Dokta hi symbol ya Mkono mmoja na vidole vi2 juu umeona Miungu mingapi Hadi Sasa katika alama hiyo. ?Ukiataka Kujua yote haya na kwanini huwa waroma wanaadhimisha Siku ya Kupaizwa kwa Mariam 15 August..
Soma Kitabu Cha Papa Pius wa XII kinaitwa Munificentissimus Deus..
View attachment 3160545
View attachment 3160544
Lete ushahidi wa andiko.Bikra Maria alipalizwa mbinguni akiwa mzima bila kufa.
Wewe hauwezi kuzungumza na Mama akamueleze Baba kama unahitaji jambo fulani? Bikira Maria ndiye alimzaa Yesu, anamjua mwanaye na aliumia hata wakati anateswa msalabani, Anamfahamu vyema mwanae.Kwenye Harusi ya Kana baada ya Divai kuisha mbona hawakumuendea Yesu moja kwa moja bali walienda kwa mama yake ili akawaombee? Kuna ubaya gani kupitisha maombi yako kwa mama ili yamfikie Baba? Hususan kama una makosa fulani uliyatenda yanayokufanya mpaka unaogopa kwenda kwa Baba.Kuhusu kufa na kufufuka mbona wapo watakatifu wengi tu ambao walikufa miili ila roho zao zi hai, Na wanatuombea kila siku, mfano Yesu alipokuwa mlimani alitokewa na Manabii Musa na Eliya ambao walishakufa zamani, Mifano ni mingi ila kwa leo ngoja tuishie hapa.
naongezea 'waache kuwashwawashwa hayawahusu'Haya masuala nadhani mngetuachia sisi wenyewe Wakatoliki. Maana hayakuhusu/hayawahusu. Ok?
Hiyo Symbol Ni Mudra Inaitwa Prana Mudra ni Mudra ambayo inabalance karibu vital elements zote earth, water, na fire..Dokta hi symbol ya Mkono mmoja na vidole vi2 juu umeona Miungu mingapi Hadi Sasa katika alama hiyo. ?
Mama wa Yesu alikuwa anakunywa Divai peke yake? Na kwanini awape maelekezo ya nini cha kufanya ili kupokea muujiza huo wa maji kuwa divai kutoka kwa Yesu?Hapa mkuu naona umeongea mawazo yako maandiko hayaonyeshi kama watu walimfuata mama wa Yesu kuomba divai ila mama wa Yesu yaani Mariamu mwenyewe alimwambia Yesu kua divai imeisha.
Pengine hajui! Muelekeze aelewe usitumie lugha ya ukali muumini! Hasira ya nini?Peleka upuuzi wako huko
Vipi kuhusu Baphomet ?Hiyo Symbol Ni Mudra Inaitwa Prana Mudra ni Mudra ambayo inabalance karibu vital elements zote earth, water, na fire..
Na mara Nyingi hutumika Kutaka Kuwatakia au Kueneza Amani kwa Wote..
Hata Yesu Ana picha Nyingi akionyesha Prana Mudra kw sababu ni Kama Ukiwa Unasema Amani iwe Juu yenu...
Krishna Amewahi kutoa Salamu au Mudra hiyo na Karibu Miungu yote imewahu kutoa Salamu hiyo au Mudra hiyo..
Ni peace Mudra..
Kuonyesha Kujaza amani kwa Watu au Ni sawa na Kusema Amani iwe nawe
Baphomet ina maaelezo mengi sana But yeah Baphomet pia Ina Prana mudra..Vipi kuhusu Baphomet ?
Unajua mambo ya dini hayafai kuyachambua tuwaache kila mtu aamini atakavyoSiku zote nimekuwa nikiwasikia wakatoliki katika sara zao wakimuomba bikra Maria, mama yake Yesu, awaombee. Hata katika nyimbo nyingi wanazotunga, wanamtaja bikra Maria na kumsihi awaombee kwa Yesu. Je, kwani huyu mama bado yu hai? Je, imani ya dini yao haihuruhusu muumini kumuomba Yesu moja kwa moja bila kupitia kwa mama yake?
View: https://www.youtube.com/watch?v=V9C1rqOJfxcHili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila majibu lakini nikaona leo nilete hili swali mbele ya wanazuoni wa masuala ya dini mliojaa hapa JF mnisaidie kutegua hiki kitendawili. Mtu yeyote anayefahamu hili suala kinagaubaga naomba anifahamishe nipate kuelewa.
Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kuwa mtu pekee aliyekufa na kufufuka ni Yesu tu. Sasa huyu bikra Maria ina maana yeye hakufa? Kama bado yu hai yupo wapi? Tunaambiwa Yesu baada ya kufufuka alipaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Je, Maria yeye yu wapi? Au yeye ndiye ameketi mkono wa kushoto?
Maswali ni mengi lakini kwa kuwa humu JF kuna watu wenye uelewa mkubwa wa masuala ya dini, wakiwemo mapdre na maaskofu wa kanisa Katoliki mliomo humu, naomba mnifafanulie kuhusu hili jambo nipate kufunguka macho.
Asanteni sana.
NonsenseBikra Maria alipalizwa mbinguni akiwa mzima bila kufa.
Kama mariam n mama yetu, basi yesu ni kaka yetu. Naogopaje kumwambia kaka yangu kua nimemega kamke kajirani yangu naomba unisamehe!?!?Wewe hauwezi kuzungumza na Mama akamueleze Baba kama unahitaji jambo fulani? Bikira Maria ndiye alimzaa Yesu, anamjua mwanaye na aliumia hata wakati anateswa msalabani, Anamfahamu vyema mwanae.Kwenye Harusi ya Kana baada ya Divai kuisha mbona hawakumuendea Yesu moja kwa moja bali walienda kwa mama yake ili akawaombee? Kuna ubaya gani kupitisha maombi yako kwa mama ili yamfikie Baba? Hususan kama una makosa fulani uliyatenda yanayokufanya mpaka unaogopa kwenda kwa Baba.Kuhusu kufa na kufufuka mbona wapo watakatifu wengi tu ambao walikufa miili ila roho zao zi hai, Na wanatuombea kila siku, mfano Yesu alipokuwa mlimani alitokewa na Manabii Musa na Eliya ambao walishakufa zamani, Mifano ni mingi ila kwa leo ngoja tuishie hapa.
Umejuaje alie uliza sio mkatoriki?Haya masuala nadhani mngetuachia sisi wenyewe Wakatoliki. Maana hayakuhusu/hayawahusu. Ok?
Dr na wewe unaamini mariamu alipaa??Ukiataka Kujua yote haya na kwanini huwa waroma wanaadhimisha Siku ya Kupaizwa kwa Mariam 15 August..
Soma Kitabu Cha Papa Pius wa XII kinaitwa Munificentissimus Deus..
View attachment 3160545
View attachment 3160544
Uvuvio are you serious??Wakatoriki ndio Wana vitabu vyote vya maarifa kuhusu mambo yanayoonekana na yasiyoonekana ,biblia na zaidi ya biblia, biblia Yao tu Ina vitabu 72, Tena vina uvuvio, ila mlivoshindwa kuvielewa kwa msaada wa Mungu mkasema havina uvuvio,. , hakuna jambo wanafanya kwa bahati mbaya, ila SEMA nyie kwenye kuhangaika kutafuta maana mmekuwa mkiibuka na maana potoshi alafu mnamsingizia roho MTAKATIFU
alionekana na mimba ya miezi mingapi wakati ndio kwanza kaposwa?Hakuna jina la Maria kwenye Biblia.
Acheni kuwapotosha watu.
Mathayo (Mat) 1:18
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.