Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Ushahidi gani wanataka, hawa wazungu saa nyingine sijui ni ujinga au nini. Saudi Arabia wamemuua Jamal Khashoggi Ubalozini, hao kina Amsterdam wamefanya nini? Tatizo la kushikilwa akili na wazungu ndio hilo. Atatishia mataifa dhoofu hapa kwetu hawezi kufanya lolote sisi ndio baba lao. Tuliwaambia wazungu tutakomboa Africa na tumefanya hivyo. Sasa ni wakati wa kujenga uchumi wetu, na tunafanya hivyo kama hawajui kilichomtoa kanga manyoya wajaribu.
Wewe dogo tulia sindano iingie vizuri.
Unavyorukaruka sindano inawezavunjikia makalioni..ohooo!
Shauri yako!
 
Unajua ninacho ongelea? Acha ujuaji wa konokono hapa
What is CV by the way? Bro. don't confuse education with intelligence. You can have a degree and still be an idiot
 
Unazani mpaka aue kwa mikono yake? Kwani hao wakina Mussolini waliua kwa mikono yao? Jiwe ana damu za watu na zitamtesa sana
Mnaweka nadharia kwa sababu ya matatizo yenu. Huko ndio kuropoka.
 
Back
Top Bottom