Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS

Anaitwa "Sweet"!Si kosa lake.
 
Kama kura zilikuwa hazijapigwa hayo hayawezi kuitwa matokeo ya uchaguzi bali uvumi. Pia mbona uvumi wa nani kashinda na nani kashindwa uwa upo siku zote kwenye kipindi cha chaguzi zote hata kabla kura hazijahesabiwa. Uvumi ndiyo uhalalishe jambo?
Yeah ni maneno ya mfamaji.
Yaani ni sawasawa timu ziingie uwanjani halafu waanze kupoteza muda kuwanyamazisha mashabiki wasishangilie badala ya kuzingatia mpira unavyochezwa uwanjani
 
Huyu sura yake imechachuka wahuni wamekula hela yake Kisha wakampa kura mwabukusi maaaaaanina!
 
Mwaka 1 tu.

Na shamrashamra huwa ni siku ya uchaguzi tu. Baada ya hapo huwasikii tena.
😀😀😀😀😀hivi wanakuwaga wapi baada hapo?Na kwenye huo muda wanatumikia kuna mshahara au ruzuku huwa wanalipwa?au ni kazi ya kujitolea?
 
Ametumwa na huenda jaji ametayarishwa, hivi sasa anapewa maelekezo kama aliyopewa Msigwa mhamiaji.
 
Nkuba kasoma Korogwe Primary School pale Kahama, ikafuatia Wigehe Secondary School halafu Ujiji Seminary.

Haya tuambie ulichotamani kusema mkuu.
Ni kweli katelekeza familia kisa miss Tanzania ?
 
Hayo machapisho yaliyofanyika mitandaoni sio kutangaza huko.

Au unafikiri kutangaza ni mpaka mtu ashike mic 🎤 aongee.
Kama ambavyo Wakili Msomi Julius Mtatiro alivyompongeza ni tangazo pia!
 
amesema Nkuba

Sweetbert Nkuba wakili msomi, ametumwa na chama dola kongwe kupinga matokeo ya uchaguzi.

Uchaguzi huu wa TLS iwe rejea jinsi ya kuandaa mchakato mzima wa uchaguzi wa nchini Tanzania 2024 / 2025 uwe huru na haki.

Na haki hii ya kada Nkuba kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi TLS ni somo zuri la uraia kuhusu wafanye nini raia wapiga kura 2024 / 2025 katika uchaguzi unaosimamiwa na makada wa CCM kupita kofia yao ya Mkurugenzi wa Halmashauri DED.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…