Naona Mungu alimtunza kama Musa alivyofichwa enzi za Farao muuaji watoto wa kiume ili aje kuwaokoa Israel.Angetishiwa kuuwawa na wangemuuwa kweli.
SI UNAJUA YULE JAMAA ALIKUWA NI SIMBA WA YUDA.
Mandonga kipindi Cha Rashid Matumla alikua wapi Joji Mpole kipindi Cha Mrisho Ngassa alikua wapi Ahmed Ali kipindi Cha Haji Manara alikua wapi? Rubbish questionsHata mimi nimewaza sana mbona
GHAFLA SANA?
Huyu mwamba muda wote alikuwa wapi?
Ameibuka ghafla kama Masumbuko Lamwai😂😂😂
Majibu yake;Mandonga kipindi Cha Rashid Matumla alikua wapi Joji Mpole kipindi Cha Mrisho Ngassa alikua wapi Ahmed Ali kipindi Cha Haji Manara alikua wapi? Rubbish questions
🚮
Thubutu, dikteta alikuwa anataka mchezo na mtu? Mawaziri wake kawatolea bastola hadharani.Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Magufuli hakuwa dalali wa mali za taifa ndio maana Mwambukusi alikuwa kimyaNi wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Magufuli hakuwa jizi mwamvua ni jizi na dalali kwa pamojaThubutu, dikteta alikuwa anataka mchezo na mtu? Mawaziri wake kawatolea bastola hadharani.
Mmeshasahau?
Na ni mshamba kweli....huyu ni mbwa kunguru tu, na ni mpumbavu kwasababu anashindwa kutofautish Urais na mtu. Ni mshamba tu anayetafuta umaarufu wa kipuuzi.
Huna ulijuwalo kijana, wewe bishana tu mitandaoni.Magufuli hakuwa jizi mwamvua ni jizi na dalali kwa pamoja
Ok kwa hiyo ndo keshawavusha sasa!Naona Mungu alimtunza kama Musa alivyofichwa enzi za Farao muuaji watoto wa kiume ili aje kuwaokoa Israel.
Mwambukusi alifichwa enzi za Jiwe ili atuvushe kwenye hili la Bandari
Hapa JF, hata ulete swali la namna gani, hukosi jibu la kukufikirisha na kukuchangamsha akili!We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.
Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
BAdo Farao anazingua, akipigwa pigo la mwisho atatuachia twende zetu KanaaniOk kwa hiyo ndo keshawavusha sasa!
Haya sasa, watu wajionee wenyewe jinsi uelewa wa wachangiaji mbalimbali ni tofauti kabisa juu ya jambo hilo hilo.Bwawa la Nyerere,walipews waarabu,hakusema kitu,alikuwa anamuogopa Magufuli.
Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na alikuwa kimya ,wakati wa Magufuli.
Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.
UTUKUFU KWA MUNGU JUU NA AMANI DUNIANI KWA WATU WENYE MAPENZI MEMA.Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Unaijua oursociety vizuriLabda kungewekwa mikataba wazi kama huu angeweza kuibuka.
Kwani wale waliuziwa?Bwawa la Nyerere,walipews waarabu,hakusema kitu,alikuwa anamuogopa Magufuli.
Hakuishia kusema, akaenda mbele zaidiNi kweli, wengi wamesema kuhusu DPW lkn Boniface Mwabukusi amesema zaidi.
Kama Magufuli angefufuka tungemuuliza kaburi la Ben Saanane liko wapi???Hapa JF, hata ulete swali la namna gani, hukosi jibu la kukufikirisha na kukuchangamsha akili!
Naweza kusema, karibu ni sawa na mwalimu na wanafunzi wake darasani.
Mwalimu mzuri anayewapa fursa wanafunzi wake watumie akili zao kutafuta jibu la tatizo lililo mbele yao, hakosi kupata aina fulani ya jibu lililo karibu sana na utatuzi wa jambo husika.
Mkuu 'Sheiza', ningekuwa ni Profesa wako, huu mtihani ungeambulia alama ya A, bila ya maneno mengine yoyote.
Niseme hapa, katika jambo hili la mali za Tanganyika, na mwelekeo mzima wa anayoyafanya Samia, ni kinyume kabisa na yale aliyokuwa akiyapigania Magufuli.
Ingetokea leo hii akarudi hata kwa saa moja na kushuhudia anayofanya aliyekuwa msaidizi wake wa karibu, sina shaka kabisa, kati ya Samia na wakili; mMagufuli angemteua wakili kuwa msaidizi wake na kumsweka ndani Samia, tena akitoa kelele nyingi sana juu ya huyu mama.
Watu wengi hawaelewi hili hadi Sa100 mwenyewe. Serikali inapata taabu kuzima huu mjadala sababu hawapambani na vyama vya upinzani tu.We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.
Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.