mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Kashifa kubwa sana,jahazi linazama wamekomaa na viapo?Wakubwa wa hivyo vyombo ulivyovitaja, wanaangalia kiapo kimoja tu, "cha UTII". kwa aliyewateua, basi.
Hawajua mambo ya sovereignty au nchi.
kwan si selikal imeshasema itayafanyia kazi maoni yote au mnataka selikali gan itakayofanyia kazi maoni yenu.Dk Nshalla hamtamuweza, wala ccm police haita wasaidia, kitu bora zaidi ni kuchukua maoni ya wananchi na kurekebisha mkataba, kama kuna nia ya dhati ya uwekezaji kurekebisha mkataba kwa kuondoa vipengele tata lina ugumu gani? mkiishiwa hoja mnaomba msaada wa police?, maoni ya wananchi na watalaam mbalimbali ni kwa ajiri ya kuboresha, ukiwa mgeni Tanzania ndo unaweza shabibikia hizi mikataba, lakini kama upo Tanzania miaka yote, mikataba ya uwekezaji imeleta majanga makubwa.
Wapi imeandikwa au imesemwa Serikali inabinafsisha bandari ya Dar?Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,
kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali
Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu
Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.
Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?
Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?
Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
Mtu akikuuliza swali la kijinga, Akali akijua kuwa unajua anauliza swali la kijinga, ni dhahiri anakudharau.Wapi imeandikwa au imesemwa Serikali inabinafsisha bandari ya Dar?
Yaani afike saa 9 alfajiri? Kulikoni?Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Tofautisha maoni na matusiBarua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
we mjinga sana watu wanapotosha umma afu waachwe huo utakuwa wendawazimu. hivi mnadhani mama samia hana wafuasi wake nao wakisema waanze taftana na wanaomtukana nchi itakalika hii?Samia hana lolote.
Hana tofauti yoyote na waliomtangulia.
Ni empty suit kabisa.
Hoja kaishiwa na sasa anatumia mabavu tu.
Watu waachwe waseme. Waachwe waandamane. Ni haki yao.
Kama huo mkataba hauna dosari yoyote kwa nini wanatumia nguvu kunyamazisha na kutisha watu?
That woman is wholly incompetent.
Sema hivi kaitwa kutokana na matusi aliyomtukana Rais basi eti maoni!Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Jibu jepesi ni kwamba serikali imeshindwa kutimiza majukumu yake; dawa ni kuwaondosha waingie wanaoweza.Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,
kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali
Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu
Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.
Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?
Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?
Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
Sasa tuone mwisho wake, atashinda wakili au kilaza DPIT asiyejua hata kilochopo ktk vitendea kazi vyake vikuu GPOtatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.
kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka
ndgDP World....
Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Hofu wanawatu pale waliobobea kwenye Sheria
Juha kama furushi la mawe wewe!we mjinga sana watu wanapotosha umma afu waachwe huo utakuwa wendawazimu. hivi mnadhani mama samia hana wafuasi wake nao wakisema waanze taftana na wanaomtukana nchi itakalika hii?
😃😃😃“Naweza kuwahakikishia uhuru wa kuongea,ila siwezi kuwahakikishia uhuru baada ya kuongea “by Iddi Amin Dadaa!
Kwani aliyosema hayana substance kwamba ameongea uongo? 🤣wacha aende, amezidi kupayuka kwa jazba bila kujali kuwa uhuru wa kuongea unamipaka yake.
sio unabwabwaja tu bila kujali staha za watu wengine