Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is very likely CCM wametumia billions kuhonga watu na bado akashindwa, leo anasema eti hakuridhikaAkili za CCM hazikubali kushindwa, imagine mpaka ameletewa mawakili kutoka serikali lakini waaapiii,akubali kushindwa aendelee na mambo mengine.
Hata sisi tumechoka kila sehemu kuona vibaraka wa ccm
Kama kura zilikuwa hazijapigwa hayo hayawezi kuitwa matokeo ya uchaguzi bali uvumi. Pia mbona uvumi wa nani kashinda na nani kashindwa uwa upo siku zote kwenye kipindi cha chaguzi zote hata kabla kura hazijahesabiwa. Uvumi ndiyo uhalalishe jambo?Ni kweli matokeo ya uchaguzi yalitoka kabla kwamba Mwabukusi kashinda wakati hata kura hazikupigwa.
Hayo machapisho yaliyofanyika mitandaoni sio kutangaza huko.Hakuna aliyetangaza Ushindi wa kura kabla ya Uchaguzi..
Kura zimeanza kutangazwa idadi kuanzia saa mbili usiku hiyo ni baada ya kukamilika kwa kuhesabiwa kwa Kura saa moja jioni
Atapata Kura chini ya Hapo mkuu hakuna atakayekubali kuharibu kura yake kaona uchaguzi wa kwnza alishashindwa..Kamanda Nkuba apewe support uchanguzi urudiwe
Kama alipata kura mia nane ajiandae kupata kura mia tatu uchaguzi ukirudiwa.
Basi akawashitaki waliotoa kwenye mitandaoNi kweli matokeo ya uchaguzi yalitoka kabla kwamba Mwabukusi kashinda wakati hata kura hazikupigwa.
tena 800 za mawakili wa serikali walio hongwa billions of money, wakiondolewa hao, basi anabaki na may be na ya kwake tu!Kamanda Nkuba apewe support uchanguzi urudiwe
Kama alipata kura mia nane ajiandae kupata kura mia tatu uchaguzi ukirudiwa.
Yeah!! Walidhani Bado tuko stone age ya kuwapa watu chumvi na kofia then kesho wanawapa kura, this time around we need changes,ukileta pesa nakula then kwenye boksi nakuchinja bila shidaIt is very likely CCM wametumia billions kuhonga watu na bado akashindwa, leo anasema eti hakuridhika
Wa Kilimanjaro 😃Yaani unaenda mahakamani kwa kigezo cha taarifa za mitandaoni. Huyu Wakili wa wapi?
Ndio fisiemu walivyomtumaAliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi.
Pia soma: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.
"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba
Katika uchaguzi huo uliofanyika Jana na matokeo yake kutangazwa usiku, Wakili Nkuba alizidiwa zaidi ya kura 400 na mpinzani wake Wakili Mwabukusi ambaye alitangazwa kuwa mshindi.
View attachment 3060290
Ni kweli matokeo ya uchaguzi yalitoka kabla kwamba Mwabukusi kashinda wakati hata kura hazikupigwa.
Kusema fulani kashinda hiyo inafanyika kila mara Na mimi ninao uwezo wa Kumsifia Mgombea wangu...Hayo machapisho yaliyofanyika mitandaoni sio kutangaza huko.
Au unafikiri kutangaza ni mpaka mtu ashike mic 🎤 aongee.
Ccm wamepata KIHORO