Wakili Matata: Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi wako Hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya Sativa!

Wakili Matata: Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi wako Hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya Sativa!

CCM ni Chama Cha Mataahira
Ni Sawa lakini is that what you can address to people na ukapigiwa Kura? Kwanini kama chama kikuu cha upinzani mnashindwa kutofautisha pet issues na Mambo ya kitaifa? Yaani mnatrend within some days mnasahau tena mnadandia lingine mnaloona linawapatia political mileage. Wapuuzi Sana nyie.
 
Ni Sawa lakini is that what you can address to people na ukapigiwa Kura? Kwanini kama chama kikuu cha upinzani mnashindwa kutofautisha pet issues na Mambo ya kitaifa? Yaani mnatrend within some days mnasahau tena mnadandia lingine mnaloona linawapatia political mileage. Wapuuzi Sana nyie.
Na wewe uliona ni busara kusema Chadema ni chama cha kihuni?
 
Sasa hivi ndio nimeelewa huenda wale wote waliopotezwa na Utawala wa Magufuli waliuwawa na Maiti zao ziliachwa ziliwe na Spoted Hyena na Wanyama wengine.
Akiwemo Ben Saanane.
 
Hahaaaa....upinzani hii nchi mna safari ndefu Sana.
Mtoke hapa mje kujadili "finance bill watu waielewe ni Leo?
Na wewe uliona ni busara kusema Chadema ni chama cha kihuni?
Sio Tu chama cha kihuni,ni chama cha WAHUNI+macheck bob 🤣🤣🤣
 
Get well Soon SATIVA.

Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?

Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Anajulikana !
Kama ni kweli alakini 🙄😳😱
 
Naamni wangetaka kumuua bhc angeshakwisha mda mrefu kabla ajafika chuga au katavi
Huyo wamefanya kumtesa kama Roma au yule doctor ulimboka
Kwahiyo mambo ni yale yale tu ?!!
Kwahiyo Ngosha alikuwa anasingiziwa tu. 😳🙄
Ya Dokta Ulimboka yalikuwa awamu ya Nne 🙄
Sasa Ngosha atapumzika kwa Amani !
😳😳😳😳
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU

Matata ametoa Taarifa ukurasani X
Mungu ibariki Chadema
 
Chadema wamekuwa watu wa Siasa za matukio. Niliwahi kukipenda hiki chama kipindi fulani.

Mjinga wewe, hujui hata maana ya siasa...!

Hiyo ndiyo siasa sasa kama ulikuwa hujui...

Siasa ni kutumia makosa ya mshindani wako kumchapa nayo..

Siasa ni kama soka. Ukifanya kosa, unapigwa goli au magoli...

CCM wanateka na kuumiza watu halafu wapinzani wao CHADEMA au ACT wawaache na kushangilia tu?? Really??

Narudia tena kukuambia, HUNA AKILI WEWE na wala hata hujui MCHEZO WA SIASA UNACHEZWAJE.....
 
Get well Soon SATIVA.

Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?

Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Mmeishiwa hoja mnadakia yasiyowahusu
 
Chadema wamekuwa watu wa Siasa za matukio. Niliwahi kukipenda hiki chama kipindi fulani.

Wewe ni stupid. Watu wanahangaika kuokoa maisha ya mtu. Mashetani mnafikiria tu madaraka. Mashetani wakubwa ninyi msioijua thamani ya uhai wa binadamu wenzenu.

Mungu wa mbinguni, tunashukuru Mkono wako uliomweka hai kijama huyu mpaka sasa. Tunaomba uzidi kumjalia uponyaji, na uwape laana iwafaayo mawakala wa shetani wanaopanga, wanaotekeleza na wanaofurahia vifo vya binadamu wenzao
 
Back
Top Bottom