Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Mbinu batili za kuwazuia watanganyika wasidai bandari zao walizopewa waarabu milele, Samia ni mwongo na msaliti mkubwa sana kwa watanganyika, na ni kiongozi dhaifu pia, kwani anachokisema hakitekelezwi na watendaji wake na hawafanyi kitu.
Eti wale wa "plea bargain" wote walimaliza madeni yao ?!!!
 
Eti wale watuhumiwa waliomalizana" kupitia "plea bargaining" wote walimaliza madeni wanayodaiwa?!!!
 
Ni sarakasi tu za wenye mamlaka.

Ina maana walikuwa wanaachiwa hata kwa mali kauli?

Nini kimebadilika hadi waanze kukamatwa tena?

Ni yeye pekee hajalipa?
 
alitoa elimu ya mkataba,

Kwa hiyo kosa lake ni kuelimisha wananchi wa Tanganyika juu ya mkataba, wakaona walale nae mbele. Maigizo kutoka juu yameanza sio
Wale wadeni katika "plea bargaining" wote wamemaliza kulipa WANACHODAIWA?!!
 
Hii ni Vita kamili
 
Unamkamata kisa tu kakwambia ukweli kwamba DP World ni kampuni ya kitapeli. πŸ™‚
 
Hata mkimkamata Bandari haiuzwi,kauzeni ya Zanzibar
wazanzibar wanashirkikiana kuuza mali za Tangayika, hili tumewagomea - yes wakauze za kwao. afu na nyie wapemba mmezagaa tanganyika raha mustarehe, sasa tunasemajeeee - mjiandae mkabananiane huko kwenu. πŸ˜€πŸ˜€
 
wazanzibar wanashirkikiana kuuza mali za Tangayika, hili tumewagomea - yes wakauze za kwao. afu na nyie wapemba mmezagaa tanganyika raha mustarehe, sasa tunasemajeeee - mjiandae mkabananiane huko kwenu. πŸ˜€πŸ˜€
Propaganda hizo zimegonga mwamba.πŸ˜‚
 
Unamkamata kisa tu kakwambia ukweli kwamba DP World ni kampuni ya kitapeli. πŸ™‚
Madeleka kutoka Polisi alifungua kampuni yake ya UWAKILI. Halafu kumbuka Mrs Madeleka alikuwa ni Mtumishi wa IMMIGRATION Mkoa wa Arusha akiwa kitengo kinachohusiana na wahamiaji haramu.

Kesi zote ambazo Peter Madeleka alikuwa anashinda zilikuwa zinaharibiwa na mkewe ofsini. Na wahamiaji haramu wengi alikuwa anawasukuma kwa mumewe kwa ajili ya kutetewa mahakamani.

Hivyo Madeleka na mkewe walihujumu sana jeshi la Immigration Arusha hadi baadaye uongozi wa Makao Makuu ukagundua.

Kilichofuata ni mke wa Madeleka kuhamishwa kitua na hatimaye kuacha kazi Immigration.

Na hiyo ndiyo sababu kubwa ya bifu la Madeleka dhidi ya Makakkala, CG wa Immigration.

Madeleka siyo msafi hata kidogo, ndiyo maana alikubali kusaini "plea bargaining"
 
Watu wengi wanashindwa kuelewa jambo moja, kilichotokea kwa Madeleka kukamatwa ni sawa sababu faili lake limerudishwa polisi wao warudishe kwa DPP alafu kesi iendelee pale ilipoishia.

Sasa mambo ya Tume ya kuchunguza haki jinai hapa yanaingia kwa udogo sana sababu Madeleka hajashinda kesi ya msingi bali ni ombi tu linalorudisha ile kesi ya msingi.

Kwa ufupi sana ni kwamba Madeleka ni mtuhumiwa kwa sasa, na ni mtuhumiwa kwa ile ile kesi yake ya awali ambayo kimsingi yeye mwenyewe ndio ameona sasa bora akapambane na ile kesi ya awali kwa kupinga alichokubaliana na DPP.

kwa ufupi sana jambo lake limekaa hivyo.
 
Plea bargain inafutwaje na Mahakama?

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…