hakuna mjinga atachanga, sema mnafukua pesa alizoiba huku mkidai ni pesa za michangoTumeshamchangia fedha nyingi sana mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna mjinga atachanga, sema mnafukua pesa alizoiba huku mkidai ni pesa za michangoTumeshamchangia fedha nyingi sana mpaka sasa
Mchepuko wa Sabaya[emoji2]Mbona Mbowe ni katili na muuaji na bado alichangiwa. Najua wachaga wote mmeungana kumshughulikia Sabaya ila hakika atawashinda.
Ww mwenyewe unaishi kwa shemeji (dada yako apate dozi ndio shemeji anunue chakula) leo unasema umetuma laki moja serious??Tayari nimeshatuma laki moja.
#free Sabaya
Kuna uwezekano mkubwa nawe ni mmoja wa watu waliokuwa wanafurahia matendo na manyanyaso ya Sabaya, mbele ya wananchi wa kawaida, viongozi wa vyama vya upinzani na wafanyabiashara. Ndg yangu nataka kukumbusha kuwa "MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI"Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Alikukwapua shs ngapi? Nyumbu bwanaLeo ndiyo anajua kuwa anatakiwa kuomba na siyo kukwapua kwa nguvu kwa kutumia madaraka?
Haitoshi hiyo. Tuma milioni.Tayari nimeshatuma laki moja.
#free Sabaya
Alitaka kuuwa Sabaya
Sema, na majambazi wenzake.Mpaka sasa ameshachangiwa millions kadhaa na wazalendo
Ndio sababu DPP huyo huyo aliyefuta Kesi ya Sabaya kutaka kuuiliwa wazalendo wanamtaka afute Kesi za SabayaUmeelewa swali la jamaa lakini?? Hata tensi “aliua” au “kuteka” nazo ni ngumu kuelewa?? Unaona kabisa “alitaka” inaendana na swali la jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
By the way, hiyo “alitaka” haikuthibitika mahakamani na Washitaki hawakuwa na nia ya kuendelea na kesi. Hiyo si jambo lilithibitishwa na hukumu.
Kumchangia Osama bin laden ni sahihi?Atakayemchangia jambazi Sabaya, lazima aandamwe na umaskini katika maisha yake.
Kumchangia Sabaya ni kufuru, ni dhihaka dhidi ya utu wa mwanadamu, utu tuliopewa na Muumba wetu. Sabaya aliyewatesa watu kwa kuwakata masikio, kuwapigilia misumari, kuwapora pesa, leo umchangie!!! Lazima nawe utakuwa umeshiriki uovu wake. Sabaya anaonja anachostahili.
Na magaidi wenzakeSema, na majambazi wenzake.
Hao wakichanga tu anapatarafiki zake akina makonda, le mutuz, mrisho gambo, jerry muro, mnyeti, Jokate wako wapi wamsaidie?
makubwa kwa hiyo aliyetaka kuua yupo nje aliyetaka kuuawa yup selo? Balaaa na nusu walahi!!!Alitaka kuuwa Sabaya
Alichangiwa na wapumbavu wenzake.Kumchangia Osama bin laden ni sahihi?
Jinyonge,limebaki shimo tu mkunduniMoDs, hii si lugha ya jamvi hili. Tafadhali fanyeni yapaswayo.