MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Wajinga ndani ya CCM mnaongezeka kwa kasiKazi ya Wakili imekwisha kamilika.
Tunashukuru Wakili Msomi kwa kupeleka Mjadala ule wa Bandari kwa namna ile hadi kufikia hitimisho lile
najivunia kuwa CCM ambayo tangu kuanza kwake imekuwa mbele ya muda kwny mijadala yote inayotishia umoja na mshikamano wa Taifa
Chadema pia inathamini sana amani kwa kuwa inajua bila ya amani hakuna ruzuku
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app