Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Weweeee! Mipaka hiyo kaiweka nani? Mbona hamkumkamata mama yenu alipoita wenzake stupid! Watanzania wengine wajingaaaa, hasa wewe!
Ukijiona una akili kuliko wengine basi uko kwenye illusion state na kama ndio tabia yako basi unakalibia kupata ugonjwa wa akili, usifanye argumentation ukiwa na hasira utapoteza umakini na kuonekana ignorant. Laani huwa haitoki chini kwenda juu ila kuna seniority, a subjective one lazima ayatambue na kuyaheshimu mamlaka especially akiwa anafanya criticism. Unaongea " huyo mama yenu ukiwa ndani ya shimo kama panya akipita hapo tu unaachia mashuzi kwenye kaboka yako, kuwa na adabu kwa walio kuzidi na viongozi wako ebo!
 
Wezi wa Tanzania ni rahisi kuwadhibiti kama kuna usimamizi mzuri kuliko DP World yenu ambayo inampa uhalali wa kuitumia Tanganyika anavyotaka yeye kwa maslahi yake.


Wezi mmeshindikana Aisee

Hata mseme Nini uvumilivu juu yenu umeshindikana,

Na hakuna ulipoambiwa kuwa DP World anakuja kubinafsishiwa Port kuwen waelewa
 
Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano


Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam

Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.




Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Saa tisa (9:00) itakuwaje asubuhi?

Ndiyo, kama palikuwepo na kutishiwa usalama wake ni sahihi kuchunguza jambo hilo.
Lakini kama ni kutafuta njia za kumfunga mdomo, hilo halikubaliwi hata kidogo.
 
Karamagi ndio architect aliekuwa nyuma ya Tibaijuka, Dr Nshala and god knows who else. Mtu ambae $5m hela ya chai kwake ashindwi kuandaa cinema yake.

Hila JF kiboko story yote unaipata hapa hapa ukiwa unasoma comments za wengine kwa makini tu na kuuanganisha dots.
Haya unayosema hapa yanawezekana sana, tena toka pande zote mbili.

Mbaya zaidi upande wa mafisadi yaliyomo serikalini, siyo swala la ukwasi pekee walilo na uwezo nalo, bali hata uwezo wa kuwanunua CCM yote, watendaji wote wa serikali, Bunge, n.k., siyo kwa pesa pekee, bali hata kwa vitisho vya kudhuru.
Sijui kama hili nalo umeliwaza mkuu 'Mayor'?

Lakini katika yote hayo, usisahau kwamba kuna watu ambao hakuna bei inayoweza kuwanunua, iwe ni ya mali au vitisho. Wao bei pekee inayowatosha ni ustawi wa nchi yao na wanachi wake wote wanaoitwa waTanzania.

Kwa hiyo msiwe mnajiondoa akili nyinyi wenyewe na kujipongeza kwamba mnazijua sababu zinazoweka msukumo katika maswala ya namna hii.
Watu wanazo akili za kufkiri na kutafakari mambo wanayoyaona yakitokea ndani ya nchi yao na kujua yapi yanayosukumwa mbele kwa sababu zipi, toka pande zote mbili.

Msipende sana kuwadharau waTanzania, na kuwaona hawana akili za kutosha kuwa na uelewa mzuri.
 
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,

kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali

Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu


Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.


Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?


Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?


Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
 
DP World....

Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Ni ipi iliyo "lugha nzuri", na kipimo cha hiyo lugha nzuri ni nani anakiweka na kukitumia?
 
Karamagi na Tibaijuka ni chanda na pete.

Tibaijuka na Nshala ni chanda na pete.

Karamagi = Tibaijuka = Nshala

Hakuna cha uzalendo wowote zaidi ya kikundi cha mafisadi tu hapo.
Kwa fikra zako unaona umesema kitu?
 
Wakubwa wa hivyo vyombo ulivyovitaja, wanaangalia kiapo kimoja tu, "cha UTII". kwa aliyewateua, basi.

Hawajua mambo ya sovereignty au nchi.
 
Nikadhani wanamuita atoe taarifa kuhusu kutishiwa uhai wake, kumbe wanamuita akatoe maelezo kwanini alitoa maoni yake, kwani DCI hajawahi kuisoma Katiba ya JMT 1977?

Kwa hii taarifa, hapa ndio unapata picha kabisa, ni wakina nani waliomtishia maisha Dr. Nshalla, hivi vitisho vyao vimepitwa na wakati, werevu hawawezi kuona uozo mahali halafu waufumbie macho kizembe, hiyo ni dhambi.
Unamfahamu DCI hapa nchini?! Anaitwa Ramadhani Kingai.
Huyu Kingai ni nani?! Ni yule aliyetengeneza movie ya ugaidi ya Mbowe na wale wanajeshi akina Urio. Rau Madukani kwa yule mama wa mbege. johnthebaptist anaijua sana hii movi. Hapo unategemea nini?
 
tatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.

kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka
Na wanaoiba rasilimali zetu za inchi, kwa kigezo cha kubinafusisha hawavuki mipaka?
 
Hii safi sana, maana kuna watu wanasambaza uongo, inatakiwa upelelezi chunguze namba zote wanazowasiliana nazo kwa simu na kwa messgaes. Vyanzo vitajulikana tu.

Hii ni vita ya kiuchumi kwa nchi yetu. Aidha watangazie waende wenyewe kwenye vyombo vya uchunguzi au waitwe namna hii.

Nashauri watazamwe ma group yao yote ya wharsapp, telegram, twitter, facebook na jadhalika. Ili vyanzo vijulikane.

Mimi nakisia. vyanzo vya haraka haraka:

1) Anna Tibaijuka.
2) karamagi
3) Adani
4) AD Ports
5) DP World
6) Wakurugenzi waliovunjiwa bodi yao bandarini.
9) Wakurugenzi wa shirika la meli lilitojajwa namba moja.
10) Taasisi za kidini.
11) Sukuma gang
12) Vyama vya siasa ikiwemo CCM yenyewe.

Naamini wengi humu JF ni makondoo tu yaliyokosa mchungaji. Vyanzo vitajulikana tu.

nawapa pongezi sana serikali kwa kuanza kuchukuwa hatua. Maana uongo ukizidi utaonekana ni ukweli.
Bi kishundu katika ubora wake.saa100 alikuwa ananafsi ya kupambana na ufisadi na kuwa mbali na akina mwigulu, makamba na nape ,lakiin naina anajjiandaa ns lufeli zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom