econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Chadema walishaingizwa mkenge na tapeli la siasa Mbowe!, Ni mpuuzi tu ndio angeweza kwenye ule mkutano wakipumbavu.
Ule Mkutano ulikuwa kuwadaka CHADEMA, sijui nani kawaambia waende. Ndio maana yule Mzee wa CHADEMA alipoongea ukweli machawa wote wakaamka na kumkalisha chini. Lengo ni kwamba wapitishe sheria ya kijinga waje waseme CHADEMA walishiriki pia kutoa maoni.