FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kabisa!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sehemu aliyotajwa Mbowe Bali vyama . Kama unaamini vyama ni ideology usingetaja jina la mti.Juzi Mshana alitoa post namna ya kufanya maandamano ikiwemo kususia bidhaa, hayo ndio mawazo mapya ya.kupambana na serikali. Inaonekana kichwani mwako unamfikiria Mbowe.Upinzani ni Ideology, sio Chama,Kama vyama vimechoka na Ideologt vipi?Unataka Mbowe na Familia yake Waandamane nyie mkiwa Majumbani?
Chadema ikikaribia kukata moto lazima ichajiwe ili maisha yaendeleeMkuu Chadema ni Genge la matapeli. Na uelewe mimi sio CCM.Saizi Chadema ni tawi kificho la CCM ndio maana huwezi kuta wako na wananchi kupambana juu ya udharimu wa CCM.Mbowe na genge lake wamefeli, bora kije chama kingine cha upinzani. Haiwezekani Nchi yenye upinzani imara tukawa tunalala giza huku utawala unakuja na hoja za kipuuz.
Lakini nani ajui kuwa Mwenyekiti na CCM ni dugu moja tatizo baadhi ya wanachama wa Chadema wanapenda kujilisha upepoSio matusi tu mkuu.
Hawa anaowachokoza ni hatari kwake kuliko ccm..hivyo awe makini na hayo mafumbo yake dhidi ya mwenyekiti.
Sina Mama anayeitwa Samia. Tungekua na upinzani wa maana leo hii kingenuka kwanini tukae giza miezi 6?Ilitakiwa Chadema waseme NO,Ilitakiwa Chadema waandamane kushinikiza viongoz wajiuzulu kwa huu ujinga. Chadema iko kimya kana kwamba Hitimisho la Samia kuhusu umeme ndio final na ni sahihi. Again,Hatuna Upinzani bali genge la wahuni na matapeli wanaotumia siasa kula kodi zetu.Wewe ndio huna maana. Kwa hivyo mama yako Samiah ametoa miezi SITA umeme usiwe mgao, upinzani ndio walalamike ili iweje?. Kwenye shida mnaoponda upinzani, ila mwenye mamlaka ya kuleta umeme mnalamba miguu na kumuogopa.
Kwahiyo ukipigwa risasi ndio usikosolewe?Kwamba kupigwa risasi ndio kigezo cha kuwa malaika?Huyo mwabukuzi kashalewa sifa, anaanza kuvamia watu. Watu walipopigwa risasi na kuvunjiwa vitega uchumi vyao alikuwa wapi?.
Sakata la Bandari liko hadi Mombasa!.mjadala ulikuwa wa Wakili msomi wa sakata la Bandari kusema vyama vyote ni mshamba ya kukusanyia ruzuku, sasa hapo Waislam waliingiaje kwny huu mjadala ?
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Inaweza kueleweka vyema kabisa lakini kwa ugumu sana..!Haya aliyoyasema ni sahihi kabisa, hili tunaliona wananchi lakini je, tufanyaje? Mwambukusi hana chama lakini kiukweli namkubali sana. Hivyo sauti ya huyu mwamba itaeleweka pasipokuwa na chama!?
Vyombo vya habari vikidhubutu kurusha hewani vikao vya Adv.Mwabukusi. Nakuhakikishia mwiitikio wa maandamano utakuwa mkubwa. Huwezi kubana vyombo vya habari na social media (Twitter/ X) halafu ujisifie watu hawataki kuandamaana.Upinzani nani kakuambia ni chama? Kule Sudani Maandamano ya kumung'oa Alibashiri hayakuanzishwa na Vyama vya upinzani.
