Wakili wa Mwabukusi amuangukia Rais Samia, aingilie kati, watuhumiwa kucheleweshwa Mahakamani

Ushauri mzuri tukiachie chombo cha kutoa Haki
Your browser is not able to display this video.
 
Huwezi kumsaliti Mwamba Mbowe na Karma ikakuacha salama Babu anyongwe tu hakuna namna
Your browser is not able to display this video.

Hebu sikiliza hapo cheka yake ya kinafiki alipomalizia kupigilia huo msumari dhidi ya Mwamba

DR SLAA NI MHAINI MPAKA MAHAKAMA ITAKAPOAMUA OTHERWISE
 
Hivi wakati wanamnyaka Dakta Slaa walimruhusu achukue dawa zake za Presha na za Kisukari?

Asije huyu Mzee akapigwa na Stroke huko Mahabusu
 
Ni heri wafe na njaa make hawana maana, rais anajitoa kuleta maendeleo wao kutwa nzima kuhamasisha mapinduzi.
Kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi za nchi, hata wakipinduliwa ni sahihi.
 
Nani kaomba Mwakilima au Mwabukusu
 
Watake kumpindua Rais afu wanamuomba rais huyo huyo kuingilia kati? Wonders shall never seize. Wanajikaanga kwa mafuta yao.
Ni kwa sababu rais Dkt Samia siyo tabia yake kubambika watu kesi, yaani hapo kuna watu anawavutia kasi ataruka nao very soon.
 
Hilo ndio tatizo lenu kuu basi tumweke kibatala akaamue au una maoni gani?
Tunafahamu mfumo wetu wa haki ulivyo, na nini huwa kinaendelea nyuma ya pazia. Ukiona mtu ana imani na mfumo wetu wa kutoa haki, huyo ujue ni mfaidika wa huo mfumo, au hajui lolote. Ndio maana wawekezaji hawako tayari mashauri yao kupeleka kwenye hizi mahakama zetu.
 
order from above! Ila kale ka kibatali kanakozungushwa vyumba vyote vya boma yetu , ndo kakulaumiwa sana, maana kanatufanya tuwe tumezubaa zubaaa na kutokujielewa. zaidi tunabaki kupiga keyboard mitandaoni tu Basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…