Wakili Mwabukusi na Mdude Nyagali kushtakiwa kwa makosa ya UHAINI

Duh

Wameshtakiwa leo Jumapili?!

Ikumbukwe mambo haya ya Uhaini huambatana na Njaa na Dhiki Kuu, si dalili njema

Nilikuwa Katumba Bar Kinondoni mkwajuni Wakati Tamimu alipofanya Uhaini 1980s, si jambo la kuombea kwa kweli
Acha unafiki, furahia maana mmepata mnachokitaka ingawa lengo hapa si kuwapata na hatia bali ni kuwatisha na kutisha wengine.

Hata hivyo, kwa tuhuma hizi, watu wataishiwa uvumilivu na wengi watakuwa tayari kuungananao hata kama na wao watashitakiwa kwa makosa hayo hayo ya uhaini.
 
Mpumbavu mkubwa wewe,huna hata hoja unaropoka ujinga uliojaliwa
 
Baada ya muda Rais atakuja kusema waachiwe alafu tutamsifu kwa usikifu na upendo !!!, Hii Mimili inacheza na muda wetu na kupoteza kodi zetu....

Sarakasi zimekuwa nyingi sana hii nchi
 
Halafu uachage ubwege na ujinga utaungana na Mdude na haka la ID fake?!!
 
Asante mungu, wahukumiwe kunyongwa mpaka kufa kwa sababu ni wahaini kabisa. Yaani hakika haki itendeke kwao ili liwe fundisho
 
Asante mungu, wahukumiwe kunyongwa mpaka kufa kwa sababu ni wahaini kabisa. Yaani hakika haki itendeke kwao ili liwe fundisho
Kama hamjapata fundisho kwa yule anaeoza kaburini, basi subirini pigo jingiene ndio mtajua Mungu si Mwanadamu.
 
Mananga kama wewe ni wa kusamehe kwa sababu kichwani hamna kitu. Civil unrest inatokeaje wakati mama anaupiga mwingi na tayari tuko kwenye uchumi wa kati? Itatokeaje wakati waarabu wanakuja kuchukuwa bandari waingize mamilini ya fedha ambazo zitabóresha maisha ya kila mwananchi? Au italetwa na mama yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…