Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Hali Si Shwari...!! Bwana Awe Nanyiiii....!!! Awe nawe Pia.....Ameeeni. Jambo baya huanza taratibu....Tusiwacheke RC bali ni wakati wa kutafakari kwa kina huko mbeleni kuna nn kitakuja kutokea?
Hakuna mtu amewacheka wakatoliki kwa hili (afterall huenda hata mimi ni mkatoliki) lakini ni masikitiko kwa watu wengi kuona Papa anajipendekeza kwa mabwabwa huku akitumia mwamvuli wa kanisa katoliki.
 
Kwanini hatujawahi kuona waraka wa kuwabariki wazinzi? What is so special kwa hawa watenda dhambi wengine kwa jina la mashoga?
Kwa sababu wanatengwa na jamiii, ndo maana pope ameamua kutoa tamko. Nadhani umeelewa sasa.
 
Mtume Mohamad anaingiaje hapa?
Mada inahusu masikitiko ya wakatoliki kuona Papa anakumbatia harakati za mabwabwa.

Tusijifiche kwenye kichaka cha udhaifu wa dini zingine kufunika madhaifu ya ndani ya kanisa katoliki.
 
Kwani mali za hao wengine hazibarikiwiii? Khaaah
 
Leo nimepita karibu na kanisa langu la RC ,nikaliangalia na kisha nikatafakari sana.

Mungu atusaidie TU
Nadhani huenda uliwaza kuwa miaka michache ijayo hilo jengo la kanisa litakuwa jumba lililojaa mabwabwa wakilishana ekaristi.
 
Na hawa mashoga wa sasa kwann asiwashushie moto, km mwanzo alishusha, sahiv anashindwa nn?
 
Mtajijuuu wanafikiiii, pope atawafurahishaa sana na badooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi ni mkatoliki pure, na najivunia ukatoliki wangu ,maana ndio umenipa confidence ya kumkili Yesu kristo siyo kwa habari zake tu Toka kwa bible Bali hata kwa miujiza, lakini suala hili la ushoga na msimamo wa kanisa ,hasa Hilo tamko la juzi na Jana Kuna kitu hakipo sawa,na nahisi ni kazi ya Mungu kutuonyesha ni kiasi Gani kanisa limeharibika, Sasa ni wajibu wangu Mimi na wewe kufunga na kuomba kwa ajili ya kanisa ,siyo kutetea tu ili lionekane vyema machini pa watu japo linapotezwa, let's be positive, kama unalipenda kanisa hili kwa thamani lilizokupa utaomba tuu, na ifahamike tu kanisa Bora ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, mdudu kaingia , Mungu anamtoa kwa kufanya hata yaliyo sirini tuyajue


Kulianza na kashifa ya mapadre kushiriki ushoga pale Roma, ikaja kashifa ya kulawiti watoto, imekuja baraka za jinsia Moja, imefuata na hili la kutenganisha asili na ukisasa , kwamba kung'ang'ana na asili ni jambo linalozuia mabadiliko ndani ya kanisa,. ,,,,,Bado tu hujamruhusu roho MTAKATIFU kuzungumza na wewe?!!!tuombee kanisa, kubadili dini ni udhaifu mkubwa zaidi,. Yanayotokea ni sababu ya vita ya asili kati ya Mwili (wenye uhaeibifu wa kiulimwengu dhidi ya roho) na inavoonekana roho zetu na hata za viongozi wetu zimekuwa dhaifu kwa mwili, maamuzi mengi yamebezi katika kuuridhisha mwili, (ubinaadamu)


Unaongelea waumini million 3!???uko serious kweli!?tunataka watu au tunataka roho zilizoongoka!?kama ni case ya waumini mbona tunaweza pata zaidi ya hao tukisema tugawe K-vant na kupiga sebene church!?


