Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Nimepata jibu nazungumza na nani sasa, Tuishie hapo tajiri.
 
- Nashangaa mpaka sasa mleta mada bado hajajitokeza kutetea huu ujinga alioandika hapa.

Hii tabia ya mleta mada kuleta uzi halafu anakimbia bila kuutetea uzi wake inaonesha vile alivyo na nia ovu, amekuja kupotosha makusudi akijua vizuri anachoandika ni uongo, huu ni upuuzi usiotakiwa kulelewa hapa JF.

Unaandika uongo makusudi halafu unakaa pembeni kutazama, huu ni sawa na uchonganishi usiokuwa na maana, utoto; kama huwezi kuitetea mada yako next time usiandike ujinga wako hapa.

- Hili sio jukwaa la ushabiki na mihemko, ni jukwaa la facts, kama hauna just shut up.



Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wewe kama hujui funga shithole lako
 
Ninyi mmehakikishiwa
Kuhakikishiwa nini, sijakuelewa.

Uislam hauna mfumo wa Kikristo, sisi kila mmoja ni mchungaji (khalifa) wa nafsi yake na wa wenzake.

Usifananishe kabisa, Uislam ni mwema sana, sheria zetu zilikamilika miaka 1,400 iliyopita, mpaka leo hakuna anaeweza kubalisha, kuzipunguza wala kuzizidisha.
 
So kugonga kitoto Cha miaka tisa na kukioa kwako freshi tu...?
 
Hawaujadili ila ndio washiriki wakubwa wa ushoga, uliza wajuzi wakujuze
Haiondoi ukweli uislam hauna room ya kujadili ama ukubaliwe au ukataliwe ni NOOOOO. Lakini kwa papa kila siku anajiuma uma kuhusu ushoga
 
Ukatoliki unaenda kufa kifo Cha mende!! Safi sana!!dhambi ya kuwaua mitume wa kristo inawatafuna .haiji Akilini makao makuu ya katoliki kuwa Roma nchi ya kishenzi iliyomuua Petro mtume mkuu wa ukristo
Ulitegemea Petro ataishi milele ama. Vipi kuhusu waliomuua Yesu?
 
Maadui wa ukatoliki yakiwemo makanisa ya mfukoni na ile dini ya shetani yamepata hoja ya kushambulia wakatoliki.
Kwanza kanisa hadi sasa halijaruhusu ndoa za mashoga. Ni kweli kuwa papa amepotoka kwa kuruhusu kundi moja la watenda dhambi kupewa recognition, lakini kwa mfumo wa ukatoliki nguvu iko kwa maaskofu wa majimbo na hata pale vatican papa hana mamlaka ya kidikteta ya kuimpose hoja yake katika dunia ya wakatoliki. Kwa wale mapadre ambao ni watenda dhambi katika baadhi ya nchi hasa za ulaya kama maaskofu wao wanaowasimamia nao ni watenda dhambi ndio watakaobariki mashoga kwani watakuwa hawana kikwazo, lakini huku africa na sehemu nyingi zaidi hizo baraka hazitatolewa.

Natumaini Papa wa sasa atatoka soon na papa mpya atafuta hayo maelekezo.

Kanisa katoliki halijaacha wala halitaacha misingi yake na Yesu hawezi kuruhusu lipotee kwani ndio kanisa lake pekee alilolisimika na alitoa uhakikisho kuwa milango ya kuzimu haitalishinda.

Endeleeni kufurahi enyi maadui wa Kanisa Katoliki lakini ndoto zenu hazitatimia kamwe.
 
denoo JG
Naona unanilaumu bure, nadhani kwa kuwa umepanic.
Umesoma mada yangu na kuelewa?

Embu sema ni upi uongo nimeandika?
Hivi unadhani wakatoliki wana furaha na haya mambo ya Papa kuwakumbatia mashoga kwa mwamvuli wa kanisa katoliki?
 
Umeandika vitu vya kufirika na kujifariji zaidi kuliko uhalisia.

Tangu lini wakatoliki wameanza kufundishwa kumpuuzia Papa?

Kila mkatoliki ameaminishwa kuwa Papa ndio sauti ya mungu hapa dunia, akisema mungu amesema!

Hivi wewe hujui kuwa ukatoliki umedumu kwa enzi nyingi kwa sababu ya kuuheshimu na kuutii upapa na kauli za Vatican?

Hivi wewe hujui Papa na Vatican wanaweza kumvua uaskofu askofu yoyote wa kikatoliki popote, tena wakati wowote wakitaka?

Nini kitatokea kwenye ukatolìki ikiwa kila jimbo litakuja na msimamo wake tofauti na msimamo rasmi wa Vatican au msimamo wa Papa?
 
Kanisa Katoliki linatapika nini wakati limeshameza ushoga na sasa linaimba, kucheza na kupumua ushoga mtupu?

Kuna mtakatifu kuliko Papa ndani ya kanisa Katoliki?
Kama Papa kasema mabwabwa ni sehemu ya kanisa katoliki na wathaminiwe, wewe mkatoliki wa huko mbagala charambe uliyejipaka paka ukatoliki wa kuunga unga unawezaje kupinga?
 
Ukatoliki unaenda kufa kifo Cha mende!! Safi sana!!dhambi ya kuwaua mitume wa kristo inawatafuna .haiji Akilini makao makuu ya katoliki kuwa Roma nchi ya kishenzi iliyomuua Petro mtume mkuu wa ukristo
Mkuu ukatoliki hauendi kufa Bali ndio unaenda kupata nguvu zaidi Ili kuuua uKristo...
 
nasikia anataka kubadili gia angani, kuwa et alinukuliwa vibaya, si unajua alijiweka kimbelefront ndo papa akaja na kauli waache ushamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ruwaich aache ushambaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…