Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

Ndio Siasa hiyo

kwani Huoni Chama tawala Marekani katika kukabiliana na Trump wamemfungulia kesi za ubakaji, ukwepaji kodi, kuchochea ghasia na sasa kumfilisi ili mradi tu kumdhibiti?

Kama huwezi kulinda kura zako utaweza kweli kulinda Bandari na migodi ya nchi?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ukiona kapewa kesi ujue kuna ukweli, na uzuri mahakama zao ziko huru sio kama hizi za hapa kwetu.

Migodi inalindwa kwa mikataba ya kisheria, na vyombo vya Dola ndio vina wajibu huo. Ama umewahi kuwoona uvccm wnanalinda migodi na bandari? Au umeishiwa na utetezi nini mzee?
 
Mkuu Chadema ni Genge la matapeli. Na uelewe mimi sio CCM.Saizi Chadema ni tawi kificho la CCM ndio maana huwezi kuta wako na wananchi kupambana juu ya udharimu wa CCM.Mbowe na genge lake wamefeli, bora kije chama kingine cha upinzani. Haiwezekani Nchi yenye upinzani imara tukawa tunalala giza huku utawala unakuja na hoja za kipuuz.
Kwa taazima nakuomba uunde chama mbadala cha upinzani mimi nitakuwa nyuma yako. Kumbuka tuna wanachama wa CHADEMA ambao wamefukuzwa uanachama sababu ya kuapishwa kinyume cha katiba ya nchi. Je, utakiitaje chama chako? Je, hutachukua ruzuku serikalini au ukiingia bungeni hutachukua per DM. ??Nipashe ili nikuungemkono.
 
"Vyama vyetu vya siasa nadhani aidha vimechoka sana vyote vinahitaji kupumzika au viongozi wake wamechoka sana wanahitaji kupumzika, na ndio maana wanapoteza ile hamu ya kulikomboa na kulisimamia taifa, wanakuwa watu wa kufukuzana na tuvyeo, ubunge, ruzuku, kugawana, kukaa kaa mezani. Kila mmoja yuko bize, wanachotaka ni kugawana tu sio kupambana kwa ajili ya wananchi. Lakini kikubwa ninachojaribu kusema kwamba inawezekana katiba kupatikana bila wanasiasa.” – Wakili Boniphace Mwabukusi

Chanzo: Swahili Times
Chadema walikuwa wanatembea nae mtaani huyu Mwamba dah
 
Achunge ulimi wake,mtu kama Lissu,ambaye hata JPM alitamani ampe cheo,lakini akawa haonyeshi hata dalili ya kuhongwa,leo hii umuweke kwenye calibre ya wanasiasa anaowasema Adv.,ni kumkosea.Kuna baadhi ya wanasiasa na vyama pia,lakini si wote.Lissu hata suala la kufanya maridhiano uchwara,hataki.Tuwape heshima yao,watu kama hao.
maridhiano hataki japo hayo maridhiano ndio yamepeleka Malimbikizo ya ruzuku ya 2 billion kutolewa na Serikali nae akarudi kuyatafuna.

Kupigwa Risasi sio kigezo kuwa huwezi kuhongwa

pengine alikuwa anahongwa kumsumbua hayati JPM tutajuaje ?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Achunge ulimi wake,mtu kama Lissu,ambaye hata JPM alitamani ampe cheo,lakini akawa haonyeshi hata dalili ya kuhongwa,leo hii umuweke kwenye calibre ya wanasiasa anaowasema Adv.,ni kumkosea.Kuna baadhi ya wanasiasa na vyama pia,lakini si wote.Lissu hata suala la kufanya maridhiano uchwara,hataki.Tuwape heshima yao,watu kama hao.
Lisu ni mwanasiasa tapeli kwa sasa
 
CCM iko madarakani kutokana na udhaifu wa upinzani uliopo. Na CCM itatawala milele kama aina hii ya upinzani inatendelea kuexist. Now CCM ina mtaji wa wananchi wajinga na upinzani uchwara.
Kwa taarifa yako watu sio wajinga tena, ww zungumzia uoga na sio ujinga. Iwapo vyombo vya Dola vitaendelea kuamini ccm ndio chama chenye hati miliki ya nchi hii, basi ccm itaendelea kukaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya Dola.
 
siasa ni maslahi, kila chama kina maslahi, sera na misingi inayosimamia. Havikurupuki kama mazuzu.

Kama hayo ya sijui umeme, Bandari n.k. wewe na Mwambukusi hamkuskia wapinzani wakiyasemea na mmeona vina maslahi kwenu na kwa wananchi sasa simuyasimamie bila kudhihaki vyama vyenye maslahi tofauti na hayo au mengine mliyonayo?
Upinzani inataka maslai ya wananchi yawe mbele.Leo wananchi tunalia peke yetu utasema hatuna upinzani. Ukweli lazima usemwe, hatuna upinzani bali genge la wahuni
 
Kazi ya Wakili imekwisha kamilika.

Tunashukuru Wakili Msomi kwa kupeleka Mjadala ule wa Bandari kwa namna ile hadi kufikia hitimisho lile

najivunia kuwa CCM ambayo tangu kuanza kwake imekuwa mbele ya muda kwny mijadala yote inayotishia umoja na mshikamano wa Taifa

Chadema pia inathamini sana amani kwa kuwa inajua bila ya amani hakuna ruzuku

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ccm haipo smart kama mnavyo exaggerate hapa. Ilikua on defensive all that time alafu unasema ilikua ahead of matters?
 
anaanza kujifelisha mapema kwa kuwachokoza na kuanzisha vita na wanasiasa. come on adv.utakwama. dr slaa anakumisslead
Ndio mtajua kuwa hamjui,CDM ni lini watajifunza?wamepelekwa resi na Wakili Mwambukisi bila hata ya kushtuka ,haya sasa kashawapondo vibaya
 
Mkuu Chadema ni Genge la matapeli. Na uelewe mimi sio CCM.Saizi Chadema ni tawi kificho la CCM ndio maana huwezi kuta wako na wananchi kupambana juu ya udharimu wa CCM.Mbowe na genge lake wamefeli, bora kije chama kingine cha upinzani. Haiwezekani Nchi yenye upinzani imara tukawa tunalala giza huku utawala unakuja na hoja za kipuuz.
Vyama vya upinzani mbona vipo vingi , sio Chadema tu
 
Ndio mtajua kuwa hamjui,CDM ni lini watajifunza?wamepelekwa resi na Wakili Mwambukisi bila hata ya kushtuka ,haya sasa kashawapondo vibaya
huu ni ule mchezo wa kuharibu ili tukose wote
 
Back
Top Bottom