Hivyo hivyo, wanaume wasiku hizi eti na wao wananuna Kwa wake zao haaaaNi kuchepukiana mpk Yesu arudi 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo hivyo, wanaume wasiku hizi eti na wao wananuna Kwa wake zao haaaaNi kuchepukiana mpk Yesu arudi 😹😹
Watulie dawa iwaingie 😹😹Hivyo hivyo, wanaume wasiku eti na wao wananuna Kwa wake zao haaaa
Watoto 3 nyumbani mmoja wake wawili kazubaa amesaidiwa 😅😅😅Watulie dawa iwaingie 😹😹
Hata nyumbani analika tuuu. Wee unamuacha home, ukitoka tu na yeye anatoka. ila anawahi kurudiMwanamke akifanya kazi na Mwanaume ameisha huyo Haina mjadala haijalishi mke wa mtu hana Mme atalika tu, ukitaka usalama akae nyumbani hayo mengine atayatafta mwenyewe
Ndo maana nikasema akiwa nyumbani,( hayo mengine atayatafta mwenyewe) na zaid akiwa nyumbani Kuna vigezo vinatakiwa viwekwe hata akitoka kujua inakuwa ni wepesi na rahisi zaid, ikiwa hugundui basi udhaifu uko kwako. Kinachoshinda wanaume wengi vigezo hivyo hubana pande zote mwanaume na Mwanamke hapo Mwanaume anashindwa kuviweka kwa sababu vitambana na yeye hapo milango inakuwa wazi.Hata nyumbani analika tuuu. Wee unamuacha home, ukitoka tu na yeye anatoka. ila anawahi kurudi
Binaadamu tumeumbwa na tamaa sema tunazidiana tu na discipline, hata umpe nini kama hana self discipline atadanganyika kiurahisi sanaWakati mwingine hapana. Mjegeje anapata vizuri,matumizi anapata na mapenzi juu ila akitoka kazini au mchana wakati wa lunch anaenda kugawa. Nachoka
Mkuu tafadhari sana nielewe Mimi nimesema tu "vitu napenda kusikia" hayo mengine utajuwa wewe.Mkuu unapenda kuchapiwa? Au kuchapa wa wenzio.
Nyie SI uwa mnaleta mchezo Mimi sinaga mchezo kabisa.Ukipata nafac ya kumfumua mkeo ,mfumue kweli kweli ,fumua mpk Malinda hata usiogope , ukimuogopa ndio wengine wanakomfumua mpk akili zinamkaa sawa