Chadema walishaingizwa mkenge na tapeli la siasa Mbowe!, Ni mpuuzi tu ndio angeweza kwenye ule mkutano wakipumbavu.
Najaribu kuwaza kwa kina kuhusu hoja yako hii. Kwako wewe Reconciliation ya kweli ni kufanya kitu gani?
Je uundwaji wa hii miswada ya sheria siyo sehemu ya maridhiano?
Kwako wewe maridhiano ni kitu gani? Je, unataka CHADEMA wagawiwe masinia ya ubwabwa wale na familia zao?
Mimi nashauri CHADEMA warekebishe kwanza mambo yaliyo ndani ya CHAMA chao waondoe Ngugunization.
uchadema sio 🐒
Unakosea. Salim Mwalimu ndio nani CHADEMA?. Huyo ni sympasither wa Samiah. Nani hajui?. Acha kutaja majina ya watu na kuyafanya ndio imani ya CHADEMA.
CHADEMA NI F.A. MBOWE full stop 🐒
Kungekuwa walau na hivyo vyama serious!, Wenyeviti wa vyama ndio mawakala wa CCM😅.
wengine mafisi tu kama uyo ulomzodoa apo juu 🐒Wewe wasema.
Yes nimeelewa vizuri sana kwambaUmenielewa
Kama hali ndiyo hii upinzani kuchukua madaraka itakuwa ni ngumu sana[emoji419][emoji375]Sikilizeni jinsi namna ccm wanavyo nufaika na wasimamizi wa uchaguzi.
Kumbe hata tume ya uchaguzi wanahusika kwenye huu uchafu.
Kama hali ndiyo hii upinzani kuchukua madaraka itakuwa ni ngumu sana .
Msikilizeni huyu mwamba maana yalimkuta.
View attachment 2867027
Ndoto ya jinamizi hii chorus tumechoka nayo kila miaka 5 inarudiwa hakuna mtunzi mwingine!
Kiongozi ulikuwa hujui hilo!.Sikilizeni jinsi namna ccm wanavyo nufaika na wasimamizi wa uchaguzi.
Kumbe hata tume ya uchaguzi wanahusika kwenye huu uchafu.
Kama hali ndiyo hii upinzani kuchukua madaraka itakuwa ni ngumu sana .
Msikilizeni huyu mwamba maana yalimkuta.
View attachment 2867027
Sio kila siku ni Sabato...!Ndoto ya jinamizi hii chorus tumechoka nayo kila miaka 5 inarudiwa hakuna mtunzi mwingine!
Laani hii huenda kwa watoto wao, ndio mashoga na mateja unawaona Masaki na Oysterbay.Sikilizeni jinsi namna ccm wanavyo nufaika na wasimamizi wa uchaguzi.
Kumbe hata tume ya uchaguzi wanahusika kwenye huu uchafu.
Kama hali ndiyo hii upinzani kuchukua madaraka itakuwa ni ngumu sana .
Msikilizeni huyu mwamba maana yalimkuta.
View attachment 2867027
Hakika kabisa fisi alifika mjini!
wewe unanufaika na mfumo kandamizi na si ajabu babayo ni mwenyekiti wa kitongoji unajhsi umemaliza maisha.Safi, kila mtu ashinde mechi zake