Wakili Mwabukusi ni Mchanganyiko wa Mdude + Lissu. Je Alikuwa Wapi Wakati wa Hayati Magufuli?

Ukipewa F na mtu mpumbavu wala haina shida.
 
Labda alikuwa anaona anavyofanya magufuli mi sahihi.

Kwenye Maisha kila MTU anakipaombele chake. Na vile MTU anavyo-react itategemea na vipaombele vyake.

Mwingine Mali ni Bora kuliko Kitu chochote. Yaani kipaombele chake ni Mali( zikiwemo Rasilimali)

Mwingine utu ndio kipaombele chake. Hapa tunazungumzia Haki, Uhuru, uadilifu, ukweli n.k.

Hivyo kila MTU anapiga kelele pale kipaombele chake kinapokanyagwa. Hili ndio jibu
 
Huyu ni wakili by professional yaani mwanasheria!!

Hatujui kwenye mhimili wa nchi na viunga vyake yeye ni nani hadi awe na uwezo wa kuukosoa wazi wazi bila kificho !!!

Huyu ni wakili na nusu,hiyo nusu hatuijui hata kidogo!!
 
We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.

Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
Amekuja wakati sahihi. Jambo hili ni la kisheria na ndio maana anaonekana kung'ara nalo
 
we ulitaka awe karibu na wewe pamoja na majizi wenzako ccm

Sasa unajua kabisa huyo bi mdude sijui ni mraibu wa madawa ya kulevya na wewe unamfanya kuwa ni rafiki Yako watu watafikiriaje kama siyo wote ni wale wale tuh.
 
Umeliweka vizuri mkuu, asante
 
Umeona eeh!! Hata ujenzi wa daraja la Busisi na Chato Airport haukuwa na baraka za Bunge. Aliufyata pia
Daraja la Busisi ni BARAKA kubwa aliyotuachia Magufuri atakumbukwa mpaka kizazi cha nne lakini Ukodishwaji wa Bandari kwa DP World utalalamikiwa vizazi na vizazi mpaka mwisho wa dunia.
 
Je na wewe ulikuwa wapi!
 
JPM hakuuza nchi Kama huyu mpemba, alibadilisha sheria kulinda rasilimali za nchi which is Good ,huyu kibwetele anataka kuzibadilisha Tena wachache wakwapue maliasili za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…