Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]mtoa mada nafikiri hujui kitu kuhusu sheria kibatala ni kama mwanamke wa kizaramo huwezi kumshinda kwa kushindana naye kuongea lakini kinachotakiwa pale ni point za shahidi kueleweka tu hayo maswali ya kumchanganya hayana point yoyote chamuhimu kimeshapatikana maelezo ya shaghidi yaliyobaki ni kama yale tunaitaga mazungumzo baada ya habari yaani anapoteza muda tu mbowe tayari yuko kitanzini hata kibatala anajuwa lakini anajifanya kupoteza muda wa watu tu hana kitu kibatala kama mwanamke wa kizaramo tantalila nyingiiiii lakini hakuna point za maana
Wewe pia mbona unapiga domo! Leta suluhu ya manyanyaso yaliyopoNashauri mngeacha huku kufurahia maswali ya Kitabala na kufikiria hali ya mwenzenu kule hamjaona alivyokonda? Mngefikiria jinsi ya kupata suluhisho la haya matatizo kabisa ila nyie mnaishia kupiga domo humu ila manyanyaso yanaendelea siku zote.
Akili yangu hata haifikirii kuachiwa au kufungwa kwa Mbowe maana yeye si mtanzania wa kwanza kuwa na kesi kama hiyo. Akili yangu inaniambia kuwa hivi ni lini tutasema kuwa basi haya mambo yanatosha na tukaonesha kuwa kweli haya mambo yametuchosha na tunayachukia? Ila ndio kwanza tunaburidika na Kibatala hatuna tunalowaza.Unataka twende kuvunja Gereza la Ukonga na Kumtoa FAM kinguvu ?
Ndio akili yako inakutuma hivi ?
Kabla ya kuniambia mimi niletee suluhu je wewe ushawahi kufikiria hilo suala au huku kufurahia maswali ya Kibatala ndio suluhu mliyopendekeza? Labda nikwambie kwamba hata ikitokea Mbowe akashinda hii kesi bado hiyo sio suluhu.Wewe pia mbona unapiga domo! Leta suluhu ya manyanyaso yaliyopo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hayo maswali yakawaida sawa tuseme wewe ndio mpelelezi wa kesi hiyoHayo maswali ya kawaida sana, labda kama hujui nini maana ya cross examination.
Mnapona vp sasa unaweza kuelezea? Halafu kwanza ni wanafki na wabinafsi, yani wenzenu wateseke wafirisiwe kwa ajiri yenu ila nyie hampo teyari kupitia wanayoyapitia.Acha haki itendeke,,kwa kuteswa kwake sisi tutapona!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mungu siyo wa chadema sawaLeta uthibitisho wa hizo tuhuma acha mkumbo. Unafikiri Mungu ni wa CHADEMA tuu.
Yeye kutoka sio suluhisho, hii kesi ni mfululizo tu wa matatizo tuliyonayo na Mbowe sio wa kwanza kupewa kesi za aina hiyo.Suluhisho unalolijua kama binadamu ni lipi ili yeye atoke.
Kifo sio adhabu kila mtu atakufa na ndio maana hadi mitume wamekufa. Kwanza haya mambo ya kumuhisisha Mungu katika haya masuala nadhani si sahihi, ccm ipo hadi leo unafikiri kwanini Mungu hajaitoa madarakani?Mungu siyo wa chadema sawa
Kumbuka mlimpiga risasi 30 ila Mungu ni mkuu Sana
Mungu akasema hapana inatokea
Ndipo Mungu akaona kilio cha watu ndipo msiba ukatokea bado mkaificha maiti na kudanganya kwa uma raisi anapiga kazi anawasalimia kumbe anaoza taratibu
Kama kila mtu atakufa kwanini mlimpiga risasi 30?Kifo sio adhabu kila mtu atakufa na ndio maana hadi mitume wamekufa. Kwanza haya mambo ya kumuhisisha Mungu katika haya masuala nadhani si sahihi, ccm ipo hadi leo unafikiri kwanini Mungu hajaitoa madarakani?
Utetezi live Mahakamani unasingizia media !Utetezi wa kupitia media hauwezi kumuhadaa jaji
Yaap niko najiweka katika nafasi ya ijipii siro alivyotoka kujigamba sasa sijui kama anaweza kuja kifua mbele tena kuhusu kesi hiiIla Serikali wagumu kweli kuelewa!
Shahidi leo kavurugwa. Kajichanganya sana. Hata Jaji leo kaona wacha ikae hivyo hivyo.Huyu bwana stahili yake ni kukuhoji kwa muda mrefu sana. Yaani kielelezo kimoja kinaweza kwake kikawa na maswali Zaidi ya 25. Ana utaratibu wa
Kwa ninanvyoona ni kweli kabisa Mbowe alihitaji walinzi.Hii ni mbinu sahihi kabisa na imefanywa makusudi kwa sababu hizi;
1. Urio ndio alikuwa mtoa habari mkuu wa kesi nzima.
2. Mkaguzi Swila ndiye aliyekuwa mpelelezi wa kesi hii. Yeye ndio aliyefungua kesi, kupewa maelekezo na Kinga, kuomba vyombo vya uchunguzi kufanya kazi zake na hata kumhoji mtoa taarifa na hata kuandika maelezo ya Kingai.
Baada ya watu hawa, kesi itakwenda haraka sana ili utetezi nao ulete mashahidi wao. Ninahofia kuwa kutakuwa na mashahidi wa utetezi wengi waliohusishwa na Kaaya, Urio na kesi ya ugaidi kuliko Mbowe. Nina dhana kuwa uchunguzi dhidi ya makomandoo inatokana na zile mambo za Kibiti - Mbowe aliingizwa tu baada ya kuona amewasiliana na Urio ambaye alikuwa na kazi ya kuchoma makomandoo wote wasio kazini!!
johnthebaptist bora hata umeweza kuelewa uhalisia. Sabaya na sukuma gang walikiwa na nia mbaya sana na wapinzani wa JPM.Ukiona shahidi anahojiwa hadi anapata homa mahakamani ujue hapo hamna kesi!
SI YEYE TU... POLISI TZ WENGI NI MAJAMBAZI ISIPOKUWA YULE MAMA KAGANDA!RAMADHANI KINGAI NI JAMBAZI MWENYE UNIFOMU
Jaji kashaanza kukaa kwenye mstari. Kesi ishakuwa ngumu kwa jamhuriUkisikia KIPAJI ndio hiki. Yaani hata kama Jaji anajipanga kupendelea. Roho Mtakatifu ndani yake anamkatalia.