Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
Haya yote yanatokea kwa sababu utopolo sio wana michezo bali kundi la wahuni waliobahatika kupata pesa .

Kwani yanga haiwezi bila Fei?Kama jibu sio,kwa nini kumkomalia kijana aliyewapa heshima uwanjani mara nyingi badala ya kumwacha aende kutafuta malisho ya kijani sshemu nyingine?Ama mpeni japo milioni 16 ili atulie kuliko kumlazimisha acheze kwa milioni 4 tu wakati Aziz analipwa milioni 25 kwa mwezi.

Huko utopoloni watu wenye akili ni wawili tu ila nao si viongozi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.

Kabisa solution ni kwamba Azam wakae mezani na Yanga SC wamalizane nao wamchukua Feisal wao.
 
Mkataba wake unaisha mwisho wa msimu huu, angevumilia kidogo tu mambo yaishe
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.
WATANZANIA MUNGU KAMA YUPO ANAWAONA.
 
Haya yote yanatokea kwa sababu utopolo sio wana michezo bali kundi la wahuni waliobahatika kupata pesa .

Kwani yanga haiwezi bila Fei?Kama jibu sio,kwa nini kumkomalia kijana aliyewapa heshima uwanjani mara nyingi badala ya kumwacha aende kutafuta malisho ya kijani sshemu nyingine?Ama mpeni japo milioni 16 ili atulie kuliko kumlazimisha acheze kwa milioni 4 tu wakati Aziz analipwa milioni 25 kwa mwezi.

Huko utopoloni watu wenye akili ni wawili tu ila nao si viongozi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nani amekwambia yanga anamng'ang'ania feisal? Alafu mbumbumbu kama wewe unawapangiaje yanga namna ya kuendesha mambo yao na wachezaji wao? Uyo feisal kama mnamuhurumia sana mwambieni afate utaratibu ataondoka ata kesho, mbona wahuni wanakwepa kuleta ofa zao wakapewa thamani ya fei wakauziwa? Kwanini wanajificha si wajitokeze kama wana pesa, wanataka mteremko wapuuzi hao safari hii wamegonga mwamba na iwe fundisho kwa wengine bullsheet!
 
Kulikuwa na kesi cas kati ya Okwi na timu yake na kipindi hicho Okwi aligoma kurudi kipindi kesi inasikilizwa Okwi akaomba FIFA kucheza ili kulinda kipaji chake.

Mimi sizungumzii madai ya Okwi Bali naonyesha kama. Feitoto akifungua kesi cas anaweza kuomba asajiliwe Kwa muda ili alinde. Kipaji chake
Una tatizo lakutoelewa haraka ndugu!!, Ili Fifa ikupe hiyo options inategemeana na tatizo lako la msingi ni lipi!!. Kuongezeawa mshahara haijawahi kuwa tatizo la msingi kwa mchezaji tena Fifa sijui CAS watamfukuza😅.., yaani eti aende akasema nataka kuvunja mkataba kwakuwa wamekaataa kuniongezea mshahara??. Mane alitaka waongezewe mshahara na timu yake liver wakagoma, lakini mane bado alikuwa mtiifu na kuendelea kutumika Kama mchezaji wa liver, amesubir mkataba wake umeisha ameondoka...... Huyu mtoto ambaye hajacheza hata ligi ya Kenya ndio aisumbue CAS?. Tz tunachangamoto ya wanasheria wa mpira ndio maana wanampoteza....
 
Ina wezekana kabisa Fei kushinda... mchana kweupe, na pia kuna sababu nyingi ktk sheria (muongozo) unaruhusu hayo kufanyika

Na zaidi hiyo miongozo ndio ina enda kutatua matatizo yote, subilini mshangazwe...

Kapitieni sheria zile kwa umakini mkubwa bila kuegemea upande wowote, pia pitieni mkataba wa Yanga...

Waacheni TFF wabaki kusema bado ana mkataba na Yanga...
Wewe tayari umeshahukumu alafu mwisho unatuambia tukapitie mkataba wa yanga 😀
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.
Hata atoe hela yake yote hawezi kushinda. Sheria haiko upande wake. Na usidhani kwamba unaweza ukapindisha sheria kwa fedha. Wanaodhanigi ukiwa na hela unaweza ukapindisha sheria hawajui sheria.

Ishu ya Morrison haifanani na ya Fei Toto. Morrison mkataba wake na Yanga ulikuwa haujakaa vizuri ndo maana akashinda. Lakini mkataba wa Fei Toto umenyooka.
 
Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
Kama hayuko tayari kurudi Yanga basi ana options zifuatazo:

1. Akatafute shughuli nyingine ya kumuingizia kipato mpaka mkataba wake na Yanga utakapokwisha.
2. Akacheze mpira wa ridhaa.
3. Amuombe huyo anayemrubuni aongee na Yanga ili Yanga imuuze. Yanga ikipewa mzigo wa maana inamwachia Fei Toto.

Kwenye kanzidata ya mawakili wa Tanzania, hakuna wakili anayeitwa Salum Nduruma. Ndo maana dogo anaingizwa machaka.
 
Haya yote yanatokea kwa sababu utopolo sio wana michezo bali kundi la wahuni waliobahatika kupata pesa .

Kwani yanga haiwezi bila Fei?Kama jibu sio,kwa nini kumkomalia kijana aliyewapa heshima uwanjani mara nyingi badala ya kumwacha aende kutafuta malisho ya kijani sshemu nyingine?Ama mpeni japo milioni 16 ili atulie kuliko kumlazimisha acheze kwa milioni 4 tu wakati Aziz analipwa milioni 25 kwa mwezi.

Huko utopoloni watu wenye akili ni wawili tu ila nao si viongozi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kama huko kwenu wanaondoka kiholela ni nyie huku kwetu kuna utaratibu
 
Kama huko kwenu wanaondoka kiholela ni nyie huku kwetu kuna utaratibu
Kushindwa kuona hoja za Fei ni lazima uwe na roho ya kichawi.
Nawatahadharisha kuwa kuna wachezaji wengine wazawa wanaumia jinsi mnavyomchukulia Fei muda huu,na wanawaona hamna maana.
Subirini siku yenu ambayo maji mtaita "mma"

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Fei anaenda kupotea kisoka....kama ilivyokuwa kwa mwenzake R. singano..same scenario....bichwa likiwa kubwa kwa sifa.....matokeo yake......
 
Kushindwa kuona hoja za Fei ni lazima uwe na roho ya kichawi.
Nawatahadharisha kuwa kuna wachezaji wengine wazawa wanaumia jinsi mnavyomchukulia Fei muda huu,na wanawaona hamna maana.
Subirini siku yenu ambayo maji mtaita "mma"

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hana hoja kwa maana alishaingia mkataba. Hivi wenzetu mnatumia matako kufikiri??
 
Hapa ndio kuna shida. Yanga inachotaka ni utaratibu ufatwe, sio kwamba hawataki aondoka. Athari za kupotezea jambo kama hilo ni kubwa sana mbeleni kwa wachezaji wengine. Imagine Aziz Key anaelipwa 27m per month akiamua na yeye kufanya kama fei alivyofanya na wengine nao hata wa timu zingine wakafanya the same hivi kina club itabaki na wachezaji?. Kuna kumkomalia mtu na kuna kufata sheria ili ubaki salama na ulionao.
Kwan mkataba wa fei na aziz ki uko sawaa? Fei ametumia kipengele ktk mkataba wake. Sasa tatizo nn? Mbna utaratibu wenyewee hawausemi ni upi wadau wa michezo waka tathimini??
 
Naelewa ndiomaana nikacomment hivyo.[emoji1535]

Utani wenu nmeshuhudia kwa muda sasa[emoji1].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa yaan. Sema sometimes navukaga mipakaa had namkeraaa, uwiiiiiiiiiih
 
Kwan mkataba wa fei na aziz ki uko sawaa? Fei ametumia kipengele ktk mkataba wake. Sasa tatizo nn? Mbna utaratibu wenyewee hawausemi ni upi wadau wa michezo waka tathimini??
Rudi kasome kanuni na sheria za FIFA kuhusu kuvunjwa kwa mkataba.
Hivyo ndivyo vipengele anavyapaswa kufuata.
Usisumbue watu
 
Fei hakukurupuka kuvunja mkataba, lazima kuna external force. Aache kupenda Kitonga, aje na hao waliomshauri, waweke dau wasepe nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei kwa utashi wake kaamua kutumia kipengele cha mkataba wake kuvunja, na katoa stahiki zotee kulingana na makubaliano ya mkataba.

Mnaanza oooh watu wajitokezee, watu gan? Malizaneni na fei kwan, hakuna watu nyuma yake, yeye kaamua aondokee aelekee anakojuaa yeye mnaanza mbambamba,

Kumbe mnatakaa pesa za watuuuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom