Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS

Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi.

Pia soma: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.

"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba

Katika uchaguzi huo uliofanyika Jana na matokeo yake kutangazwa usiku, Wakili Nkuba alizidiwa zaidi ya kura 400 na mpinzani wake Wakili Mwabukusi ambaye alitangazwa kuwa mshindi.
Haya aliyosema ndio ccm huwa inayafanya kila wakati wa uchaguzi mkuu wa wabunge na Raisi. Kama hii kesi yake akishinda, ccm watakuwa na kibarua kigumu huko mbele ya safari... mwisho akubali, asiyekubali kushindwa si mshindani...
 
Kwanza amshukuru Mungu kupata nafasi ya kugombea kiti kimoja na Kajunjumele Mwabukusi lakini wala haikuwa saizi yake ameachwa mbali sana huyu
 
Hatutaki chawa na ajue tu ndio ataanguka vibaya na kale kaheshima kalikobaki katapururuka kote. Hivi kweli uwe mwanaccm halafu utegemee kupata kura za wenye akili TLS? MWAMBIENI ATAFUTE KAZI NYINGINE.
 
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi.

Pia soma: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.

"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba

Katika uchaguzi huo uliofanyika Jana na matokeo yake kutangazwa usiku, Wakili Nkuba alizidiwa zaidi ya kura 400 na mpinzani wake Wakili Mwabukusi ambaye alitangazwa kuwa mshindi.
haki
 
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi.

Pia soma: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.

"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba

Katika uchaguzi huo uliofanyika Jana na matokeo yake kutangazwa usiku, Wakili Nkuba alizidiwa zaidi ya kura 400 na mpinzani wake Wakili Mwabukusi ambaye alitangazwa kuwa mshindi.
haki imeshinda tuache nan
 
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Nkuba amesema ameshawasiliana na wanasheria wake ili kwenda kupinga ushindi wa Mwabukusi mahakamani.

"Mojawapo ni kuona karatasi za kupigia kura kuisha na kwenda kuchapishwa zingine, kufanyiwa vurugu na kusambaa taarifa mitandaoni ushindi wa mpinzani wangu kabla ya kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi," amesema Nkuba
Hii mistari imenifanya nicheke!

Huyu Bwana kawa kwenye upinzani toka lini; maana anazungumza lugha ile ile wanayo itumia wapinzani mika yote dhidi ya CCM!
Kama kuna ukweli wowote katika madai yake, itanifanya leo niwahimize vyama vya upinzani kuhakikisha dawa ile ile wanaitumia tena hivi karibuni.
 
Kwahyo bwana Nkuba endapo utaenda mahakamani mwenyewe kueleza Hilo jambo lako bila kuhusisha hao mawakili wako vipi mahakama itashindwa kukupa haki Yako?? Mahakama zetu ziko huru kutoa haki bila kubagua kwahyo Hilo shauli lako lisimamie mwenyewe na kama uko bize kausha.
Na kama mahakama zetu haziwezi kutoa haki bila uwepo wa mawakili mahakamani basi Rais atoe namna ya kuwasaidia watu ambao watashindwa kumudu gharama za kuwapata mawakili wa kusimamia kesi zao pindi wanapokuwa wanakabiliwa na mashitaka mahakamani ili iwe rahisi kwao kupatiwa haki.
 
Nkuba atulie Mbona inamuuma Sanaa akubali kushindwa asubirie next time
Mwizi akihisi kuibiwa inauma sana c CCM huyo au? Wanavyoibaga na yeye kusaport ushindi eti wa kishindo Huwa anajisikiaje? Kama wakala wake ndo katoa taarifa kabla tutaaminije?. Huyo atakuwa katoa mulungula watu wamepiga na kura wamemnyima! Inauma hiyo balaaaaa! Hiyo kesi hata mimi naweza kumshinda! Siyo kazi ya mitandao kutangaza matokeo kama aliyepost kabet na kapatia anashangaa nn? Ataje mtandao wa kwanza alioona yeye umetoa matokeo kabla ya matokeo. Na siku alipoulizwa mshindi akitangazwa atakubali mbona alisema atakubali. Atulie tu dawa iingie. Walifanya figisu Mwabukusi aenguliwe wakachemka. Bado haridhiki.
 
Back
Top Bottom