Wakili amtaja mtu atakayemuokoa Makonda mgogoro dhidi ya GSM, afafanua kosa alilofanya kisheria

Wakili amtaja mtu atakayemuokoa Makonda mgogoro dhidi ya GSM, afafanua kosa alilofanya kisheria

Katika hili msimpe moyo makonda Hata kidogo..Alitumia madaraka yake na nguvu kupora Hana documents na Kama aliuziwa aonyeshe vithibitisho vyote.
 
... Ni RC yupi mwenye uwezo wa kununuwa plot prime area Dar? Huyu Makonda amefanyakazi miaka mingapi? Ametowa wapi pesa?
Hivi watu huwa wanazaliwa na u-RC? Haiwezekani mfanyabiashara akawa RC? Nauliza tu lakini, maana sina jibu
 
Makonda jela inamuita, anatuchokoza wakati wananchi tumempotozea kwa uovu wote alioufanya pamoja na mauwaji.

Sielewi Takukuru wanalipwa mshahara kwa kazi gani? Ni RC yupi mwenye uwezo wa kununuwa plot prime area Dar? Huyu Makonda amefanyakazi miaka mingapi? Ametowa wapi pesa?
Aende akashitaki kwenye kabuli chato
 
Yaani Makonda hana hata 'sales agreement' hata serikali ya mtaa tuu haitambui manunuzi yake ya hicho kiwanja alafu anadai kiwanja ni chake, inawezakana kuna wafanyabishara wengi tuu kesha watapeli kwa style hii
 
Mgogoro wa kuwani eneo uliopo kati ya Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mfanyabishara maarufu Ghalib Said Muhamed (GSM) unaendelea na hadi sasa kila upande unavuta upande wake ukiamini wenyewe ndiyo una umiliki halali wa eneo hilo.

Tayari GSM kupitia Mwanasheria, Alex Mgongolwa ameshajitokeza hadharani kuweka wazi kuwa GSM ndiye mmiliki halali wa eneo hilo licha ya kuwa hakuna sehemu waliyotaja jina la Makonda, wakati ambapo RC huyo wa zamani amesikika kupitia ‘clip’, mitandao ya kijamii na kunukuliwa na
Kwa taarifa hizi, inamaana Mjengo Sasa una hati mbili!? Moja iko kwa GSM,na Nyingine iko kwa Makonda! Sasa hapo hizo hati na Mikataba ichunguzwe na mamlaka husika ili kujua ukweli!!
 
Kwa taarifa hizi, inamaana Mjengo Sasa una hati mbili!? Moja iko kwa GSM,na Nyingine iko kwa Makonda! Sasa hapo hizo hati na Mikataba ichunguzwe na mamlaka husika ili kujua ukweli!!
Title deed ( one page, zile za kinondoni zenye mhuri wa motto) huwa inatoka mara moja tuu, kwishaa
 
Mgogoro wa kuwani eneo uliopo kati ya Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mfanyabishara maarufu Ghalib Said Muhamed (GSM) unaendelea na hadi sasa kila upande unavuta upande wake ukiamini wenyewe ndiyo una umiliki halali wa eneo hilo.

Tayari GSM kupitia Mwanasheria, Alex Mgongolwa ameshajitokeza hadharani kuweka wazi kuwa GSM ndiye mmiliki halali wa eneo hilo licha ya
Hivi wewe uliyeandika una akili kweli!
 
Makonda jela inamuita, anatuchokoza wakati wananchi tumempotozea kwa uovu wote alioufanya pamoja na mauwaji.

Sielewi Takukuru wanalipwa mshahara kwa kazi gani? Ni RC yupi mwenye uwezo wa kununuwa plot prime area Dar? Huyu Makonda amefanyakazi miaka mingapi? Ametowa wapi pesa?
Inawezekana alilimbikiza posho zake toka akiwa bunge la katiba ndio maana akaweza kununua....

Au ni pesa za urithi.
 
Makonda jela inamuita, anatuchokoza wakati wananchi tumempotozea kwa uovu wote alioufanya pamoja na mauwaji.

Sielewi Takukuru wanalipwa mshahara kwa kazi gani? Ni RC yupi mwenye uwezo wa kununuwa plot prime area Dar? Huyu Makonda amefanyakazi miaka mingapi? Ametowa wapi pesa?
Mbona Viongozi wengi tu Wana Majumba ya bei ghali kushinda hata hiyo ya Makonda na huwendi sema Takukuru!? GSM anataka kumdhulumu Dogo Mjengo alimuuzia au alimpa Kama kulipa fadhila za michongo yake michafu aliyokua anapiga, maana kipindi cha Magu walibanwa sana hadi wakaamuwa kubadilisha jina la Kampuni kutoka Home shopping Center hadi kua GSM! Au wwe unzani GSM imekuja ghafla tu Kama uyoga!?
 
