Ewaaah vitu napenda kusikia 🥰Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Wanagawa sàna kivipi wakàti bodaboda kapiga kimoja tuu?Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
DangerousNimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
huwezi kumpangia mwanamke matumizi ya sehem zake za siri.......yanini kuhangaika na sehem ya siri ya mtu mwingne?Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Moja ya sifa ya Mwanamke malaya ni kutaka kushindana na mwanaumeNa nyie mkikaa mbal na wake zenu mnakuaje??
Ninachojua mwanaume rijal kukaa mda mrefu bila lile tendo ni uongo
Kuwa karibu tu na Mali yako the same rule applies here just like "Abiria chunga mzigo wako"Very very, tena ticha dada kavaa kinadhifu sana na anaonekana mstaarabu ila ndo hivo sio rizki
Sawa ila jibu unaloMoja ya sifa ya Mwanamke malaya ni kutaka kushindana na mwanaume
Kibobori hao ni wale 'wamama' wa 70s na 80s ila hawa GenZ inabidi usajili revolver na ulinzi wa poppy vinginevyo utachapiwa sana.Kariri tu "mwanamke mwema halindwi bali hujilinda".