The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Sasa kama Jaji kashindwa kuona hilo. Hivi itakuwa je kwenye maswali mazito kama ya DPW yakitinga kwenye viwanda vyake...!!?Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Watu wanapoambiwa Mkuu wa Nchi amepewa madaraka makubwa sana na Katiba kiasi kwamba hata aliyeisimamia hiyo Katiba mpaka ikapitishwa naye alipata kuigopa !!! Akaonya ! Watu wengi bado hawataki kuelewa tu !!Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.
Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.
Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P
Unakosea JM siyo JR1 kwa sasa JR1 ni Mhm Augustine Mwarija na ndie ye Dean wa Majaji wa rufaa. JM ni mkuu wa Mahakama ya Rufani kiutawala na Mahakama ya Tanzania na ametokana na majaji wa rufaa.so kigezo cha kuwa Jaji mkuu lazima atoke mahakama ya rufaaYaani wewe ni Wakili msomi lakini hujui JM ndiyo JR1, au uliiba mtihani Law School?
Waziri mkuu sio waziri?, ni inclusive term au exclusive?Hivyo ni vyeo viwili tofauti hata mishahara na marupurupu na instrumental zao za kazi ni tofauti.
Mbona Waziri Mkuu au Mawaziri wote ni wabunge ila vyeo vyao ni tofauti
Leta kifungu usiongee bila fact apaMkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.
Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.
Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P
Kwa akili zako sidhani miaka ya sasa ungetoboa law school shukuru zamani uwakili mlikuwa mnapewa tu bila kuusoteaYes mimi ni Wakili Mtangazaji, na sio Wakili Msomi!. Fani yangu rasmi ni mtangazaji, nikasoma LL.B nikiwa mtangazaji, nikahitimu LL.B with honors from UDSM nikiwa mtangazaji, na baada ya kuhitimu, nimeendelea na utangazaji, nimepata uwakili nikiwa mtangazaji, sasa ni wakili na bado ni mtangazaji.
P
Mkuu Mpwayungu Village , sipendi kujitapa kuhusu akili mzuri maana zinaweza kuvurugika, ila mimi ni product of Ilboru na LL.B yangu ni hons ya UDSM!.Kwa akili zako sidhani miaka ya sasa ungetoboa law school shukuru zamani uwakili mlikuwa mnapewa tu bila kuusotea
Ibara ipi inazungumzia 'isipokuwa Jaji Mkuu '?W
Wana ukomo but Raisi anaweza kuwaongezea muda wa utumishi. Isipokuwa CJ
huyu jaji mkuu wa sasa ana manufaa gani ya umma ambayo mwingine hawezi kuyasimamia na kuyaendeleza au ni mzenji? - maana Tanzania nepotism ndiyo kila kitu.Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania
Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?
Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?
Raisi huyu asiyetufaa anastahili adhabu gani?Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
Ila kwenye kumuongezea muda wakuu wa mihimili, Rais, Spika, Jaji Mkuu na wale the 5 constitution officers, CAG, Chair wa NEC, Msajili wa Vyama, Chair wa Tume ya Maadili, kuna kipengele kimewazuia kuongezewa muda baada ya kustaafu, hivyo Wakili Alex Mgongolwa amechemka big time alipomtetea rais Samia kuwa hajavunja katiba, kwasababu japo Jaji Mkuu ni Jaji Rufani, na Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani, lakini Jaji Rufani aliyekuwa Jaji Mkuu, hawezi kuongezwa muda cha Ujaji Rufani kwasababu katiba imezuia maofisa hao kuteuliwa nafasi yoyote ya kiutendaji baada ya kustaafu nafasi zao!.
Hili nomelifungulia uzi Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
P
Sio mimi nisemavyo hivyo,.......bali ni katiba...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kwahiyo kuendelea kuwa JAJI anaruhusiwa ila KUWA JAJI MKUU HARUHUSIWI KISA UMRI?
Exclusive hao ni watu Wawili tofauti Kwa nijibu wa katiba yetuWaziri mkuu sio waziri?, ni inclusive term au exclusive?
Unaposema Jaji wa Mahakama ya Rufani lakini sio Jaji Mkuu unamaanisha nini, unafaham Jaji Mkuu anatokana na Majaji wa Mahakama ya Rufani, na ndiye Jaji wa Rufani namba 1 (JR1)? Unafahamu kwa sababu hizo unapotaja Majaji wa Mahakama ya Rufani JM ambaye ni JR1 ni sehemu ya hilo kundi?
Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.
Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.
Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P
Kiukweli, so far, she is so good!, so right and in fact she is the best!.Hata hili la bandari bila shaka ni lake mwenyewe, akaelekeza Bunge lifanye kuridhia maamuzi yake mwenyewe.
Siku ya siku msilete threads hapa sijui alidanganywa etc.
Pascal..hapa wala ishu sio katiba..Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.
Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
Ila kwenye kumuongezea muda wakuu wa mihimili, Rais, Spika, Jaji Mkuu na wale the 5 constitution officers, CAG, Chair wa NEC, Msajili wa Vyama, Chair wa Tume ya Maadili, kuna kipengele kimewazuia kuongezewa muda baada ya kustaafu, hivyo Wakili Alex Mgongolwa amechemka big time alipomtetea rais Samia kuwa hajavunja katiba, kwasababu japo Jaji Mkuu ni Jaji Rufani, na Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani, lakini Jaji Rufani aliyekuwa Jaji Mkuu, hawezi kuongezwa muda cha Ujaji Rufani kwasababu katiba imezuia maofisa hao kuteuliwa nafasi yoyote ya kiutendaji baada ya kustaafu nafasi zao!.
Hili nomelifungulia uzi Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
P