Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

Muda wa Lunch🍝🥗🍱 ni muda wa kula pia mzigo kwa baadhi ya waajiriwa 😀
 
Kuna mama mmoja inasemekana mumewe yuko Dodoma, mara nyingi Jumamosi tunatazama mpira mitaa ya Ubungo Maziwa unamkuta anashuka kwenye bolt anatumbukia shimoni
 
Acha waliweeeee si makumaku yakwao? Ndiomana Yana Tema Sana ila so mbaya kikubwa yaoshwe
 
Ukipata nafac ya kumfumua mkeo ,mfumue kweli kweli ,fumua mpk Malinda hata usiogope , ukimuogopa ndio wengine wanakomfumua mpk akili zinamkaa sawa
📌📌📌Nakazia fumua kwelikweli ili hata akienda huko nje basi angalau utakuwa umekulakula mambo umeacha mashimo tu.

Hakikisha unamfumua haswa ili hao wa nje wakionja tu wasimuliane kuwa pale hamna kitu ni mabwawa tu🤗.

📌Hiyo ndo mbinu ya kivita iliyobaki.Kisha mwanamke baada ya kutangazwa lazima atulie awe anakusubir wewe mtanuaji uje ujilie vyakwako.
 
Kwamba kila anapotaka kutoka na wewe utakuwa home muda huo.

Je, akitoka ukiwa wewe ushatangulia kutoka?
Weka ka tracker kwenye wigi lake pendwa!!...ushauri kutoka kwenye sledi hii pendwa.
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.

Jamaangu Ulimboka nae huko kwenye kampuni yao anasema wadada ambao ni wake za watu wanatunguliwa sana na mabosi wakati wa lunch time
Akili kubwa zaid ya fuvj la kichwa
 
Aisee🤔
Kwa hiyo itakuwaje kwa Sisi ambao tunajiandaa kuoa
 
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna sayansi ya kubaini kwamba katoka kuchepuka? Au inabidi kutupia kale ka GPS ka mchina kwenye mkoba wake kimyakimya kama unafanya car tracking.

Jamaangu Ulimboka nae huko kwenye kampuni yao anasema wadada ambao ni wake za watu wanatunguliwa sana na mabosi wakati wa lunch time
Sayansi ipo, Wewe huko ulipo acha kuzini wake za wengine nawe wako ataachwa
 
Back
Top Bottom