Maelezo ya huyo Wakili yapo sahihi Ila anapaswa afahamu au jamii ifahamu kwamba kutofanya transfer haimaanishi hauna haki maana Mahakama haibanwi kwa kuangalia mkataba pekee Kuna other factors huwa zinaunganishwa kwenye kutoa hukumu.

Unaweza kuwa imeingia mkataba wa mauzo ya kiwanga na ukashindwa kufanya transfer Ila Jambo la muhimu amesahau kwamba makubaliano ya mauzo huwa evidenced by availability of consideration.

Consideration huwa ndio kigezo kikuu na hapo huwa evidenced by adducing payment receipt au any kind of money transfer evidence Kama banker's cheque au any payment bills ikiwemo hata his mobile payments like Tigo pesa etc.

Sasa hapo makonda asilete maneno matupu, aonyeshe evidence ya malipo ya hiyo 120 M sio kuleta janja janja.

Ukweli upo wazi kabisa, makonda amekuwa akichukua pesa kwa wafanyabiashara kwa promise ya kuwasaidia ishu zao kwa marehemu Magu au wasamehewe kitu fulani au anawatisha kwamba mkulu ndio amesema.

Hii hata Sabaya amekuwa alifanya na ndio kilichomfunga Sabaya, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na unyang'anyi na ana kesi kibao bado.

Wafanyabiashara wengi waliishia kumpa pesa ili mambo yaishe Sasa Kuna uwezekano ilikuwa ni moja ya hizo circumstances au GSM aliamua kumpa Kama hongo Ila makonda alijua hawezi kufanya transfer kwa kipindi kile sababu Magufuli angemuuliza ametoa wapi pesa ya kununua?

Na Kama angejibu amepewa Magufuli angemchenjia sababu alikuwa hamkubaliani na GSM.

Sasa hii ipo wazi tu, Kama kuna mkataba sio tatizo lakini alete evidence ya malipo hiyo itamaliza ubishi otherwise nae ni tapeli tu wamekutana wote Ila yeye Hana ujanja wa mjini wenzie wameuza gari kadi original imebaki na muuzaji 🤷
 
Bashite kahamia kwenye UDALALI wa KITAPELI?!
Hata ukiwa na akili zisizo na akili kama MaCCM, bado utaona hiyo nyumba ni ya mfanyabiashara na sio vinginevyo.
Samia muue nyani bila kumtazama usoni, funga jela huyu ex-wako Bashite TAPELI.
Wafanye uchunguzi wa hizo Hati na hizo documents za Mikataba watajuwa ukweli wote!!
 
Kuna ambae amewahi kuwa RC dar na hana plot kwenye prime area? [emoji23]
Vyeo wanavyopata huvipata kwa shida sana, Kuna ushirikina na umafia wa hali ya juu sana kwa hawa viongozi wetu
Wapo tayari kuua ili awe kiongozi, hao huwa hawacheki na kima kwenye kupata madaraka.
Ukitaka kujua hili nenda kajifanye unaziba deals zao.
Kuna muda mwingine Matola anawaza Kama anaishi nje ya Tanzania na hajui tabia ya Viongozi wetu wa sasa! Ana sahau kabisa kua lile Azimio la Arusha lilishwa vunjwa kitambo sana! Viongozi Sasa hivi kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake!!
 
Katika hili msimpe moyo makonda Hata kidogo..Alitumia madaraka yake na nguvu kupora Hana documents na Kama aliuziwa aonyeshe vithibitisho vyote.
Hana vithibitisho vyovyote, aliamini Magufuli ataishi milele.
Hii sentensi sijaielewa, ngoja nipite tu niwaachie wengine wajadili
GSM ana akili kuliko huyo zero brain mshamba kutoka Kolomije.
Hivi watu huwa wanazaliwa na u-RC? Haiwezekani mfanyabiashara akawa RC? Nauliza tu lakini, maana sina jibu
Kwani kuna mtu mwenye tatizo na Kasheku Msukuma au Rostam Azizi au Anthony Dialo?

