Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS

Nkuba atulie Mbona inamuuma Sanaa akubali kushindwa asubirie next time
 
Kura zilkuwa zimeshahesabiwa usisahau Msimamizi wa mwabukusi Alikuwa Adv jebra ambaye alikuwa ndani Ya sehemu ya kuhesabia kura na alikuwa nyuma ya Jaji anayetangaza kura..
Ni uhuni tu umefanyika pale.
 
Na waliotangaza ushindi kwa kura kabisa kabla ya uchaguzi kufanyika unazungumziaje??
Hakuna aliyetangaza Ushindi wa kura kabla ya Uchaguzi..

Kura zimeanza kutangazwa idadi kuanzia saa mbili usiku hiyo ni baada ya kukamilika kwa kuhesabiwa kwa Kura saa moja jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…