kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wengine wana kinga ya kutoshitakiwaMmmmm hakuna uhaini vipi alieuza bandari....na anayetetea rasilimali ya vizazi ? Labda sio dunia hii....Mungu ataamua ugomvi huu ....sababu yupo na yu hai
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Kosa lao kubwa ni kuwa wakristo na kupinga waislamu kutoka Zanzibar kuuza bandari za Tanganyika kwa waarabu
Mwambieni Mama auaye Kwa upanga atauawa Kwa upanga, Mtu mwenye ufahamu hujifunza kutokana na makosa ya waliomtangulia.
Ni kweli Mh rais hajajifunza Kwa jiwe?.
Na mtakuwa frustrated zaidi pale mtakaposikia hatima ya nchi hii iko mikononi mwa mzungu km zamani isipotokea mkajitambua nyie ni taifa la kwanza kwa unafiki barani afrika katika zama hizi ambazo mataifa mengine yanatafuta kujikomboa toka katika ukoloni mambo leo, eti walio wazalendo wa taifa ndio wanaopewa kesi za uhaini halafu wahaini kwa kusgirikiana na majambazi wa magharibi ndio mnawatukuza ni bora tukamatwe watanganyika wote kwa kuhitaji rasilimali zetu kuliko kuteswa na uoga wa kijinga kisa muungano wa uongoNenda kawatete mahakamani unafikili police niwajinga waliwaacha mda mrefu wakajisahau na matamshi yao yenye utata. Walikuwa na nia nzuri ila strategy yao haikuwa nzuri kwa afya ya umoja wetu wa kitaifa. Pakitokea civil unrest tutaenda wapi watu wako frustrated na maisha hawajui babdari wala nini kitakachotokea ni looting na uharifu mwingine. Hawa jamaa walijiamini sana mpaka kukosa hekima kwenye matamshi yao.