Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Wewe ndie daktari wangu, njoo unitibu gettoUnakichaa kabisa unahtaji maombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndie daktari wangu, njoo unitibu gettoUnakichaa kabisa unahtaji maombi
Mie nilikuwa nyumba ya jirani pale Tamimu aliporuka ukuta ktk nyumba ile ya NHC kuwakimbia ma CID ila walimlima shabaNilikuwa Katumba Bar Kinondoni mkwajuni Wakati Tamimu alipofanya Uhaini 1980s
Hii ndio hoja yako?Leo umeharibu brother umeongea kwa hasira badala ya kumwaga madini watu wasome wajifunze. Criticism ni kitu cha kawaida kwenye siasa lakini mambo ya sheni sijui mama mzee sio ustaarabu.
Aisee mwaya kulikoni??Wewe ndie daktari wangu, njoo unitibu getto
Waambie watoto wa hapa Jf Uhaini siyo Singeli😄😄Mie nilikuwa nyumba ya jirani pale Tamimu aliporuka ukuta ktk nyumba ile ya NHC kuwakimbia ma CID ila walimlima shaba
Watakaopindua nchi ya Tanzania ni Wanajeshi; kile ambacho serikali inakifanya kwa sasa kupitia hivi vyombo visivyo na weledi Mungu anenda kutenda maajabu kwenye utawala huu dhalimu. Mnawashitaki kwa kosa linalostahili kifo kisa mnataka kuwaziba midomo wananchi hawatakubali kamwe ndio wamechochea zaidi.Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...
Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO
View attachment 2716177
HahahaaWaambie watoto wa hapa Jf Uhaini siyo Singeli😄😄
Wacha wanyongwe wajifunze.😂Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...
Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO
Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
View attachment 2716177
Mahakama zipi, hizi hizi zinazopigiwa simu moja? Ingekuwa mahakama za Kenya au kimataifa hapo kungekuwa na mahakama. Sio hizi mahakama za majaji wa mchongo.Nenda kawatete mahakamani unafikili police niwajinga waliwaacha mda mrefu wakajisahau na matamshi yao yenye utata. Walikuwa na nia nzuri ila strategy yao haikuwa nzuri kwa afya ya umoja wetu wa kitaifa. Pakitokea civil unrest tutaenda wapi watu wako frustrated na maisha hawajui babdari wala nini kitakachotokea ni looting na uharifu mwingine. Hawa jamaa walijiamini sana mpaka kukosa hekima kwenye matamshi yao.
Tena wakati wa kunyongwa, muwaite hao waarabu wa DP World kabisa ndio wawanyonge vizuri hao watanganyika kwa kuwazuia kuchukua bandari zao walizouziwa na viongozi walioko madarakani bila ridhaa ya wananchi.Wacha wanyongwe wajifunze.😂
Mama amejinyeaaaaaaaKupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...
Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO
Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
View attachment 2716177
Kosa lao ni uhainiWanawaoneaaaa.....kosa lao nini ? Kweli mkataba mbovu bandari imeuzwaa hatutaki
Tusubiri kuambiwa walikuwa wanaandaa kuchimba mitaro chini ya bandari ili maji yakauke.Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...
Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO
Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
View attachment 2716177