Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Yeye haamini kwa kuwa hana kifungu mkuu. Ndio maana anakuomba wewe unayeamini umpe kifungu.
Kuna kifungu kwenye Biblia kinakwambia piga mswaki asubuhi? Uende kanisani Jumapili? vaa nguo? n.k Lakini anaamini kwenda kanisani kutamsaidia katika safari ya kwenda Mbinguni. Biblia ina mafundisho ya Mungu ila Mafundisho ya Mungu si Biblia pekee!

(Yohane 21:25)
”Kuna mambo Mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama yangeandikwa yote, moja baada ya jingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa"

Biblia haijajitosheleza, na yapo mengi mno ambayo hayajasimuliwa

“Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji kuja kwenu, na kusema nanyi mdomo kwa mdomo, ili furaha yetu iwe imetimizwa” (2Yoh 12).
“Nalikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu. Lakini nataraji kukuona karibu, nasi tutasema mdomo kwa mdomo” (3Yoh 13-14).

Pia yapo mapokeo yanayodhihirisha Maria alipata Neema ya kukingiwa dhambi ya asili, Hivyo hakufa! Alikingiwa dhambi ya asili ili aje kumzaa Mwana wa Mungu.

-Lk. 1:30-31 neno linasema
Malaika akamwambia ‘ usiogope Mariamu, kwa maana umepata NEEMA kwa Mungu, tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume na jina lake utamwita Yesu

Ufu 12:1
“Ishara kubwa ikaonekana mbinguni, ambapo mwanamke aliyevikwa jua, pia na mwezi chini ya miguu yake, na taji la nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake”
 
Kwa jamii iliyostarabika neno bikira linaondoa staha kwa baadhi ya watu.Neno hili ni zao la tafsiri mbovu iliyofanywa na wajumbe 72 walioteuliwa na mfalme Ptolemy II waliopewa jukumu la kuandika Septuaginta(LXX) ambayo ndiyo biblia mama.Neno 'almah' kwa kiebrania linamaanisha binti aliyebarehe ila hajaolewa(mwali) lakini lilitafsiriwa kama 'pathernos' kwa kigiriki likimaanisha bikira.Haya mengine akili na ufahamu wangu hayanipi nafasi kujadili.
 
Kuna kifungu kwenye Biblia kinakwambia piga mswaki asubuhi? Uende kanisani Jumapili? vaa nguo? n.k Lakini anaamini kwenda kanisani kutamsaidia katika safari ya kwenda Mbinguni. Biblia ina mafundisho ya Mungu ila Mafundisho ya Mungu si Biblia pekee!

(Yohane 21:25)
”Kuna mambo Mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama yangeandikwa yote, moja baada ya jingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa"

Biblia haijajitosheleza, na yapo mengi mno ambayo hayajasimuliwa

“Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji kuja kwenu, na kusema nanyi mdomo kwa mdomo, ili furaha yetu iwe imetimizwa” (2Yoh 12).
“Nalikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu. Lakini nataraji kukuona karibu, nasi tutasema mdomo kwa mdomo” (3Yoh 13-14).

Pia yapo mapokeo yanayodhihirisha Maria alipata Neema ya kukingiwa dhambi ya asili, Hivyo hakufa! Alikingiwa dhambi ya asili ili aje kumzaa Mwana wa Mungu.

-Lk. 1:30-31 neno linasema
Malaika akamwambia ‘ usiogope Mariamu, kwa maana umepata NEEMA kwa Mungu, tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume na jina lake utamwita Yesu

Ufu 12:1
“Ishara kubwa ikaonekana mbinguni, ambapo mwanamke aliyevikwa jua, pia na mwezi chini ya miguu yake, na taji la nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake”
Mama wa Yesu anaitwa Mariamu.
 
Imani ni ufunuo kwa ajili ya watu fulani

Kama wakatoliki ndo wamefunuliwa hivyo na wewe hujafunuliwa bado hayo , basi yaache

Hata Neema ya ukristo tumefunuliwa wachache na ambao hawajafunuliwa hutuona sisi machizi kwahiyo usikonde

Mariam ni mama wa KRISTO YESU hivyo anaweza kweli kukuombea kwa mwanae amini Amin amin

MK254, kuna yale mambo yetu huku.

