Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hajasema awape msamaha, amesema wapelekwe mahakamani.Watake kumpindua Rais afu wanamuomba rais huyo huyo kuingilia kati? Wonders shall never seize. Wanajikaanga kwa mafuta yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajasema awape msamaha, amesema wapelekwe mahakamani.Watake kumpindua Rais afu wanamuomba rais huyo huyo kuingilia kati? Wonders shall never seize. Wanajikaanga kwa mafuta yao.
Ni heri wafe na njaa make hawana maana, rais anajitoa kuleta maendeleo wao kutwa nzima kuhamasisha mapinduzi.Wananchi wanaotuhumiwa kufanya uhaini tangu wakamatwe zaidi siku tano zilizopita wamekataa kula hadi wapelekwe mahakamani lakini hawapelekwe kwa kiburi tu cha polisi. Wakifia mikononi mwao au kudhurika kwa namna yoyote kabla ya kufikishwa mahakamani watawajibika..
Ni wazi kabisa waziri mambo ya ndani, IGP, DCI, DPP, AG na waziri habari wameshindwa kazi badala yake wanafanya kazi ya kuvizia kisiasa kwa chuki binafsi kukomoa wengine.
Mama akilisamehe lile dokta uchwara sisi tutaandamana hadi ikulu kuomba lirudishwe tena ndani.Mama awasamehe kwasababu wana familia zinazowategemea
Wakina Erythrocyte wanachochea vijinga vya moto huku wamejificha. Kumbe babu analala sakafuni. Dunia haina huruma aise.Wakili keshaona hii ngoma ni ngumu njia nzuri ni kuchutama tu.
katafute nchi yakoNchi ya hovyo sn hii
Polisi ndiyo wanamchonganisha Rais na wananchi kwa maelekezo ya wahafidhina wa CCMHuyo wakili aache kuichonganisha mihimili.
wamegoma wenyewe kula watakuwa wamejiuaWananchi wanaotuhumiwa kufanya uhaini tangu wakamatwe zaidi siku tano zilizopita wamekataa kula hadi wapelekwe mahakamani lakini hawapelekwe kwa kiburi tu cha polisi. Wakifia mikononi mwao au kudhurika kwa namna yoyote kabla ya kufikishwa mahakamani watawajibika..
Ni wazi kabisa waziri mambo ya ndani, IGP, DCI, DPP, AG na waziri habari wameshindwa kazi badala yake wanafanya kazi ya kuvizia kisiasa kwa chuki binafsi kukomoa wengine.
wawalaumu waliowatuma kufanya uchochezi, kujenga, chuki, kupandikiza ubaguzi na kutoka maneno ya uhaini. Eti Mwabukusi ana mishono, alikuwa hajijui afya, mara Slaa ni mzee, ndio mmejua umri wake akiwa mahabusu? Wacha watambue kuna serikali wanatakiwa kuiheshimu na kutii sheria bila shurutiWananchi wanaotuhumiwa kufanya uhaini tangu wakamatwe zaidi siku tano zilizopita wamekataa kula hadi wapelekwe mahakamani lakini hawapelekwe kwa kiburi tu cha polisi. Wakifia mikononi mwao au kudhurika kwa namna yoyote kabla ya kufikishwa mahakamani watawajibika..
Ni wazi kabisa waziri mambo ya ndani, IGP, DCI, DPP, AG na waziri habari wameshindwa kazi badala yake wanafanya kazi ya kuvizia kisiasa kwa chuki binafsi kukomoa wengine.
kuna mtu amewanyima kula? Wanatakiwa waongezewe shitaka la kutaka kujiua kwa kukataa kulaWananchi wanaotuhumiwa kufanya uhaini tangu wakamatwe zaidi siku tano zilizopita wamekataa kula hadi wapelekwe mahakamani lakini hawapelekwe kwa kiburi tu cha polisi. Wakifia mikononi mwao au kudhurika kwa namna yoyote kabla ya kufikishwa mahakamani watawajibika..
Ni wazi kabisa waziri mambo ya ndani, IGP, DCI, DPP, AG na waziri habari wameshindwa kazi badala yake wanafanya kazi ya kuvizia kisiasa kwa chuki binafsi kukomoa wengine.
Aanze mumeokatafute nchi yako
we ulisikia polisi kuna vitanda?Wakina Erythrocyte wanachochea vijinga vya moto huku wamejificha. Kumbe babu analala sakafuni. Dunia haina huruma aise.
mi dume we shogaAanze mumeo