Unauliza maswali ya kipumbavu kwa mtu ambaye hata pa kukaa alikuwa hana amelelewa na Samuel Sitta hiyo biashara amefanya lini? Au biashara ya viungo vya kina Ben Saanane?
Yaani Makonda hana hata 'sales agreement' hata serikali ya mtaa tuu haitambui manunuzi yake ya hicho kiwanja alafu anadai kiwanja ni chake, inawezakana kuna wafanyabishara wengi tuu kesha watapeli kwa style hii
Ni bora ya matapeli, Makonda alikuwa anapora kinguvu, kama hutaki kumpa anachotaka ilibidi uhame nchi.
Kwa taarifa hizi, inamaana Mjengo Sasa una hati mbili!? Moja iko kwa GSM,na Nyingine iko kwa Makonda! Sasa hapo hizo hati na Mikataba ichunguzwe na mamlaka husika ili kujua ukweli!!
Hakuna uchunguzi wowote, mjengo ni mali ya GSM, huyo zero brain mshamba kutoka Kolomije alichofanyiwa ni kama vile kina Kinje walikuwa wakiwahonga magari mademu wa mjini lakini kadi wanabaki nazo, ukizinguwa tu anatumwa dreva na funguo wa spea ukipaki gari tu sehemu ukirudi hukuti gari gari, nenda kashtaki Polisi uone kama kuna kesi ya mtu kujiibia gari lake mwenyewe ana kadi na ina jina lake.
Hivi wewe uliyeandika una akili kweli!
Akili siyo matakoo kwamba kila mtu anayo.
Mbona Viongozi wengi tu Wana Majumba ya bei ghali kushinda hata hiyo ya Makonda na huwendi sema Takukuru!? GSM anataka kumdhulumu Dogo Mjengo alimuuzia au alimpa Kama kulipa fadhila za michongo yake michafu aliyokua anapiga, maana kipindi cha Magu walibanwa sana hadi wakaamuwa kubadilisha jina la Kampuni kutoka Home shopping Center hadi kua GSM! Au wwe unzani GSM imekuja ghafla tu Kama uyoga!?
Kama kitu hujui kaa kimya, Home shopping center ilifungwa wakati wa utawala wa JK ukielekea ukingoni kwa kufuata taratibu zote za sheria za ufilisi.

Wapo smart kuliko unavyofikiri, wanaelewa yajayo kabla yako hata huyu mjinga mjinga Makonda walishaujuwa mwisho wake ndio maana wakamwekea mtego wa panya.
 
Hana vithibitisho vyovyote, aliamini Magufuli ataishi milele.

GSM ana akili kuliko huyo zero brain mshamba kutoka Kolomije.

Kwani kuna mtu mwenye tatizo na Kasheku Msukuma au Rostam Azizi au Anthony Dialo?

Unauliza maswali ya kipumbavu kwa mtu ambaye hata pa kukaa alikuwa hana amelelewa na Samuel Sitta hiyo biashara amefanya lini? Au biashara ya viungo vya kina Ben Saanane?

Ni bora ya matapeli, Makonda alikuwa anapora kinguvu, kama hutaki kumpa anachotaka ilibidi uhame nchi.

Hakuna uchunguzi wowote, mjengo ni mali ya GSM, huyo zero brain mshamba kutoka Kolomije alichofanyiwa ni kama vile kina Kinje walikuwa wakiwahonga magari mademu wa mjini lakini kadi wanabaki nazo, ukizinguwa tu anatumwa dreva na funguo wa spea ukipaki gari tu sehemu ukirudi hukuti gari gari, nenda kashtaki Polisi uone kama kuna kesi ya mtu kujiibia gari lake mwenyewe ana kadi na ina jina lake.

Akili siyo matakoo kwamba kila mtu anayo.

Kama kitu hujui kaa kimya, Home shopping center ilifungwa wakati wa utawala wa JK ukielekea ukingoni kwa kufuata taratibu zote za sheria za ufilisi.

Wapo smart kuliko unavyofikiri, wanaelewa yajayo kabla yako hata huyu mjinga mjinga Makonda walishaujuwa mwisho wake ndio maana wakamwekea mtego wa panya.
Mtu yeyote anayetetea Makonda ni mpuuzi ajabu. Makonda mwaka 2013 atapata wapi million mia!!! Makonda ni jambazi tu, acha ahenyeshwe
 
GSM wana rekodi mbaya ya dhulma tangu wakiwa ni Home Shopping centre.

Wanapata kibri kwa sasa shauri ya Msoga tu.

Ila siku zitaongea.......
Hivi kumbe hawa ndio Home shopping center
 
Back
Top Bottom