Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Ndio maana wazee wa zamani waliwaajiri wazee. Kazi yao kubwa ilikuwa ni kuzaa na kulea watoto (wanawake weusi hawa).
Waarabu na Wahindi ukimuona mwanamke anafanya kazi basi yupo kwenye biashara ya familia.
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Kwamba kila mkoba (maana lazima ana mikoba mingi ya kubadili) uinstalll hako ka GPS.

Kazi kazi kweli kweli..
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Waache wapigwe si wametaka wenyewe?
 
Wakati mwingine hapana. Mjegeje anapata vizuri,matumizi anapata na mapenzi juu ila akitoka kazini au mchana wakati wa lunch anaenda kugawa. Nachoka
Una uhakika humfanyi ajisikie less and less?
 
Wakati mwingine hapana. Mjegeje anapata vizuri,matumizi anapata na mapenzi juu ila akitoka kazini au mchana wakati wa lunch anaenda kugawa. Nachoka
Hulka ya mtu.
 
Wacha mbususu ichakatwe kwani hainyweshwi uji mpini ndio chakula chake.
 
Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.
Utadata uokote makopo kwasababu ya binadamu mwenzako
 
Back
Top Bottom