Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Wakili Mgongolwa: Katiba inamruhusu Rais kumuongezea muda Jaji Mkuu

Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.
P
Sasa kama Jaji kashindwa kuona hilo. Hivi itakuwa je kwenye maswali mazito kama ya DPW yakitinga kwenye viwanda vyake...!!?
 
Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.

Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.

Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P
Watu wanapoambiwa Mkuu wa Nchi amepewa madaraka makubwa sana na Katiba kiasi kwamba hata aliyeisimamia hiyo Katiba mpaka ikapitishwa naye alipata kuigopa !!! Akaonya ! Watu wengi bado hawataki kuelewa tu !!
 
Yaani wewe ni Wakili msomi lakini hujui JM ndiyo JR1, au uliiba mtihani Law School?
Unakosea JM siyo JR1 kwa sasa JR1 ni Mhm Augustine Mwarija na ndie ye Dean wa Majaji wa rufaa. JM ni mkuu wa Mahakama ya Rufani kiutawala na Mahakama ya Tanzania na ametokana na majaji wa rufaa.so kigezo cha kuwa Jaji mkuu lazima atoke mahakama ya rufaa
 
Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.

Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.

Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P
Leta kifungu usiongee bila fact apa
 
Yes mimi ni Wakili Mtangazaji, na sio Wakili Msomi!. Fani yangu rasmi ni mtangazaji, nikasoma LL.B nikiwa mtangazaji, nikahitimu LL.B with honors from UDSM nikiwa mtangazaji, na baada ya kuhitimu, nimeendelea na utangazaji, nimepata uwakili nikiwa mtangazaji, sasa ni wakili na bado ni mtangazaji.
P
Kwa akili zako sidhani miaka ya sasa ungetoboa law school shukuru zamani uwakili mlikuwa mnapewa tu bila kuusotea
 
Kwa akili zako sidhani miaka ya sasa ungetoboa law school shukuru zamani uwakili mlikuwa mnapewa tu bila kuusotea
Mkuu Mpwayungu Village , sipendi kujitapa kuhusu akili mzuri maana zinaweza kuvurugika, ila mimi ni product of Ilboru na LL.B yangu ni hons ya UDSM!.
Umuhimu wa elimu sio vyeti bali umeitumiaje elimu yako kuisaidia nchi yako na kuwasaidia wengine?.
P
 
Kupitia kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kupitia Clouds FM, Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ameeleza kuwa Rais anayo Mamlaka na hajavunja Katiba kwa kumuongezea muda wa kuhudumu Jaji Mkuu wa Tanzania

Msikilize hapa, kisha tujadili nini maoni yako?

Pia soma > Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?

--
Mwanasheria wa kujitegemea Alex Mgongolwa ambaye amekuja kutuweka sawa kuhusu nafasi na uwezo wa Mhe Rais katika kumuongezea muda Jaji Mkuu, ikiwa ni baada ya sintofahamu iliyoibuka ikihoji kuhusu kupitiliza kwa muda wa utumishi wa Jaji Mkuu! Katiba inasemaje!?


huyu jaji mkuu wa sasa ana manufaa gani ya umma ambayo mwingine hawezi kuyasimamia na kuyaendeleza au ni mzenji? - maana Tanzania nepotism ndiyo kila kitu.

Na kama alishaongezewa muda na jpm kama katiba inavyoruhusu, kwa nini aongezewe muda mara ya pili kinyume cha katiba?
 
So
Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.

Ila kwenye kumuongezea muda wakuu wa mihimili, Rais, Spika, Jaji Mkuu na wale the 5 constitution officers, CAG, Chair wa NEC, Msajili wa Vyama, Chair wa Tume ya Maadili, kuna kipengele kimewazuia kuongezewa muda baada ya kustaafu, hivyo Wakili Alex Mgongolwa amechemka big time alipomtetea rais Samia kuwa hajavunja katiba, kwasababu japo Jaji Mkuu ni Jaji Rufani, na Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani, lakini Jaji Rufani aliyekuwa Jaji Mkuu, hawezi kuongezwa muda cha Ujaji Rufani kwasababu katiba imezuia maofisa hao kuteuliwa nafasi yoyote ya kiutendaji baada ya kustaafu nafasi zao!.
Hili nomelifungulia uzi Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
P
Raisi huyu asiyetufaa anastahili adhabu gani?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kwahiyo kuendelea kuwa JAJI anaruhusiwa ila KUWA JAJI MKUU HARUHUSIWI KISA UMRI?
Sio mimi nisemavyo hivyo,.......bali ni katiba...

