Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana.

Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.

Jamaangu Ulimboka nae huko kwenye kampuni yao anasema wadada ambao ni wake za watu wanatunguliwa sana na mabosi wakati wa lunch time. Picha: AIView attachment 3260034
Kwenye hiyo picha hata kama ni AI ndio watu wajae hivyo guest mlango wa kuingilia? Halafu wamepigilia Tai kama madiwani 😆
 
Kwenye hiyo picha hata kama ni AI ndio watu wajae hivyo guest mlango wa kuingilia? Halafu wamepigilia Tai kama madiwani 😆
Watu wa huku tunavaaga Tai tu si unajua mambo ya Moga ushuani. Mi ndo huyo mwenye koti la suti.
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana.

Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.

Jamaangu Ulimboka nae huko kwenye kampuni yao anasema wadada ambao ni wake za watu wanatunguliwa sana na mabosi wakati wa lunch time. Picha: AIView attachment 3260034
Mwanamke akifanya kazi na Mwanaume ameisha huyo Haina mjadala haijalishi mke wa mtu hana Mme atalika tu, ukitaka usalama akae nyumbani hayo mengine atayatafta mwenyewe
 
Kwamba kuliwa ni constant?/given?! Hebu tuwaite wamama waje hapa watuambie eti MISS ANNE ya kweli haya!
Mwanamke akifanya kazi na Mwanaume ameisha huyo Haina mjadala haijalishi mke wa mtu hana Mme atalika tu, ukitaka usalama akae nyumbani hayo mengine atayatafta mwenyewe
 
Kwamba kuliwa ni constant?/given?! Hebu tuwaite wamama waje hapa watuambie eti MISS ANNE ya kweli haya!
Ukisubir majibu Yao umeumia, Bali kama una mke anafanya kazi utakuja kutusimulia mwenyewe siku za kujua tu ndo bado, utakuja kuniambia
 
Mwanamke akifanya kazi na Mwanaume ameisha huyo Haina mjadala haijalishi mke wa mtu hana Mme atalika tu, ukitaka usalama akae nyumbani hayo mengine atayatafta mwenyewe
Dah huu ukweli mbona unauma sana
 
Je wanaume tuna mchango wowote juu ya kuharibika Kwa wake zetu?
Nadhani tuna mchango kama ifuatavyo:-
Mosi;
kwa kutotoa matumizi,
pili; kwa kutowapa haki ya ndoa ipasavyo (tunathamini sana kuiridhisha michepuko),
tatu; kwa kuendekeza mfumo dume;
nne; kwa kutokuwa romantiki, mambo ya sogeza tuweke! na
tano; kuoa wake za watu.
 
Dah huu ukweli mbona unauma sana
Unauma kweli na ndo ukweli, linganisha kuuma ukweli huu na kuuma ukisikia au ukamfuma na mtu huko kazini, siku ukimfuma ukimzingua mahakamani, tugawane Mali, elimu anayo wasaidizi anao, washauri anao, na wawezeshaji anao, kifupi Mwanamke mfanyakazi ni mwanaume mwenzako, kama hukubali subiri.
 
Hao wanawake si wanachepuka na nyie wanaume au?? Hapo ni km wewe unavyomchepukia mwanamke mwingine ambaye nae mke wa mtu..!!
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana.

Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.

Jamaangu Ulimboka nae huko kwenye kampuni yao anasema wadada ambao ni wake za watu wanatunguliwa sana na mabosi wakati wa lunch time. Picha: AIView attachment 3260034
Fanya kazi achana na maisha ya watu.
 
Kwani si anaenda kuchepuka na mwanaume! Ukiona mke wa mtu anachepuka ujue huko kwenye ndoa ni tia maji tia maji, wanaume wengi wanapenda michepuko huku akimterekeza mkewe acha wasaidiwe, unakuta mke wa mtu analiwa na mme wa mtu, na huyo mme wa mtu mkewe analiwa na bodaboda huko😄
 
Hao wanawake si wanachepuka na nyie wanaume au?? Hapo ni km wewe unavyomchepukia mwanamke mwingine ambaye nae mke wa mtu..!!
Shangaa hata wewe hapo kamuona huyo, nayeye alikuwa na mke wa mtu, akirudi nyumbani kachoka, naye mkewe anaenda kutafuta huko mchaka-mchaka😂😂😂
 
Shangaa hata wewe hapo kamuona huyo, nayeye alikuwa na mke wa mtu, akirudi nyumbani kachoka, naye mkewe anaenda kutafuta huko mchaka-mchaka😂😂😂
Wao kuchepuka na wake wa wenzao fureeshh ila wao aaahh..!! Wakae kwa kutulia 😹😹
 
Nadhani tuna mchango kama ifuatavyo:-
Mosi;
kwa kutotoa matumizi,
pili; kwa kutowapa haki ya ndoa ipasavyo (tunathamini sana kuiridhisha michepuko),
tatu; kwa kuendekeza mfumo dume;
nne; kwa kutokuwa romantiki, mambo ya sogeza tuweke! na
tano; kuoa wake za watu.
Upo sawa kabisa, wanaume wengi akinunua mchele, samaki, nyama, hapo anakuwa kamaliza hajui kama mke anamwitaji yeye kama yeye, matumishi shida, niliisikia baba mmoja anamwambia mwanaye kwanini unaoa mke asiye na kazi? Anataka aliye ajiliwa, sasa huyo kijana atamtunza mkewe Kwa usahihi? Acha wasaidiwe, hakuna namna.
 
Wao kuchepuka na wake wenzao fureeshh ila wao aaahh..!! Wakae kwa kutulia 😹😹
Na watulie kweli, utakuta anashangaa mke wa mtu kuchepuka, huku nayeye yupo na mke wa mtu pembeni, atulie hata wanawake ni binadamu 🤭
 
Na watulie kweli, utakuta anashangaa mke wa mtu kuchepuka, huku nayeye yupo na mke wa mtu pembeni, atulie hata wanawake ni binadamu 🤭
Ni kuchepukiana mpk Yesu arudi 😹😹
 
Back
Top Bottom