Kwa hakika kushindanisha imani ni kuonyesha umbumbu hadharani!

Dini si timu za mpira.

Au nasema uongo?
 
Nimekuweka andiko na wewe weka andiko toka Biblia ya Kiswahili.
Maneno ya Kashfa yanatoka katika Kichwa cha Mpumbavu tu.

Mathayo (Mat) 1:18 Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu
Onesha neno la kashfa hata moja
Nikupe vocha.
 
Watu walioandika biblia kuna makosa mengi sana ya kiufundi walifanya.

Mfano: Huwezi kusema Mungu ni roho, halafu wakati huo huo ana MKONO WA KUUME na wa kushoto. Huo mkono unatokea wapi tena? Roho zina mikono?
Inawezekana hayo makosa ni athari za matokeo ya ubinadamu wao.
 
Watu walioandika biblia kuna makosa mengi sana ya kiufundi walifanya.

Mfano: Huwezi kusema Mungu ni roho, halafu wakati huo huo ana MKONO WA KUUME na wa kushoto. Huo mkono unatokea wapi tena? Roho zina mikono?
Haha
 
Siku zote nimekuwa nikiwasikia wakatoliki katika sara zao wakimuomba bikra Maria, mama yake Yesu, awaombee. Hata katika nyimbo nyingi wanazotunga, wanamtaja bikra Maria na kumsihi awaombee kwa Yesu. Je, kwani huyu mama bado yu hai? Je, imani ya dini yao haihuruhusu muumini kumuomba Yesu moja kwa moja bila kupitia kwa mama yake?

View: https://www.youtube.com/watch?v=V9C1rqOJfxc
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila majibu lakini nikaona leo nilete hili swali mbele ya wanazuoni wa masuala ya dini mliojaa hapa JF mnisaidie kutegua hiki kitendawili. Mtu yeyote anayefahamu hili suala kinagaubaga naomba anifahamishe nipate kuelewa.

Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kuwa mtu pekee aliyekufa na kufufuka ni Yesu tu. Sasa huyu bikra Maria ina maana yeye hakufa? Kama bado yu hai yupo wapi? Tunaambiwa Yesu baada ya kufufuka alipaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Je, Maria yeye yu wapi? Au yeye ndiye ameketi mkono wa kushoto?

Maswali ni mengi lakini kwa kuwa humu JF kuna watu wenye uelewa mkubwa wa masuala ya dini, wakiwemo mapdre na maaskofu wa kanisa Katoliki mliomo humu, naomba mnifafanulie kuhusu hili jambo nipate kufunguka macho.

Asanteni sana.

Maria ni mwanadamu wa kawaida, hana hadhi kuongea mbele za Mungu kwa ajili ya wanadamu wengine kwa sababu hakulipa deni lolote. Yesu Kristo pekee (ambaye ni Mungu) ndiye kafara ambalo Mungu alijifanyia yeye mwenyewe kwa ajili ya wanadamu kupitia kwa maombi, na chochote kama kiunganishi. Yesu Kristo ni Mungu aliyeuvaa mwili hivyo ni Mungu yule yule, na alipofanyika kafara ni kwamba alikuwa anatengeneza kafara yeye mwenyewe ili wanadamu wapitie kwa maombi, kwa wokovu na kwa kila communication. kwa maana hiyo, maraia hana hadhi pia kumwambia Yesu chochote kwa niaba ya wanadamu wengine kwa sababu Yesu ni Mungu. Maria alikuwa anamwambia hivyo Yesu akiwa katika mwili hapa duniani, mwili alioufanya wa kibinadamu, na alikuwa mama kwa kibinadamu na siku Yesu alipokufa na kupaa mbinguni baada ya kufufuka ndio mwisho wa ubinadamu wa Yesu hivyo maria hana hadhi.

kwanini tunasema maria hana hadhi? kwa sababu hakufanyika kafara, hakufa kwa ajili ya wanadamu, hakumwaga damu hata ya kujikwaa kidoleni tu kwa ajili ya wanadamu, hivyo ni ujinga mkubwa sana kumfanya mwombezi wakati hana mandate kumsogeza mwanadamu yeyote mbele za Mungu.

