wakijiunga na coalition of the willing. Hakuna mambo ya kutumia passport wala kulipa visa kuingia DRC hivi karibuni.
Ya right...


COW is long dead Uganda ur main supporter is no longer trading with u sorry ass!
 
Sisi hatuwezi kuwaruhusu wakenya kuingia Tanzania kwa kutumia ID, ninyi mtajazana huku Tanzania hamtorudi Kenya, ninyi ni wakora, nchi yenu imewashinda Sasa mnataka kuja kutuharibia nchi yetu, rushwa, ujambazi, wizi na ukabila ndio tunaogopa
Hapa tulipo tayari wapo busy kuingiza mifugo Ngorongoro kwa kisingizio eti Maasailand ila cha ajabu wanairuka Masai Mara!
 
True, Uganda ,Rwanda wako chap chap. Hawa
majirani wa kusini Mungu awasaidie sana. Hawa DRC naona wakijiunga na coalition of the willing. Hakuna mambo ya kutumia passport wala kulipa visa kuingia DRC hivi karibuni.
Ninyi watu wapumbavu sana, sifa yenu kubwa ni kujipiga vifua for nothing

FYI hakuna taifa linafanya biashara na DRC Africa kama Tanzania na haitotokea siku kunyaland ifike hata 20% ya trade volume ya Tanzania na DRC

Tanzania ina zaidi ya bandari 200 Tanganyika zinatumika kuingiza bidhaa DRC na hapo bado barabara na SGR

Your browser is not able to display this video.

 
Tatizo lao huchelewa kwenye kila kitu kisha wanakurupuka dakika za mwisho inakua kama vurugu. Sijui shida huwa IQ au nini haswa...

True, Uganda ,Rwanda wako chap chap. Hawa
majirani wa kusini Mungu awasaidie sana. Hawa DRC naona wakijiunga na coalition of the willing. Hakuna mambo ya kutumia passport wala kulipa visa kuingia DRC hivi karibuni.


Wakunya mnatakiwa muelewe kitu kimoja, Tanzania ina mpaka mrefu sana na DRC huku kunyaland ikiwa haina mpaka wowote na DRC so obviously lazima Tanzania itafanya biashara kubwa na DRC kuliko kunyaland kutokana na logistics, bidhaa kutoka kilometers 2000 ni tofauti na bidhaa kutoka kilometers 2

Mbona mmekosa akili kiasi hiki Wakunya?

Tanzania ina export business worth of 500$ million wakati kunyaland ni just 15$ million bado mnataka kutufundisha kuhusu DRC? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…