Kosa la dogo ni la kujitambua. Kosa la kuishi maisha ya kizungu wakati yeye ni mtanzania mwenye asili ya kiafrika. Ni kosa la kutojua values zetu kama jamii ya kitanzania ni zipi. Huyu ndiye mwakilishi wa wote ambao wanaweza kutumiwa na maadui wa nchi yetu na akakubali pasipokuelewa madhara yake kwa jamii yetu. Ni kosa la kuwafundisha vijana wote tabia mbaya kwa kadri ya tamaduni zetu za kitanzania zinazotambua kuwa wakubwa hawapashwi kudhihakiwa. Kama watu wenye dhamana katika nchi hii hatuwezi kukubali huu ujinga kwakua una madhara kwa watoto wetu ambao tumewalea kwa misingi ya kitanzania.Kosa la huyo dogo Idris ni lipi?
Ku-juxtapose picha inayosadikika kuwa mmoja wa watu wanaoonekana ni Rais Magufuli na clip ya yeye akionekana kucheka?
Na ‘culture’ yetu uliyoitaja ndo ipi? Hiyo ‘culture’ yetu ndo inayokataza watu kucheka? Inakataza watu kuwa na utani?
Bullshit! Dogo hajatenda kosa lolote lile.
Hiyo picha hata mimi imenichekesha. Sema sina tu muda wa hayo ma Twitter na sipo huko kwenye hayo mamitandao mengine.
Zaidi ya ubabe, ujinga, vitisho, na ushamba, Magufuli na dola yake hawana kesi yoyote ile iwezayo simama kwa merits zake dhidi ya huyo dogo. Wanalazimisha mambo tu.
Hiyo picha, kama kweli huyo anayedhaniwa kuwa ndo yeye aliyetokelezea kwenye hiyo suti, basi inachekesha.
Na si lazima iwe inachekesha kwa watu wote. Kama wewe na Magufuli mnaona haichekeshi, sawa.
Hiyo ni haki yenu. Lakini, hiyo haina maana ya kwamba ndo mminye haki za wengine [akiwemo] Idris, kucheka.
Just as you can’t legislate stupidity. The same goes for humor. You can’t legislate it. You also can’t infringe others from enjoying it, either.
Magufuli [and his ilk] are country bumpkins - chambilecho Kiranga
Hata kukaa ndani tu inatosha kumfunza. Sheria zenyewe nyingi ziliwekwa na mkoloni then mnajificha nyuma ya kivuli cha sheria...Subiri akimaliza huyu Mh. Naingia mimi mpaka mnyooke kama rula.