Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu

Another street lawyer🤣🤣
 
Sasa wewe mtu mzima tena afisa mkubwa wa Police 👮 yakimtokea hayo urafurahi.
Tatizo kweny maswali hata ukipewa desa...

Kweny cross examination hakuna kuingia na majawabu ya kumezeshwa lazima utatolewa know out....sema ma afande wanakubali kwasababu ya kulinda Ugali wao
 
Siku ingine tena ya kumsikiliza Wakili Msomi Kibalata akileta madude yake!
 
Hii ni project ya muda mrefu aliyoifanya Mbowe kurecruit vijana wasomi akianza na lissu km mentor wa Hawa kina kibatala naona wanazidi kuongezeka kina nashon nkungu,dickson matata etc wanavutia kuwasikiliza hd unatamani kuwasomesha wanao law
Na siku zote ukitaka kuonyesha kipaji chako cheza timu pinzani
 
OK, ni kama nimekusoma hivi.

Na kwavile makomandoo wenyewe wana majina ya dini yetu ya Ijumaa! Hapa hakuna kesi isipokuwa kutaka kuvurugiana maisha na kupotezeana muda tu.
 
Sio kwa sasa tu hamjawahi kuwa na la kufanya, Lissu yule pale katiwa kilema kuna ambalo mlifanya? Ila kama ulivyosema tuendelee kufurahia maswali ya Kibatala na huyo Mbowe muache aendelee kukonda sasa akihukumiwa kabisa sijui itakuaje.
Shemeji yako Bashite siku atakapojitokeza Mahakamani tu, suala la Lissu litaanzia hapo pia. Unadhani ni kwanini yuko MAFICHONI? Time will tell..
 

Kule utakonda ww mzee wao wanapelekewa msosi mzr kila siku
 
Mwenye picha ya insp swila atuwekee hapa tafadhari, maana tunahitaji kuona hadi sura yake.
 
Asingeambiwa aumwe, jana angeharibu kesi
 
Nyi chadema acheni kujipa moyo mwenyekiti anateseka kule ndani fanyeni namna muliuaminisha umma muna wanachama milioni 8, Zitto alipomuombea kwa mama mkaja juu wakati mbowe mwenyewe alibariki Zitto kumuombea msamaha kwa mama.,

Wewe una mu-enjoy kibatala wakati siku zinakatika mwenyekiti Taifa yuko jela na kesi muiitayo ya kubambika? Mnasubiri clips za tundu lissu online akihojiana na mariam sarungi ndio muendeshe siasa, it is good for nothing
 
Kule utakonda ww mzee wao wanapelekewa msosi mzr kila siku
Mkuu umemuona Mbowe alivyo sasa hivi? Kule sio pazuri we shukuru upo uraiani unaburudishwa na Kibatala ila unadhani Mbowe anaburudika na maswali ya Kibatala kule?
 
Shemeji yako Bashite siku atakapojitokeza Mahakamani tu, suala la Lissu litaanzia hapo pia. Unadhani ni kwanini yuko MAFICHONI? Time will tell..
We endelea kushabikia umbeya wa kiasiasa maana si ndio mnaloliweza. Hilo la Lissu ni la awamu ya Magufuli na awamu hii imeanza na Mbowe na safari ndio kwanza imeanza.

Tuendelee kuburudishwa na Kibatala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…