Turudu kwenye Maada,Mwambukusi akiitisha Maandamano utatoka?au wewe ni keybord man?
kwanini wao wasianze kususia ruzuku kabla ya kutushawishi sisi tususie kununua Unga wa ugali kula na familia yangu?Hakuna sehemu aliyotajwa Mbowe Bali vyama . Kama unaamini vyama ni ideology usingetaja jina la mti.Juzi Mshana alitoa post namna ya kufanya maandamano ikiwemo kususia bidhaa, hayo ndio mawazo mapya ya.kupambana na serikali. Inaonekana kichwani mwako unamfikiria Mbowe.
Ilisha tolewa kwa kugomea vodacom ilifanikiwa? Hakuna kitu hapaHakuna sehemu aliyotajwa Mbowe Bali vyama . Kama unaamini vyama ni ideology usingetaja jina la mti.Juzi Mshana alitoa post namna ya kufanya maandamano ikiwemo kususia bidhaa, hayo ndio mawazo mapya ya.kupambana na serikali. Inaonekana kichwani mwako unamfikiria Mbowe.
Umerushiwa jiwe gizani, limekupata, pole sanaHapo mnapoingiza mambo ya dini ndipo mara zote mnapojipiga Mtama halafu mnalalamika
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Acha uchoganishi ...credibility ya source yako ipo very questionable... Wewe ka kideo angalau"Vyama vyetu vya siasa nadhani aidha vimechoka sana vyote vinahitaji kupumzika au viongozi wake wamechoka sana wanahitaji kupumzika, na ndio maana wanapoteza ile hamu ya kulikomboa na kulisimamia taifa, wanakuwa watu wa kufukuzana na tuvyeo, ubunge, ruzuku, kugawana, kukaa kaa mezani. Kila mmoja yuko bize, wanachotaka ni kugawana tu sio kupambana kwa ajili ya wananchi. Lakini kikubwa ninachojaribu kusema kwamba inawezekana katiba kupatikana bila wanasiasa.” – Wakili Boniphace Mwabukusi
Chanzo: Swahili Times
Mbowe anatakiwa aitishe maandamano nchi nzima kupinga ujinga unaondelea. Kama Raia wanagoma kuandamana maana yake hawana imani naye. Kenya Raia wana imani na Odinga ndio maana kila anachowaambia wanafuata.Raia wakielewa kama mtetezi wao watasimama nawe ila wakijua we tapeli watakupuuza.Pimbi wewe Upinzani sio Mbowe ni Ideology,Unataka Mbowe aandamane kuwatetea wapumbavu kama wewe?
mjadala ni Wakili Mwabukusi kudai kuwa vyama vya Siasa Bongo ni Vicoba vya Maokoto ya ruzuku …sakata la Bandari, sijui Waislam linaingiaje hapa, au ndio kuhamisha magoli ?Sakata la Bandari liko hadi Mombasa!
Watu gani wa kuandamana?wewe hapo?Hapo ulipo unajua fija huwezi andamanaVyombo vya habari vikidhubutu kurusha hewani vikao vya Adv.Mwabukusi. Nakuhakikishia mwiitikio wa maandamano utakuwa mkubwa. Huwezi kubana vyombo vya habari na social media (Twitter/ X) halafu ujisifie watu hawataki kuandamaana.
Kazi ya upinzani ni kuongoza wafuasi wake kupinga dhuruma yyt toka kwa watawala. Unataka kusema Mbowe hana wafuasi wa kuwaongoza kwenye maandamano ya kupinga ujinga wa mgao?Upinzani ni nani?tuanzie hapo,Kama hawaongelei kwa nini wewe usiongelee Mkuu? Unataka Mbowe na familia yake watoke wabebe mabango waandamane kupinga mgao wa umeme? Nyie mkiwa kwenye keybord?
siasa ni maslahi, kila chama kina maslahi, sera na misingi inayosimamia. Havikurupuki kama mazuzu.Yupo sahihi 100%.Umesikia upinzani ukiongelea mgao wa umeme unaondelea?Umesikia upinzani ukipinga vikali mkataba wa bandari?Hii serikali ni ya ovyo kuwahi kutokea lakini upinzani upo kama haupo.