Wakili Mwabukusi na Mdude Nyagali kushtakiwa kwa makosa ya UHAINI

Wakili Mwabukusi na Mdude Nyagali kushtakiwa kwa makosa ya UHAINI

Leo umeharibu brother umeongea kwa hasira badala ya kumwaga madini watu wasome wajifunze. Criticism ni kitu cha kawaida kwenye siasa lakini mambo ya sheni sijui mama mzee sio ustaarabu.
Hii ndio hoja yako?
 
Kwa hii sintofahamu ya DP World na kitendo cha Mamlaka kuanza kutisha wananchi wazalendo wanaotetea haki ya Watanzania wote dhidi ya mkataba huu wa kifedhuli ambao Mahakama yenyewe imekiri una utata ingelikuwa Nchi za Magharibi mwa Africa Jeshi lingeshachukua Nchi. Viongozi wetu wame kosa weledi, maono, fikra za uongozi. Wasaidiwe ili tuvuke Salama. Huyu mwarabu DPW hatakiwi kugusa Nchi hii at any cost.
 
Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...

Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO

View attachment 2716177
Watakaopindua nchi ya Tanzania ni Wanajeshi; kile ambacho serikali inakifanya kwa sasa kupitia hivi vyombo visivyo na weledi Mungu anenda kutenda maajabu kwenye utawala huu dhalimu. Mnawashitaki kwa kosa linalostahili kifo kisa mnataka kuwaziba midomo wananchi hawatakubali kamwe ndio wamechochea zaidi.

Nobody is safe under a cowardice regime
 
Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...

Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO

Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

View attachment 2716177
Wacha wanyongwe wajifunze.😂
 
Nenda kawatete mahakamani unafikili police niwajinga waliwaacha mda mrefu wakajisahau na matamshi yao yenye utata. Walikuwa na nia nzuri ila strategy yao haikuwa nzuri kwa afya ya umoja wetu wa kitaifa. Pakitokea civil unrest tutaenda wapi watu wako frustrated na maisha hawajui babdari wala nini kitakachotokea ni looting na uharifu mwingine. Hawa jamaa walijiamini sana mpaka kukosa hekima kwenye matamshi yao.
Mahakama zipi, hizi hizi zinazopigiwa simu moja? Ingekuwa mahakama za Kenya au kimataifa hapo kungekuwa na mahakama. Sio hizi mahakama za majaji wa mchongo.
 
Wacha wanyongwe wajifunze.😂
Tena wakati wa kunyongwa, muwaite hao waarabu wa DP World kabisa ndio wawanyonge vizuri hao watanganyika kwa kuwazuia kuchukua bandari zao walizouziwa na viongozi walioko madarakani bila ridhaa ya wananchi.
 
Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...

Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO


Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam


View attachment 2716177
Mama amejinyeaaaaaaa
 
Kupitia mtandao wa X, MMM ameandika kuwa...

Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Wakili Mwabukusi na Mdude wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO


Pia soma > Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam


View attachment 2716177
Tusubiri kuambiwa walikuwa wanaandaa kuchimba mitaro chini ya bandari ili maji yakauke.
 
Back
Top Bottom