exactly....... sikutegemea apate kura kama hizo maana ni CCM na CCM ni adui wa kila mmoja ukiondoa wanaokula kwa jia ya CCMmawakili wa serikali wote wamempigia yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
exactly....... sikutegemea apate kura kama hizo maana ni CCM na CCM ni adui wa kila mmoja ukiondoa wanaokula kwa jia ya CCMmawakili wa serikali wote wamempigia yeye.
Kura zilkuwa zimeshahesabiwa usisahau Msimamizi wa mwabukusi Alikuwa Adv jebra ambaye alikuwa ndani Ya sehemu ya kuhesabia kura na alikuwa nyuma ya Jaji anayetangaza kura..Figure kamili ilikuwepo mkuu.
Nkuba atulie Mbona inamuuma Sanaa akubali kushindwa asubirie next timeAliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.
"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba
Katika uchaguzi huo uliofanyika Jana na matokeo yake kutangazwa usiku, Wakili Nkuba alizidiwa zaidi ya kura 400 na mpinzani wake Wakili Mwabukusi ambaye alitangazwa kuwa mshindi.
View attachment 3060290
Atashindwa tu kura 400 ni nyingi sana na hata wakirudia Uchaguzi atashindwa tenaNamshauri jamaa akatafute haki yake mahakamani.
Ni uhuni tu umefanyika pale.Kura zilkuwa zimeshahesabiwa usisahau Msimamizi wa mwabukusi Alikuwa Adv jebra ambaye alikuwa ndani Ya sehemu ya kuhesabia kura na alikuwa nyuma ya Jaji anayetangaza kura..
Weka hapa hayo matokeo yaliyosambaa mitandaoni kabla ya matokeo rasmi kutangazwaFigure kamili ilikuwepo mkuu.
Ashindwe lakini katika mazingira ya haki.Atashindwa tu kura 400 ni nyingi sana na hata wakirudia Uchaguzi atashindwa tena
Hata wakirudia uchaguzi atashindwa Tena nilikuwepo sehemu ya Tukio nilishuhudia piaNi uhuni tu umefanyika pale.
Haki jana ilitendeka na aliyetakiwa Kudai haki ni Mwabukusi ambaye Zilipkotwa Kura zake karibu ballot nzima imetupwaAshindwe lakini katika mazingira ya haki.
Duuu!!!Haki jana ilitendeka na aliyetakiwa Kudai haki ni Mwabukusi ambaye Zilipkotwa Kura zake karibu ballot nzima imetupwa
Alijiaminisha SanaNkuba atulie Mbona inamuuma Sanaa akubali kushindwa asubirie next time
Na waliotangaza ushindi kwa kura kabisa kabla ya uchaguzi kufanyika unazungumziaje??Haki jana ilitendeka na aliyetakiwa Kudai haki ni Mwabukusi ambaye Zilipkotwa Kura zake karibu ballot nzima imetupwa
Anatuchanganya, sababu nyingi alizosema ilikuwa mpango wa ccm kumweka yeye, Sasa hazikuzaa matunda....analia Sasa. Wakirudia ataanguka mno, aangalie mitikasi mingineNamshauri jamaa akatafute haki yake mahakamani.
Hakuna aliyetangaza Ushindi wa kura kabla ya Uchaguzi..Na waliotangaza ushindi kwa kura kabisa kabla ya uchaguzi kufanyika unazungumziaje??