Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Zamani ilikuwa ni kila baada ya mwaka mmoja, lakini kuanzia uchaguzi huu itakuwa kila baada ya miaka mitatu.Hivi huwa wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani ilikuwa ni kila baada ya mwaka mmoja, lakini kuanzia uchaguzi huu itakuwa kila baada ya miaka mitatu.Hivi huwa wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mingapi?
Mwaka 1 tu.Hivi huwa wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mingapi?
Miaka 3. Hii imeanza mara hii, awali ilikuwa mwaka 1.Hivi huwa wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mingapi?
Kura 12700 unazipinga vipi?
Hivi Kipindi kilichopita alikuwepo rahisi au Rais wa TLS!?Mwaka 1 tu.
Na shamrashamra huwa ni siku ya uchaguzi tu. Baada ya hapo huwasikii tena.
Uniqueness ya uchaguzi huu wa TLS tofauti na chaguzi zingine zote hapa Tanganyika ni kuwa wapiga kura wake wote wana degree walau kuanzia moja na kuendelea hivyo sio rahisi Sana kuburuzwa.
Miaka mitatu.Hivi huwa wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mingapi?
Nafasi ya Urais wa TLS haina impact yoyote hapa TZ. Maana hata kutunga sheria linatunga ni bunge.
Unasifu kwa kutoa namba za kura kabisa?Kusema fulani kashinda hiyo inafanyika kila mara Na mimi ninao uwezo wa Kumsifia Mgombea wangu...
Hujui sheria za Uchaguzi??
Machapisho maana yake ni kuendelea kusifu mgombea wangu na wala haiharibu matokeo Official
Hoja zake ni dhaifu sana.
Alikuwaga DC la fisiemu pandikizi huyoSi atie nia ubunge..!