Na katiba wala haiwezi kukuonea huruma kwa kauli ya "..haruhusiwi, kisa UMRI...!??"

Na kwa hiyo , jibu la swali lako still ni lilelile.....

NDIYOOOOOOO, kisa ni umri tu..!!
 
Huyu jaji hata kuingia kwake katiba ilivunjwa kwa sababu alitakiwa ateuliwe moja kwa moja lakini alianza kukaimu wakati hakuna kipengele cha kinachomruhusu Rais kuteua kaimu jaji mkuu bali anatakiwa kuteua jaji mkuu.
 
Unaposema Jaji wa Mahakama ya Rufani lakini sio Jaji Mkuu unamaanisha nini, unafaham Jaji Mkuu anatokana na Majaji wa Mahakama ya Rufani, na ndiye Jaji wa Rufani namba 1 (JR1)? Unafahamu kwa sababu hizo unapotaja Majaji wa Mahakama ya Rufani JM ambaye ni JR1 ni sehemu ya hilo kundi?

Jaji mkuu ni jaji ya mahakama ya rufani.

Ila jaji wa rufani sio jaji mkuu.

Nadhani umeelewa hizi hesabu za set, subset intersection n.k
 
Mkuu ras jeff kapita , kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye, bila kuwajibika kufuata ushauri wa yeyote!.

Maamuzi pekee ambayo rais wa JMT ni lazima ayafuate ni Azimio la Bunge, na kuwasilisha ripoti ya CAG Bungeni.

Na kwenye uteuzi, rais atapokea majina pendekezwa kutoka mamlaka ya ushauri ili kuteua, akiwaona wote walioletwa hawatoshi, anamuongezea muda aliyepo na kutafuta mwingine!. Nyerere alifanya, Mwinyi alifanya, Mkapa alifanya, JK alifanya, JPM alifanya, na sasa Mama Samia anafanya!.
P

Hata hili la bandari bila shaka ni lake mwenyewe, akaelekeza Bunge lifanye kuridhia maamuzi yake mwenyewe.

Siku ya siku msilete threads hapa sijui alidanganywa etc.
 
Hata hili la bandari bila shaka ni lake mwenyewe, akaelekeza Bunge lifanye kuridhia maamuzi yake mwenyewe.
Siku ya siku msilete threads hapa sijui alidanganywa etc.
Kiukweli, so far, she is so good!, so right and in fact she is the best!.
P
 
Japo mimi ni wakili, ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji.

Katiba yetu iko wazi kabisa kwa teuzi zote za rais, akiletewa majina, akaona wote hawatoshi, ana mamlaka ya kumuongezea muda aliyepo kisha kutafuta wa kutosha. Hili limekuwa likifanyika siku zote na hakuna tatizo lolote!.

Ila kwenye kumuongezea muda wakuu wa mihimili, Rais, Spika, Jaji Mkuu na wale the 5 constitution officers, CAG, Chair wa NEC, Msajili wa Vyama, Chair wa Tume ya Maadili, kuna kipengele kimewazuia kuongezewa muda baada ya kustaafu, hivyo Wakili Alex Mgongolwa amechemka big time alipomtetea rais Samia kuwa hajavunja katiba, kwasababu japo Jaji Mkuu ni Jaji Rufani, na Rais ana mamlaka ya kumuongezea muda Jaji Rufani, lakini Jaji Rufani aliyekuwa Jaji Mkuu, hawezi kuongezwa muda cha Ujaji Rufani kwasababu katiba imezuia maofisa hao kuteuliwa nafasi yoyote ya kiutendaji baada ya kustaafu nafasi zao!.
Hili nomelifungulia uzi Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.
P
Pascal..hapa wala ishu sio katiba..
Ishu hapa..ni watu kujipanga kumpinga Rais...na wewe kama unawa safisha...au na wewe unajua kitu ambacho Wengi hatukijui??
 
Back
Top Bottom