Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

Wajinga ndani ya CCM mnaongezeka kwa kasi
 
Kwa taarifa yako watu sio wajinga tena, ww zungumzia uoga na sio ujinga. Iwapo vyombo vya Dola vitaendelea kuamini ccm ndio chama chenye hati miliki ya nchi hii, basi ccm itaendelea kukaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya Dola.
Mnasema people's power,hizi story za dora unatoa wapi?Tukiwa na upinzani imara hao polisi sio kitu. Tuna upinzani wa ovyo ndio maana mnakuja na story za oooh polisi mara dora.Mwaka 2007 Dora ilitumika Kenya kuzima nguvu ya umma na ikashindwa na mwisho wakapata katiba mpya. Huku tuna upinzani unaoleta porojo za maridhiano mara oooh ccm inatumia dora. Dora si kitu kwa upinzani serious. Again,Mbowe na genge lake sio wapinzani tena na katu Hawawez kulivusha Taifa toka mikononi mwa nyang'au ccm
 
Vyama vya upinzani mbona vipo vingi , sio Chadema tu
Mbona mnasema Magufuli alikua anaua upinzani wakati tuliona akiwaalika akina Cheyo,Lipumba na wengine ikulu?Kwenye Positive mnaiweka Chadema kama ndio symbol ya upinzani ila kwenye negative mnaitoa mnataka wengine wawe included
 
Wananchi wapi hao
We ukiambiwa uandamane kuhusu bandari uko tayari au utakua nyuma ya keyboard
Kama anayeniambia niandamane yupo serious, ntaandamana. Tumeandamana vyuoni mara kibao na hii ni kutokana na kuguswa na sababu za kuandamana na anayesema tuandamane tuliona kweli yupo sahihi. Ukiona umeitisha maandamano then muitikio mdogo jua hujafanikiwa kushawishi umma uandamane. Na kwa sasa Chadema hawana power ya kuandamanisha watu coz Raia hawawaelewi
 

Kwenye statement yake amedai vyama vya siasa na si vyama vya upinzani.
Umeweka kichwa cha habari ku fit narrative yako

On the otherside ni kweli vyama vya siasa including chama tawala na upinzani.
 
Nyie mnafanya nini zaidi ya uzinzi na ulevi tu? Meowed kakaa ndani miezi 8 huku wewe ukikesha na Malaya wa Buguruni na Kvant unataka wafanye nini zaidi? Shwaini!
Mbowe angekua mpinzani wa kweli asingekaa ndani miezi 8 na raia wakawa kimya tu.Kitendo cha raia kupuuza Mbowe kukaa ndani maana yake hawana imani naye. Hapo Kenya unafikiri Odinga anaweza kaa ndani hata siku 1 na Raia wakawa kimya?Ukweli ni kwamba Mbowe na genge lake hawana ushawishi tena wa kuleta mabadiliko Tanzania. Nenda Kenya kajifunze upinzani unavyofanya kazi.Watu wanapigwa na polisi, Rais anatia mikwara mara IGP lakini watu wanaandamana. Swala ni upinzani kuwa na ushawishi. Huwez kuwa na ushawishi kama unapuuza mambo ya msingi ya raia. Tunalala giza, upinzani upo kimya tu then kesho utegemee Raia wakuunge kutafuta tume huru ya uchaguzi we uingie madaraka hahahahhah
 
Yupo sahihi CCM imechokwa na wananchi lakini wamekatishwa tamaana vyama mbadala. Kwa matukio ya Sasa kuanzia mfumko wa Bei, tatizo la umeme na mengineyo ni chama kipi kinayazungumzia?
Hawazungumzi sbb wameshazungumza Sana mmeziba masikio wacha yazibuliwe na Muda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio muheshimiwa, nakupata vema.
 
Kama hawawaelewi msiwalalamikie
Walalamikieni hao mnaowaelewa
 
Nadhani iko ni kipande tu cha maelezo..ungeweka habari kamili
 
Sawa lakini kama Lissu ataendelea kuwa chini ya Mbowe ataweza kufika potential yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…