YOHANA 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi

MATENDO 4:12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.

YOHANA 14:13 Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.

hii ni mistari michache tu ambayo Yesu mwenyewe aliagiza kwamba hatuwezi kupata chochote tusipoomba kwa Jina lake, sasa wakatoliki wanamdharau Yesu wanaona bora waombe kwa maria. wanajilisha upepo.

MUNGU ametupatia wanadamu njia ya kuwasiliana naye, namna ya kufika kwake, shetani akaingiza njia anayoijua yeye ili wanadamu wapoteze muda mwingi kuomba bila majibu, na ndio maana hakuna mkatoliki mwenye uwezo kufukuza hata mchawi au pepo, na majority wanategemea waganga, wachawi na washirikika na bado wanaomba kwa maria wao, ninyi wenyewe mashahidi, mnajijua hamna Mungu moyoni, hamjawahi kumwona wala kuhisi, mnamsikia tu. wala Roho wake Mtakatifu hamjawahi kujaa, kanisa la kwanza matendo ya mitume walijaa Roho Mtakatifu na waliweka mikono juu ya watu waliookoka wakajawa na Roho Mtakatifu. ninyi sio tu kwamba mmeukataa wokovu, bali mmemkataa Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema bila huyo hatuwezi kufanya lolote, mnaamua muongozwe kwa mapokeo yaliyokufa na yasiyookoa. Mungu awasaidie.
 
Watu walioandika biblia kuna makosa mengi sana ya kiufundi walifanya.

Mfano: Huwezi kusema Mungu ni roho, halafu wakati huo huo ana MKONO WA KUUME na wa kushoto. Huo mkono unatokea wapi tena? Roho zina mikono?
hauwezi kujua hilo kama unawaza kimwili, na kama haujawahi kuingia rohoni. rohoni ni ulimwengu halisi, kabisa, siku ukifanikiwa kuingia huko utajua.
 
hauwezi kujua hilo kama unawaza kimwili, na kama haujawahi kuingia rohoni. rohoni ni ulimwengu halisi, kabisa, siku ukifanikiwa kuingia huko utajua.
Wewe uliyewahi kuingia rohoni tuambie kama umewahi kukutana naye huko mkuu. Mbona unajihami badala ya kutuelewesha?
 
Hapa unawaambia nini ambao huamini kua Yesu ni Mungu? kwa mujibu wa andiko lako hapa ni kua Yesu na Mungu ni vitu viwili tofauti,

Ufafanuzi tafadhali.
Kwanza ni lazima kujua kuwa Yesu Kristo ni Mwili na Roho, ana ubinadamu na Umungu. Hapo mwanzo wakati wa uumbaji Mungu alisema 'na tumfanye mtu kwa mfano wetu'. Huo mfano ni upi? Ndiyo Yesu. Alipokuja duniani alizaliwa kama wanadamu wengine na akafanyakazi ya kuwafundisha watu Mungu anataka nini, ndiyo maana yeye pia ni Neno la Mungu. Wakati anakufa msalabani alilia 'Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha?' Kwa sababu Roho ilikuwa inajitenga na Mwili, hivyo mwili ulikufa na kuzikwa, ila Roho iliungana tena na Mwili na akafufka siku ya tatu. Yesu kama Mwili amekaa kwenye kiti cha Ufalme ili kutekeleza hukumu. Kumbuka kuwa Mfalme au Hakimu hutoa hukumu uso kwa uso na mtuhumiwa, hivyo Roho ya Mungu kwa kuwa haionekani, Yesu ndiye utakayemuona uso kwa uso atakapokuwa anatoa hukumu. Huwezi kukwepa kwa sababu yeye mwenyewe ameishi hapa duniani na kuonyesha mfano wa mapendo ya Mungu kwa mwanadamu!
 
Idol worshipers hawajawahi kuwa na Akili .. though wanajisanifu viongozi wao wasomi wa PhD ..