Ninaomba kwa ajili ya kanisa langu katoliki,najua Nini kinaenda kutokea, siyo kwa ajili ya kanisa ila kwa ajili ya ukristo halisi, ikumbukwe hili ndio kanisa mama la ukristo, ila limekuwa chini ya mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke kwa zaidi ya miaka 2000, limeanguka, likachechemea ,likasimama, Tena likaanguka na kusimama Tena, am sure hata hapa litapita ,hata kama ni kwa kuanguka na kusimama Tena , na linaposimama husimama na watu haswaa , this time I ll be among them




Kaa nasi tuitetee imani dhidi ya wavamizi wa kiroho kupitia viongozi tuliowaamini,kubadili dini ni udhaifu mkubwa wa kiimani, maana Kila mtu ana wajibu dhidi ya mwenzake,na siyo kwa ajili yake peke yake, kama bwana wetu Yesu kristo kwa ajili ya ulimwengu hata akayapoteza maisha yake, nasi hivohivo,


Tumsifu Yesu kristo ,


Kristo............
 
Mnafikii wewee unateseka ukiwa wapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiifahamu historia ya utawala wa kikatoliki (ndani na nje ya kanisa) hautashangaa sana haya yanayoendelea. Kanisa Katoliki limewahi kuwa na mapapa wakushangaza sana. Wapo waliokuwa na mahusiano na dada zao wapo waliokuwa na watoto ambao na walikuja kuwa mapapa.

Wapo waliowa ua mapapa wenzao na wapo waliofukua maiti za mapap wenzao na kuzihukumu na kuzizika na kuzifukua na kuzitupa mtoni hao ndio mapapa

Waliamua kusema paka ni mnyama wa shetani na kutoa amri popote atakapoonekana paka auawe. Yet kila kiumbe kimeumbwa na muumba wetu.

Papa Francis ana bahati mbaya maana mambo haya yanafika yeye akiwa papa.

Upapa no taasisi kama ilivyo ufalme au uraisi hivyo figisu zipo na wapo wanaoutaka huo upapa pia. Utashangaa papa kuwa na maadui makadinali watu wa upendo

Mimi ni RC nalipenda dhehebu langu ila haiondoi ukweli kuwa lina historia inayofikirisha sana.
 
Ni muda sasa wa kutafuta bikra ya kiume huko makanisani.[emoji23]
 
Sasa km hukubaliani nae ndo ukae kimyaa co uanze kujudge dhambi za mashoga, akati wee unazo zako.

Unasumbuliwa na unafikiiii, poleeee sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana na wewe. Kuhalalisha Kubaliki maana yake ni kuwaunga mkono. Kutambua chama Chao maana yake ni kuwaunga mkono.

Na wezi au wazinzi n.k waanzishe vyama vyao wakasajiri basi kama haki ni sawa.
Wazinzi mbna wapo wengi na wana barikiwa kila siku, wengine na mimba ya miezi 7 tumboni wanabarikiwa.

Huoni au?
 
Mimi ni mkatoliki ninayoijua na kuiamini dini yangu vizuri. Siwezi kuyumbishwa wala kukwazishwa na mtu yeyote hata kama ni pope. Tuko wengi wa aina yangu
Kwa hiyo wewe unaunga mkono msimamo wa Papa na Vatican wa kuwafanya mashoga kuwa sehemu ya ukatoliki kiasi cha kubarikiwa na kuruhusu mashoga kudhamini sakramenti takatifu?

Pole sana.
 
Huwezi kukuta uislam unajadili ushoga, kama no ni NOOOOO
Zanzibar kule mbna umejaa telee ushoga? Had jeshini, wengine wanafirana mahabusu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo 9 umekosea, ni 6. Kuna kosa lipi kugonga mkeo ulioozwa kihalali?

Alikuwa nao 11 wengine unajuwa maiaka yao?
Kheeeh mtoto wa 6,yrs anaolewa kihalalii?
Wee bibi umevurugwaa? C ubakaji huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…