Wakili wa Mwabukusi amuangukia Rais Samia, aingilie kati, watuhumiwa kucheleweshwa Mahakamani

Wakili wa Mwabukusi amuangukia Rais Samia, aingilie kati, watuhumiwa kucheleweshwa Mahakamani


Wakili wa Wakili Boniface Mwabukusi na Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mpaluka Nyagali maarufu kwa jina la Mdude Nyagali wanao shikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za Uhaini, amemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala la watuhumiwa hao Ili waweze kupelekwa mahakamani na haki iweze kutendeka.

Akizungumza na waandishi wa habari Wakili Philip Mwakilima amesema bado kumekua na vikwazo kwa watuhumiwa Balozi Dkt Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali, kufikishwa mahakamani licha ya kukaa zaidi ya siku tano mahabusu tangu walipokamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Pamaoja na hayo Wakili Mwakilima amemuomba Rais Dkt Samia kuingilia kati kwa kutoa amri ya watu hao kufikishwa katika vyombo vya utoaji haki Ili waweze kutoa hakiyao ikiwemo ya matibabu kutokana na wateja wao kua na maradhi mbalimbali.
Mmmh
Mwabukusi ameomba wapi
 
Leo ndio mnatuambia mwabukusi ana mishono mwilini mbona hamkusema tangu mwanzo wakati anapambania Tanganyika yake?
Hiyo mishono mbona haikuwahi kuonekana hapo kabla.
Au ipo sehemu ya siri? Na kama ipo sehemu ya siri basi nina wasi wasi na marinda yake.

Hili ni funzo kwa vijana wanaokimbilia kutumiwa na wanasiasa uchwara, mwisho wa siku wanasiasa wanakaa pembeni kuangalia mtu akishonwa mishono sehem za siri.
 
Ni mambo ya aibu hawana hata hoja ya msingi ya kuwakamata na ndio mana wanashindwa wawafanyeje,Mahakamani wameshindwa kuwapeleka pia yaani hovyo sana

Sijaona sehemu yoyote Mwabukusi akesema au akipendekeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano ipinduliwe na kama kuna mtu anabisha awake angalao Clip hapa

Msikilize mheshimiwa anasema nini juu ya mwananchi wa kawaida (mimi na wewe) juu y a ufahamu wa uhaini
 

Attachments

  • VID-20230817-WA0097.mp4
    2.2 MB

Wakili wa Wakili Boniface Mwabukusi na Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mpaluka Nyagali maarufu kwa jina la Mdude Nyagali wanao shikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za Uhaini, amemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala la watuhumiwa hao Ili waweze kupelekwa mahakamani na haki iweze kutendeka.

Akizungumza na waandishi wa habari Wakili Philip Mwakilima amesema bado kumekua na vikwazo kwa watuhumiwa Balozi Dkt Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali, kufikishwa mahakamani licha ya kukaa zaidi ya siku tano mahabusu tangu walipokamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Pamaoja na hayo Wakili Mwakilima amemuomba Rais Dkt Samia kuingilia kati kwa kutoa amri ya watu hao kufikishwa katika vyombo vya utoaji haki Ili waweze kutoa hakiyao ikiwemo ya matibabu kutokana na wateja wao kua na maradhi mbalimbali.
🤣🤣🤣🤣🤣 Huyu si alisema hatishwi,nyama ndio zitaumia ila dhamira Iko pale pale na kwamba tutamjua yeye ndio Mwambukusi Mwakanyamale Sijui nani 😂😂😂😂

Nimecheka kama mjinga Hadi watu wamenishangaa.

Mwambieni hiyo ni trailer ,mkanda wenyewe Bado ,kesi Yao inaweza ahirishwa hadi 2027 🤣🤣
 

Wakili wa Wakili Boniface Mwabukusi na Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mpaluka Nyagali maarufu kwa jina la Mdude Nyagali wanao shikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za Uhaini, amemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala la watuhumiwa hao Ili waweze kupelekwa mahakamani na haki iweze kutendeka.

Akizungumza na waandishi wa habari Wakili Philip Mwakilima amesema bado kumekua na vikwazo kwa watuhumiwa Balozi Dkt Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali, kufikishwa mahakamani licha ya kukaa zaidi ya siku tano mahabusu tangu walipokamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Pamaoja na hayo Wakili Mwakilima amemuomba Rais Dkt Samia kuingilia kati kwa kutoa amri ya watu hao kufikishwa katika vyombo vya utoaji haki Ili waweze kutoa hakiyao ikiwemo ya matibabu kutokana na wateja wao kua na maradhi mbalimbali.
Huyu Wakili amepoteza mwelekeo na kukata pumzi mapema.
 

Wakili wa Wakili Boniface Mwabukusi na Mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mpaluka Nyagali maarufu kwa jina la Mdude Nyagali wanao shikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za Uhaini, amemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala la watuhumiwa hao Ili waweze kupelekwa mahakamani na haki iweze kutendeka.

Akizungumza na waandishi wa habari Wakili Philip Mwakilima amesema bado kumekua na vikwazo kwa watuhumiwa Balozi Dkt Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali, kufikishwa mahakamani licha ya kukaa zaidi ya siku tano mahabusu tangu walipokamatwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Pamaoja na hayo Wakili Mwakilima amemuomba Rais Dkt Samia kuingilia kati kwa kutoa amri ya watu hao kufikishwa katika vyombo vya utoaji haki Ili waweze kutoa hakiyao ikiwemo ya matibabu kutokana na wateja wao kua na maradhi mbalimbali.
Huyu Wakili ni kama Mtibwa Sugar tu
 
Wananchi wanaotuhumiwa kufanya uhaini tangu wakamatwe zaidi siku tano zilizopita wamekataa kula hadi wapelekwe mahakamani lakini hawapelekwe kwa kiburi tu cha polisi. Wakifia mikononi mwao au kudhurika kwa namna yoyote kabla ya kufikishwa mahakamani watawajibika..

Ni wazi kabisa waziri mambo ya ndani, IGP, DCI, DPP, AG na waziri habari wameshindwa kazi badala yake wanafanya kazi ya kuvizia kisiasa kwa chuki binafsi kukomoa wengine.
Njaa ikiwauma watakula tuu 😂😂
 
Wanasiasa walioko madarakani ndio chanzo cha machafuko kwa kutaka kung'ang'ania madarakani baada ya kuchokwa kutokana na unyanyasaji wananchi waliowapa madaraka
 
Siku 5 tu mnaomba msamaha hivi hii miaka 9 kama uamsho si mtafia mahabusu nyie.
Rugemalira ndio alikuwa mwamba na wale Jamaa wa Uamsho.

Miezi 7 Mbowe alikuwa kachakaa kama anachoma Mkaa na hapo alikuwa VIP ,Je angekuwa Kwa akina mie ingekuaje?

Ndio maana Lisu aliona anataka kukamatwa Huwa anasepa zake Ulaya 😂😂
 
Back
Top Bottom