Alafu anapigia magoti huyu mashakani

1732465658896.jpeg
 
Ndio
Mama wa Yesu jina lake ni Mariamu na sio Maria.
Hata Qurani inatambua hivyo
Na ina sura ya Mariamu
mama yake Isa.
Isa Bin Mariam.
Qur'an na Biblia ipi ilitangulia? Muwe mnatafakari kwanza kabla ya kuja hadharani! Biblia karne ya 1 na Qur'an ya Muhammad karne ya 7, wapi na wapi? Qur'an imechukua ya kwenye Biblia na kuyafanyia uchakachuaji na kuandikiwa Tafsiri.
 
Siku zote nimekuwa nikiwasikia wakatoliki katika sara zao wakimuomba bikra Maria, mama yake Yesu, awaombee. Hata katika nyimbo nyingi wanazotunga, wanamtaja bikra Maria na kumsihi awaombee kwa Yesu. Je, kwani huyu mama bado yu hai? Je, imani ya dini yao haihuruhusu muumini kumuomba Yesu moja kwa moja bila kupitia kwa mama yake?

View: https://www.youtube.com/watch?v=V9C1rqOJfxc
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila majibu lakini nikaona leo nilete hili swali mbele ya wanazuoni wa masuala ya dini mliojaa hapa JF mnisaidie kutegua hiki kitendawili. Mtu yeyote anayefahamu hili suala kinagaubaga naomba anifahamishe nipate kuelewa.

Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kuwa mtu pekee aliyekufa na kufufuka ni Yesu tu. Sasa huyu bikra Maria ina maana yeye hakufa? Kama bado yu hai yupo wapi? Tunaambiwa Yesu baada ya kufufuka alipaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Je, Maria yeye yu wapi? Au yeye ndiye ameketi mkono wa kushoto?

Maswali ni mengi lakini kwa kuwa humu JF kuna watu wenye uelewa mkubwa wa masuala ya dini, wakiwemo mapdre na maaskofu wa kanisa Katoliki mliomo humu, naomba mnifafanulie kuhusu hili jambo nipate kufunguka macho.

Asanteni sana.

Ukiataka Kujua yote haya na kwanini huwa waroma wanaadhimisha Siku ya Kupaizwa kwa Mariam 15 August..

Soma Kitabu Cha Papa Pius wa XII kinaitwa Munificentissimus Deus..

images (2).jpeg

images (1).jpeg
 
Siku zote nimekuwa nikiwasikia wakatoliki katika sara zao wakimuomba bikra Maria, mama yake Yesu, awaombee. Hata katika nyimbo nyingi wanazotunga, wanamtaja bikra Maria na kumsihi awaombee kwa Yesu. Je, kwani huyu mama bado yu hai? Je, imani ya dini yao haihuruhusu muumini kumuomba Yesu moja kwa moja bila kupitia kwa mama yake?

View: https://www.youtube.com/watch?v=V9C1rqOJfxc
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila majibu lakini nikaona leo nilete hili swali mbele ya wanazuoni wa masuala ya dini mliojaa hapa JF mnisaidie kutegua hiki kitendawili. Mtu yeyote anayefahamu hili suala kinagaubaga naomba anifahamishe nipate kuelewa.

Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kuwa mtu pekee aliyekufa na kufufuka ni Yesu tu. Sasa huyu bikra Maria ina maana yeye hakufa? Kama bado yu hai yupo wapi? Tunaambiwa Yesu baada ya kufufuka alipaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Je, Maria yeye yu wapi? Au yeye ndiye ameketi mkono wa kushoto?

Maswali ni mengi lakini kwa kuwa humu JF kuna watu wenye uelewa mkubwa wa masuala ya dini, wakiwemo mapdre na maaskofu wa kanisa Katoliki mliomo humu, naomba mnifafanulie kuhusu hili jambo nipate kufunguka macho.

Asanteni sana.

Wakatoriki ndio Wana vitabu vyote vya maarifa kuhusu mambo yanayoonekana na yasiyoonekana ,biblia na zaidi ya biblia, biblia Yao tu Ina vitabu 72, Tena vina uvuvio, ila mlivoshindwa kuvielewa kwa msaada wa Mungu mkasema havina uvuvio,. , hakuna jambo wanafanya kwa bahati mbaya, ila SEMA nyie kwenye kuhangaika kutafuta maana mmekuwa mkiibuka na maana potoshi alafu mnamsingizia roho MTAKATIFU
 
Back
Top Bottom