Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
Wakili Noah enzi za uhai wake
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
Wakili Noah enzi za uhai wake